Hello waungwana, let me tell you bout social media, au vip?
Oky I won't wait for your answer 😅.
Social media imekuja kuondoa mtu wakatikati. Au ww unaonaje, kwasbabu Sasa hivi mteja na biashara wote wapo Insta, Facebook etc. Wote wanauwezo was kupost, kucoment kushare etc.
Kwahio ni kama...