media

  1. Kipapatiro

    Uchaguzi 2020 NEC imemteua Bernard Membe kugombea Urais na Omary Mohamed Umakamu wa Rais kupitia ACT-Wazalendo

    Benard Membe na Makamu wa Rais (wagombea) wa ACT-Wazalendo wamekidhi vigezo vya kuteuliwa na kugombea. Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa, amemteua Bernard Membe kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Omary Mohamed kuwa mgombea wa...
  2. H

    RDJ Mamie wa E-FM amejiunga rasmi na Wasafi Media

    DJ Maarufu wa E-FM na mwenye manjonjo ya aina yake DJ Mamie, jana ametanganza rasmi amejiunga na Wasafi Media kupitia Instagram yake. Baada ya kupost, hiyo post imepata like nyingi na comment nyingi kuliko post zake zote na kuonesha namna gani mashabiki walivyofurahia kuja kwake Wasafi Media...
  3. A

    Uchaguzi 2020 CHADEMA mjirekebishe kwenye Media Management

    Sasa ndugu zangu wa CHADEMA, kama mnajua fika kwamba serikali kupitia Dr. Abbas na TCRA wanahujumu katika vyombo vya habari kwanini msitumie mbinu mbadala kwenye press conference zenu na pia hata mikutano yenu? Katika presser ya Tundu Lissu leo, chombo kimoja tu - DAR MPYA - ndicho kilikua kina...
  4. S

    Ni kosa kubwa sana kisiasa kwa Wananchi kuona mikutano ya Lissu mitandaoni halafu mikutano hiyo haionekani kwenye Television na Media zingine

    Moja ya mambo yatayoigharimu CCM hii ya Magufuli, ni hiki kitendo cha mikutano ya Lissu inayovuta maelfu ya Wananchi kusambaa mitandaoni huku kwenye mainstream Media kama vile tv na redio mikiutano hii hairipotiwi wakati wananchi wanategemea kuiona ikiripotiwa katika vyombo hivi vya habari...
  5. Influenza

    Belarus television broadcasts empty studio as state media joins general strike

    Wafanyakazi wa Shirika la Habari la Belarus wameacha majukumu yao na kujiunga na maelfu wa Waandamanaji kutaka Rais wa nchi hiyo, Alexander Lukashenko kujiuzulu Mmoja wa Wafanyakzi hao akihojiwa na Kituo cha Interfax amesema wanaenda na wao kuandamana na takriban wafanyakazi 100 wamekusanyika...
  6. GENTAMYCINE

    Hadi Kesho nisipoona Clouds Media Group, MCT, TCRA na Serikali ( Wizara ) husika vimemchukulia hatua Kali Mtangazaji Adam Mchomvu nitawadharau mno

    Hatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.
  7. R

    Adam Mchomvu aomba radhi, asema alikwazika

    “Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali...
  8. S

    Baada ya Ofisi za CHADEMA kuchomwa moto, tusubiri kuona kama media za nchi hii zitatangaza tukio hili

    Kwa tukio kama hili,natarajia media za Tanzania ziwe zimeripoti tukio hili kama breaking news, ila mpaka sasa sijui kama kuna media imefanya hivi; hata hivyo, naomba tuendelee kufuatilia coverage ya hili tukio kwa media za hapa nchini. Media za nje bila shaka zitaripoti, ila za hapa ndani...
  9. S

    Katika msimu huu wa uchaguzi mkuu, mitandao ya kijamii itafanya kazi kubwa kuliko traditional media

    Yani lolote litakalofanyika kuzuia hivi vyombo vya habari vya kienyeji kama vile magazeti, TV, radio katika kipind hiki cha uchaguzi ni sawasawa na bure kwani kutokana na mageuzi ya sayansi na tekinolojia zinajulikana kama traditional media haitasaidia. Social media zina nguvu kuliko hizi...
  10. pingli-nywee

    Serikali ya Tanzania yapiga marufuku Media za Tanzania kurusha matangazo kutoka kwa Media za Kimataifa/Kigeni

    Could this ever happen in Kenya? The Tanzanian government has banned Local Media from broadcasting 'foreign made content', wait for it... without permission from the government and the relevant authorities. Content and direct broadcasts from international media like BBC, VOA, DW etc will now be...
  11. Cannabis

    Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

    Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni. Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa...
  12. Mackanackyyy

    CHADEMA Media nawaona kama mnapwaya mno

    CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu? Yaani mnazubaa...
  13. Superbug

    Kampeni ya kuwaacha media wapambane na hali zao ianze

    Ndugu wananchi ! Naamini mnaanza kuona mwenendo wa baadhi ya vyombo vya habari kuipendelea CCM. Naomba kuwauliza lisu ameikosea Nini media house ya Tanzania? Lisu alinusurika kuuwawa kwasababu ya kutetea watanzania na madhila mpaka ya kupokonywa ubunge ni kwasababu ya kutetea haki. Hivi...
  14. PAZIA 3

    Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

    Kutoka maeneo mbalimbali kwenye viunga vya mji wa Dodoma, Tundu Lissu leo anachukua Fomu ya Urais. === Tundu Lissu leo kwa Mara ya kwanza anarejea katika mji wa Dodoma akienda kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea Urais. Ikumbukwe Tundu Lissu mara ya mwisho kuondoka katika mkoa huu ni baada...
  15. S

    Tetesi: Polepole na Dkt. Hassan Abbas wanawatisha watu wa media

    Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu Kuna audio ya Polepole...
  16. Matope

    Media za Bongo na Mwijaku ifike sehemu lazima wawe serious sasa tumemchoka huyu jamaa

    Huyu jamaa shida ni nini wadau tusaidiane kumdadavua?? Anaitwa Mwijaku binafsi sijawahi kuona lolote la maana kwake leo naona kawafomea waandishi wa habari still bado wanamuuliza maswali tu inashangaza Mara asambaze sijui picha za utupu duh yaani nakuwa hoves kabisa
  17. J

    Kwanini wapinzani wanapenda kutumia media za nje kuzungumzia mambo yetu ‘ya ndani’?

    Sasa imekuwa kama imehalalishwa vile kwa viongozi wa upinzani kuvikacha vyombo vya habari vya ndani na kukimbilia media za nje na za washindani wetu wa kiuchumi. Alianza Zitto na zile fedha za kusaidia elimu ya watoto wa kike lakini kwa bahati nzuri WB wakamshushua na kumpuuza. Zitto aliitumia...
  18. Mlachake

    Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

    Leo nilibahatika kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini. 1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu 2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa 3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania...
  19. M-mbabe

    Mikutano ya teuzi za CHADEMA kwa ajili ya uchaguzi 2020 kutokuwa live kwenye mainstream media: je, chama kiliomba na kukataliwa au hakikuomba kabisa?

    Unajua siye wengine hapa ni CCM. Lakini tangu misingi ya chama ianze kukiukwa baada ya Mwalimu JKN kuondoka (RIP mzee), sisi wana CCM asilia tumejikuta njia panda na imefikia mahala tumejikuta tunatamani chama chetu kiwekwe benchi na upinzani ili kiamke usingizini. Ndiyo maana mnatusoma mara...
  20. K

    Poor media visibility ya Mchakato wa kumpata mgombea Urais CHADEMA

    Ndugu zangu, Napenda kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai katika siku ya leo. Uongozi wa CHADEMA, katika kitengo cha media communication kimeprove failure katika jambo hili muhimu la kichama, na hii inanipa maswali mengi ya kujiuliza. Mojawapo ya maswali ni kama yafuatayo: Je, hawa jamaa hawajui...
Back
Top Bottom