mke wangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Mke wangu amewafukuza Mashoga zake

    Sijajua amehisi nini mpaka kuwapiga marufuku mashoga wake aka marafiki zake wa kike na nikimuuliza majibu ni msumari. Hivi mlioolewa mliomo humu vipi mnakaa na mashoga zenu hawana hitilafu ya kuvuruga mahusiano na mwenzawako aka mumewako au hata partner wako?
  2. Z

    Ndugu yangu anamwambia mke wangu kuwa sisi tunalala tu hatufanyi mapenzi

    Huyu ndugu yangu amekuja kwangu kunitembelea, lakini kutwa ni kumzonga mke wangu. Hata mimi hana story zaidi ya kumuongelea mke wangu. Leo mke wangu ameniambia nikiwa sipo anamwambia eti muda wote sisi ni kula hatufanyi mapenzi. Anajaribu kumweleza yeye anavyomshughulikia mke wake muda wote...
  3. tang'ana

    Mke wangu hata hanijali. Nimesafiri toka asubuhi lakini hajaniuliza kama nimefika

    Mko fresh watu wa Mungu? Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi, lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not! Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
  4. S

    Mke wangu amepata tatizo la kutoa harufu ukeni

    Nimekaa naye kwa takribani miaka 12 sasa, ni msafi sana na sijawahi hisi harufu hiyo. Nikawa hadi napiga deki kuenjoy papuch sijawahi fanya hivi kwa mwanamke yeyote. Nilipohamia mkoani kikazi nimeanza hisi hii harufu baada ya muda kidogo tangu nihamie mkoani kikazi, bado ni msafi kwa...
  5. Z

    Nini tafsiri ya ndoto hii aliyoota mke wangu

    Mke wangu kaoota nyoka anamzuia kila akijaribu kupita njiani. Kila akijaribu kutafuta upenyo nyoka anaziba njia
  6. Mwasapile

    Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja tuu lakini nanyooka

    Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!! Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia...
  7. C

    Ushauri: Mke wangu kaondoka usiku huu

    Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa. Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza. ======= Kwa ushauri...
  8. Jokajeusi

    Nimemtimua Nabii aliyekuja kumtembelea Mke wangu

    Mughonile! Nilimuoa Mke wangu miaka 9 iliyopita. Kwa sasa tunawatoto wawili. Mke wangu alikuwa amebobea kwenye Makanisa haya ya upako. Baada ya kukubaliana na vigezo vyangu, ambacho kimoja wapo nilimuarisha aachane na manabii wa upako, akakubali. Ndipo nilipomuoa Kwa ndoa takatifu ya kikristo...
  9. Mkulungwa01

    Nisaidieni: Hivi kwa hili, nadili vipi na huyu mke wangu mjamzito?

    WanaJF za siku nyingi. Kwa vijana nipeni shikamoo zangu. Nimewazidi wengi mno umri humu, niruhusuni niende kwenye mada sasa. Hili suala ninaweza kulitatua ila nahisi approach haitokuwa nzuri. Yaani ninaweza kuharibu kabisa, ukizingatia wife ni mjamzito sasa. Yaani sijui akili yakw ipoje...
  10. K

    Siwashauri muoe wanawake wasomi, jana nimelazwa na njaa na mke wangu, hawajui kubembeleza

    Kwema watu wa mapenzi? Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata. Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me...
  11. Countrywide

    Mdogo wa kike wa Mke wangu ana tabia ya kutusikiliza tukiwa tunafanya mapenzi

    Huenda wengi wanakumbana na hii changamoto na niseme ukweli huwa inanikwaza sana. Mdogo wake wife wa kike huwa ana tabia ya kuja mlangoni na pia dirishani kusikiliza tukiwa tunafanya sex. Nashindwa kumuadhibu au kumfukuza maana ni binti, Ila huu umbea anaofanya sijaukubali hata kidogo. Chumba...
  12. Ngareroo

    Nikija kuoa sitompiga Mke wangu usiku

    Habari za muda hii wadau wa MMU.!?I hope mko poa.. Kwa kisa nilichokishuhudia siku ya sikukuu ya mwaka mpya mwaka huu nikasema sitokuja kumpiga mke wangu nikifanikiwa kuoa. Ni kama mida ya saa8 usiku nipo road natoka Club kwa miguu mdomdo maeneo ya Kwa Mrombo uku Chuga. Njia nzima Niko alone...
  13. mbenda said

    Natamani kumuuliza mume wa mchepuko wangu alitumia mbinu gani kufanya mke wake atulie ili nami mke wangu atulie

    Habari wa JF natumai ni wazima wa afya tele.poleni wagonjwa . Miaka fulani nilikuwa naishi ktk mji fulani, sasa siku moja nilikwenda kumtembelea rafiki yangu ambae alikuwa anamiliki duka la kuuza simu. Nilipofika pale wakati tuaendelea na mazungumzo akaja mdada fulani hivi yule mdada alikuwa...
  14. Raymanu KE

    Jinsi nitakavyofanya siku nikikosana na mke wangu

    Ndoa zinakuwaga na Mambo yake wakuu. Kuna muda uneza tofautiana na mpenzi wako Hadi ikafika point mkanuniana kbsa Hakuna anayetaka kumsemesha mwenzio. Wanaume wengi tunakuwaga hasira nyingi Sana tukikosewa na wake/wachumba zetu mpaka tunaamua kuwapiga na kuwafukuza. Kwa upande wangu Mimi siku...
  15. planexboi

    Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

    Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia. Wakati naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi afu kwa mbaali nikamsikia anasema Alexiiiiii (kwa...
  16. chaz beezz

    Mke wangu tangu abebe ujauzito hana hisia za kimapenzi. Nateseka sana

    Wakuu nimiezi mi4 tangu mke wangu abebe ujauzito kitu kinachofanya mke wangu kuwa mgumu Sana pale linapokuja suala la kushiriki tendo la ndoa (minyaduano). Nimetumia njia nyingi Sana za kumshawishi kutengeneza mazingira ya kupata Raha ya penzi lakini wapi hugoma kabsa tuwapo...
  17. Countrywide

    Mke wangu ni mzuri kupitiliza, wazazi walikua na wasiwasi naweza kusalitiwa. Akiwa mbali nakosa amani

    Miaka kadhaa nyuma when i introduced my wife to my father, I desperately hoped he’d get on. Mshua akanitoa pembeni akaniuliza are you sure she’s faithful to you? My father simply couldn’t accept that someone as good looking as my wif’ wouldn’t be cheating on me at every opportunity, a wave of...
  18. Ndenji five

    Nimeamua niwe muaminifu kwa mke wangu

    Habari wakuu natumaini hamjambo Wakuu kama title inavyojieleza nimeamua tu niwe muaminifu kwa mke wangu ili azidi kuniamini kama mume wake yafuatayo ndio niliyo yafanya ili kuongeza uaminifu 1: Kuna rafiki yangu alikuja kuniambia kamuona wife sehem yupo na jamaa wanakula bata kama siamini eti...
  19. Song of Solomon

    Natamani urudi hata kwa dakika tano mke wangu

    Naumia si kwasababu Mungu amekuchukua bali ni kwakua sikupata kuwa mume wako katika kipindi chote cha miaka sita ya ndoa yetu. Bado nakumbuka meseji yako ya mwisho uliyonitumia uliniambia “Mume wangu njoo tu nyumbani, samahani kwa kukusumbua lakini nataka tu nikuone sijisikii vizuri!”...
  20. Myebusi Mweusi

    Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

    Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne. Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma ...
Back
Top Bottom