mshana jr

  1. Max Mwinuka

    SoC02 Thamani ya Elimu katika Ukombozi wa Jamii

    Elimu ni jumla ya maarifa aliyonayo mtu yanayomuwezesha kutatua changamoto za maisha yake ya kila siku. Elimu si ile tu inayopatikana shuleni na vyuoni bali ni maarifa yote yapatikanayo katika mazingira husika au mazingira yanayo tuzunguka. Elimu ni kitu muhimu sana katika mapinduzi ya kifikra...
  2. NITAKUKAMATA TU

    Msaada mtoto kakataa kukaa

    Habari wana jf , Kwa anayejua anaweza kunisaidia,. Kuna mtoto wa dada yangu ni mtoto wa kiume kafikisha miezi 5 sasa . Lakini amekataa kukaa, ukijaribu kumkalisha kwa njia mbali mbali lakini amekuwa akilia sana ,na kukataa kukaa yeye analala tu Kwa anayejua matatizo ayo yanaweza kuwa endelevu...
  3. Sanyambila

    Klabu ipi imelamba dume kati ya Simba SC na Yanga SC kwa mikataba hii?

    Hivi karibuni timu zetu kubwa hapa nchini zimeingia mikataba mipya na wadhamini wao Simba sc na MBET Yanga sc na SPORTPESA Hapa katikati kuliibuka fununu za simba kuachana na Sportpesa okabaki yanga na yanga alipo saini mkataba mpya watu walisema ni mkataba mnono saana wa billion 12 kwa miaka...
  4. Maria Nyedetse

    Tunaobeza harakati za Mbowe na wenzake

    Natumai hatujambo sote wanajamvi!! Kwa wale ambao Mola Mlezi amewakadiria mitihani ya maradhi, kuondokewa na vipenzi vyao au kupungukiwa na mali BASI tunamwomba Mola Mlezi awape faraja baada ya mitihani wanayopitia!! Aidha, tunamwomba Mola Mlezi awape subira na stahimili Kwani MITIHANI ina...
  5. Mia saba

    Mnawezaje kusoma vitabu kupata maarifa bila kuchoka mapema?

    Kusoma vitabu imekuwa ni moja Kati ya kazi ngumu kwa watu wengi, hivyo kupelekea kukosa maarifa mengi yanayopatikana kwenye vitabu. Mfano. Mm mwenyewe nimeanza kusoma kitabu cha The monk who sold his ferar Nimechoka kabla ata chapter moja kuisha. Swali langu Ni *Mnawezaje kusoma vitabu na huwa...
  6. Trayvess Daniel

    Unyanyasaji wa haki za msingi za watotoa mashuleni umulikwe. Kiambatanisho kwa thread kifike mbali

    Wazazi tuungane kukemea hili. Tunazalisha kizazi cha watoto wajinga in the name of performance. Sisi tulienjoy shule ya msingi. Saa nane kamili unarudi nyumbani. Siku za michezo ni michezo kwelikweli Na baadhi yetu tumesoma shule zina mchaka chaka asubuhNa Na bado tulifaulu vizuri msingi...
  7. Renegade

    JAMES BOND- NO TIME TO DIE TO BE RELEASED IN SEPT 30TH

    TRAILERS 1.https://www.youtube.com/watch?v=mKh5mtnQO9I 2.https://www.youtube.com/watch?v=BIhNsAtPbPI James Bond Movie No Time to Die will be released on sept 30th,2021. The Movie will mark the End of Daniel Craig as James Bond,007 British Agent. The following is the James Bond films and actors...
  8. Chendembe

    Naomba ushauri tafadhali

    Salaaam. Nimekuwa na changamoto katika maisha yangu na familia yangu. 1. Nilikuwa nimeowa mke wa kwanza 1996 na kubahati kuishi kwa miaka 9 ivi na kupata watoto 3. Lakini, ikaja changamoto mke akawa ananishutumu kuwa nawatuma watu wamzalilishe, akawa anakosa amani aliamini kuwa nawatuma watu...
  9. Kiranja Mkuu

    Ana kwa ana Bujibuji na Mshana Jr

    Nadhani hujabahatika kukutana na magwiji Hawa wawili wakiwa nje ya jukwaa letu pendwa. Jumamosi iliyopita nilibahatika kuonana nao mitaa ya Kasumulo wakijiandaa kuvuka mpaka kwenda Lilongwe, hakika ilikuwa ni shangwe Sana.
  10. BASIASI

    Mshana Jr mawazo yako.gm ya kesho kama uko hai mpwa

    Ntafurahi nikiona mawazo ya mpwa want HUyu kabla ya mechi Simba vs yanga Otherwise namtakiaaa mechi njema.kama n mpenzi waoujichanganya avae BARAKOA anawe mikono kabla ya kuzama vibandavyetu vile binafsi ntakuwa kimara bucha WAZEE wA bomoabomoa Njoooona SADAKA YA UKOMBOZI OKOA YANGA ISHINDE
  11. Jidu La Mabambasi

    Mkasa wa David Musyoka ni pure horror movie!

    David Musyoka ni Dereva wa Halmashauri huko Kenya, Kitui County. Siku kaamka vizuri tu na kaenda kazini, akatumwa sehemu kikazi naye kama kwaida kawasha gari akaingia barabarani. Mara akiwa barabarani anaendesha akaona watu wanashangaa ndege tai kashika nyoka. Yule ndege tai akamwachia nyoka...
  12. Zingzingzing

    Kwa upande wako unaweza toa Tsh milioni 2 upate kazi ?

    Habari yenu wana jf. Ikiwa imetokea nafasi au fursa ya kupata kazi serikalini lakini ukaambiwa utoe pesa huyo na ukahakikishiwa utapata kaz, vipi kwa upande wako ungetoa?
  13. 200K

    Nunua Vitu kwa masikini kwa bei ya Haki

    Barabarani unakutana na mwanamke mchuuzi maskini mwenye mtoto mgongoni,Unashusha kioo cha gari lako na kumuuuliza kwa sauti ya kijeshi "UNAUZA BEI GANI HIVYO VITUNGUU NA HIZO NDIZI"? Muuzaji maskini kwa upole anakujibu "shilingi elfu moja kwa kichane cha ndizi na shilingi elfu moja kwa fungu...
  14. Grand Canyon

    Changamoto za kutahiri ukubwani

    Nilitahiriwa nikiwa na miaka 30 tena nikiwa nimeoa tayari. Ilikuwa shida sana, ngoma inaweza kudinda with no apparent reason, sasa zile nyuzi zikivuta ni maumivu makali kweli kweli. Nilijuta kwa nini niliamua kufanya tohara. It was a sruggle! what about you?
  15. Background Check

    Zama za zamani zinarudi

    ZAMA ZA ZAMANI Ilifika wakati zama za zamani zikarudi, wala siyo vile vunubi makanisani Bali mtindo wa maisha ya duniani Ule ukweli ukawa uongo na uongo ukawa ukweli Matendo ya mbinguni wakahadithia waumini Wako walioamini lakini hawakusadiki Dunia ya duniani ikakatiza duniani Hapo hata...
  16. FOX21

    Naomba kuelimishwa ndugu zangu

    Habari za jioni ndugu zangu, >straight to the point" majuzi nili mtembelea rafiki yang aliye kuwa anapata matibab kwa mganga wa kienyeji ambapo alikaa ndani ya wiki 2. Na Hali yake nilikuta inaendelea vizur tu ila nikiwa pale Kuna tukio nilishuhudia likanipa mawazo Sana. Kulikuwa na jamaa...
  17. General mex

    Jumba bovu linaweza kumuangukia mtu yeyote

    Sio kila mtu anaweza kuwa na uelewa wa masuala yote, unaweza kufanya jambo kwa nje likaonekana zuri sana ila kwa ndani kumbe lina shida kubwa. Unaweza kufanya jambo lenye matokeo chanya au hasi kwa siku za usoni ila kumbe kwa siku za baadae likawa na matokeo tofauti. nitajikita kwenye kutoa...
  18. sabuwanka

    Uanaume na mazoezi ya mwili ni pacha

    Pamoja na changamoto za maisha zinavyotupeleka kasi, hivi karibuni kumekuwa na matangazo kila kona ya kurejesha uanaume. Mshana husema urijali, Bujibuji husema nguvu za kiume, hali kwa asilimia kubwa husababishwa na mwili kutokuwa na mazoezi ya kutosha ya kuushughulisha moyo (cardio). Jambo...
  19. Baba ilumba

    Sababu zinazopelekea kuongezeka kwa vitendo vya ukatili kwa watoto katika jamii

    Kwa miaka ya hivi karibuni jamii imekuwa ikishuhudia vitendo vingi ambavyo kwa namna moja ama nyingine si vya kingwana kabisa hasa kwa watoto wadogo waliopo chini ya umri wa miaka 15. Sababu zimekuwa nyingi mno zinazopelekea kwa vitendo hivi kuwepo na kuongezeka kwa kasi sana baadhi ya sababu...
  20. M

    Bima ya NSSF haihudumii mimba ya miezi sita kushuka chini?

    BIMA YA NSSF HAIHUDUMII MIMBA YA MIEZI SITA KUSHUKA CHINI. Habari zenu ndugu zangu! Kuna ukweli au milolongo tu ya hpa na pale, nilimpeleka mke wangu hospital ya DAR GROUP pale tazara kwa matibabu ya tumbo yaliyodumu kwa siku mbili akiwa kwenye hali ya ujauzito, lakini cha kushangaza...
Back
Top Bottom