Habari ndugu zangu, Nimejaribu kushinda sana twitter sasa X siku ya leo.
Huwa naona sana matangazo ya siasa au biashara.
Tukae haswa kwenye siasa. Baada ya kufatilia maongezi mengi, na kubadirishana mawazo kupitia comments.
Kwanza naona mtandaoni siku za sikuhizi wamejaa sana vijana wa makamo...