mungu

  1. OMOYOGWANE

    Uthibitisho: Mungu sio mwanamke ni mwanaume

    Nadhani mungu ni mwanaume, Ktk uumbaji tunaambiwa Mungu alimuumba mwana adamu kwa mfano wqke, mtu wa kwanza kuumbwa ni adamu (mwanaume) kisha mbeleni huko akaumbwa hawa baada ya adam kuwa mpweke, Kama alimuumba mwanadamu kwa mfano wake, Na aliyeumbwa ni Adamu, Na Adamu ni mwanaume, Hivyo...
  2. Jack Daniel

    Kuanzia leo naacha pombe na namrudia Mungu

    Hello Jamiiforums Kichwa cha habari kinajitosheleza, wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo) huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu. Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na...
  3. R

    Dr. Biteko anastahili kupewa nafasi yakuongoza nchi; ana hofu ya Mungu na anaheshimu mawazo, utu na maoni ya wasiompenda na wanaompenda

    Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra. Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
  4. Gulio Tanzania

    Faida nilizipata baada ya kuanza kusoma neno la Mungu ( biblia)

    Watu wengi wamejikita kwenye mambo yao bila kumshirikisha Mungu kikamilifu kwa kusoma neno lake kikamilifu hata wakristo wanaoshinda kanisani wengi siku hizi hawasomi neno zaidi ya kutafuta miujiza utakutana mkristo biblia anaifungua siku za Ibada tu Yani jumapili hadi jumapili na hii ndio...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Ukiachana na Mapenzi na mipango ya Mungu, je wewe unampango au ungependa uishi Miaka mingapi Duniani?

    Kwema Wakulungwa. Kwa kurudia swali; Ukiachana na Mapenzi na mipango ya Mungu, je wewe unampango au ungependa uishi Miaka mingapi Duniani? Mimi Miaka 87.
  6. GoldDhahabu

    Mti wa Mkungu unafananaje?

    Nimeambiwa ni mti wa asili unaofaa kwa kivuli. Sikukumbuki kama nimeshauona ulio mkubwa. Kama kuna mtu mwenye picha ya mti mkubwa wa Mkungu naomba aiweke hapa, na ya mti wa Mdodoma pia. Ninataka kufanya maamuzi ya mti wa kupanda mahali fulani, MDODOMA au MKUNGU! Naomba kuwasilisha🙏
  7. Magufuli 05

    Mwambieni Nape Mwenyezi Mungu kaamua ugomvi na sasa Bahari ipo shwari

    Mbio za sakafuni huishia ukingoni. Kiko wapi sasa? Magufuli alikunyofoa si kwa bahati mbaya Bali alikuona wewe hufai. Ukaishia kumtukana na kumkejeli. Leo Kiko wapi? Mwenyezi mungu kaamua ugomvi sasa karibu kwenye benchi. Wewe umejaa dharau,mikogo na mipasho tu kazi huwezi. Ona sasa ulivyoaibika...
  8. W

    Simwachii Mungu

    By Joh Makini ft Ben Pol I love what I am doing. A city in da houz Yeah… Aaah! Some other people miss the old me Some other people love the new me I thank God all these people They don’t know me yet Class ni kitaa and they crown me yes Hata we shetani kunielewa mimi ni bless Mi sioni mganga wa...
  9. Bunchari

    Naomba anaejua anifundishe jinsi ya kuanza kuhubiri neno la Mungu

    Habari wakuu Kama kichwa kinavyosema hapo juu naomba msaada,pia kama Kuna group za Whatsapp naomba kuunganishwa.
  10. D

    Kazi wanayofanya Gen Z nchini Kenya imetukuka. Mungu atawalipa soon. Gen Z Tanzania amkeni mjikomboe.

    Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025. Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa. Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini...
  11. comte

    Hoja za CHADEMA zinajibiwa kirahisi na muda na Mungu

    https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/bidhaa-zashuka-bei-wachumi-watoa-somo-4695482
  12. Morning_star

    Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.

    Wazungu pamoja na kuwabagua na kuwanyanyapaa watu weusi kwasababu ya rangi ya ngozi yao! Sasa hivi waangalie walivyojichora "tattoo" na miili yao kuwa myeusi kama mkaa! Ebu tupia hapa picha inayoonyesha jinsi wazungu walivyoharibu miili yao kwa tattoo 1 Wakorintho 1:25 [25]Kwa sababu upumbavu...
  13. K

    Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Mh. Nape Mosses amechagua kusema ukweli

    Mh.Nape M. Nauya amechagua kuwa mkweli kuwa kipindi chote huwa wanafanya hivyo apongezwe Kwa ujasiri wake wa kutoa silaa za kivita hadharani .
  14. OMOYOGWANE

    Je wakati mfalme suleman anaoa wake 700 amri 10 za mungu hazikuwepo?

    Wakuu habari, Je wakati mfalme suleman anao wake 700 na kuwa na mademu 300, amri za mungu hazikuwepo? Kwanini anakumbukwa kama mwana wa mungu licha ya kuwa mzinzi? Je ni ipi tofauti kati ya mfalme suleman na king muswati ? Mwenye wake 100
  15. U

    Anthony Lusekelo adai Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na masikini kuikosa mbingu ni 99.9%,

    Wadau hamjamboni nyote? Siyo maneno yangu Bali nukuu kutoka Kwa Mtume Anthony Lusekelo "Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na uwezekano wa masikini kuikosa mbingu ni 99.9%, Mungu huwa hatembei na malofa(masikini) na amesema asiwaone malofa kanisani. Mungu amekataa watu wasije...
  16. Okoth p'Bitek

    Mungu sio mwema

    Nina hoja ningependekeza kuileta mbele yenu wanajamvi.. Kama kichwa na habari kinavyojieleza "Mungu sio mwema" Je ni kwanini ninasema haya. Zingatia hili, katika mafundisho yote ya kiimani tunafundishwa kumchukia shetani na mabaya yake yote ili tumpokee kristu, ni kweli Jamaa ni muovu, wewe...
  17. Pdidy

    Mambo mengine hamfanikiwi kutokana na dhambi, sio uchawi wala mapepo

    Gudmng Tukamate hii kutoka kwa mwl Newton Gordian “Ukweli ni kwamba mambo mengi tunayokwama na kushindwa kufanikiwa hayatokani na mapepo wala wachawi ila asilimia kubwa inatokana na kutokutii sauti ya Mungu na kutokufuata maagizo yake. Kuna wakati wala wachawi hawahusiki wala mapepo ila ni...
  18. Kasiano Muyenzi

    Dickson Kabigumila: Wasanii wa muziki wa kidunia sio watumishi wa Mungu

    Pastor Anafunguka... Sijawahi kuona kampuni ya vilevi kama vile pombe ambayo inamtumia mteja wake mmoja aliyelewa huku anapigana na watu baada ya kulewa kwenye tangazo lake! Au amelala mtaroni kwa kuzidiwa na pombe, au amejisaidia (amejinyea na kujikojolea) huku anaongea mwenyewe maneno...
  19. Yoda

    Angalia vipaumbele vya Waafrika wapokea misaada Vs Wagawa misaada

    Mmoja ni msafara wa nchi wapokea misaada, misfara mingine miwili ni wagawa msaada Netherlands na Uingereza.
  20. U

    Je Mungu yupo sahihi zaidi?anayesema mbinguni kuna kuoa au anayedai mbinguni hakuna kuoa au kuolewa?

    Wadau hamjamboni nyote? Nauliza nipate elimu Mungu yupi ni mkweli? Anayedai mbinguni hakuna kuoa au kuolewa na yule anayesema mbinguni kuna kuoa? Ukisoma Biblia Luka 20:34-35 - Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu...
Back
Top Bottom