mwanamke

  1. albo_stunz

    Je ni kweli mwanamke kabla ya kufanyika upasuaji anatakiwa asipake rangi kucha wala kuzi polish?

    Habari wana jf…Je ni kweli mwanamke kabla ya kufanyiwa upasuaji haruhusiwi kucha zake kuzipaka rangi wala kuzifanyia polish?
  2. Baba Kisarii

    Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

    Anafunguka mwanaharakati..... "Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria Natoa...
  3. GENTAMYCINE

    Kwanini Mwanamke akigundua kakaa vibaya kwenye public na watu wameona hukosa tena confidence ila kwa wanaume wao hawajali kitu?

    Kuna mahala nilikuwa katika Kikao kidogo ndani ya Ukumbi na kuna Dada kwa kutokujua kuwa alikuwa anatuonyesha Video ya bure ya kilichopo katikati ya Miguu yake (ila Kimefunikwa) na alipojulishwa na Mwenzake akakaa vizuri na kutunyima Uhondo wazee wa Chabo na ghafla Confidence yake ikashuka na...
  4. BISLETT STADION

    Mchumba - Mwanamke baadae awe "MKE".

    Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu. Endapo wewe ni mwanamke na una uhitaji wa mume basi nakufahamisha kuwa 'tatizo lako limepata suluhisho'. Mimi nina uhitaji wa mwanamke ambaye kwa kuanzia awe rafiki/Mchumba lakini baada ya kufahamiana zaidi kitabia na hulka baina yetu tukiridhiana basi...
  5. A

    Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye uhitaji kweli

    Habari wakuu. Nahitaji mwanamke wa kuoa ambae yupo tayari kwa mahusiano na kuolewa. Umri wake uwe kuanzia miaka 20 mpaka 30 akiwa na mtoto sawa hakuna shida. Sifa zangu Umri 30
  6. Money Penny

    Utajuaje kama mwanamke yupo vizuri kitandani? Bro Code imeshuka

    Nyieee Maswali yenu mnaniletea whatsapp sijapenda kabisa Ila kuna ukweli huu wa asilimia 200 kwa wanawake Ukitaka kujua kuwa mwanamke yuko vizuri kitandani, kumjaribu sio lazima umfunue na kumpapasa, mwambie akupikie chakula unachopenda cha kwenu au nchi yako, akipika chakula kizuri na kitamu...
  7. Gulugujatza

    Lipi ni bora, kuwa muhuni yani nitoke nje ya ndoa au kuachana na huyu mwanamke?

    Habarini za JIONI wakuu? Mimi ni kijana wa miaka 32 mnamo mwaka 2019 nilibahatika kupata mwanamke kutoka Kanda ya ziwa{Tabora}..,nilimpenda sana na nahisi nae alinipenda japo siwezi semea nafsi ya mtu. Ilipofika 2020 alihitaji sana kukaa NAMI nyumba moja kama mume na mke..,kweli KUTOKANA na...
  8. Lady Whistledown

    Kuwa mkweli, ukikuta mwanamke ananyanyaswa mtandaoni utaingilia kumsaidia?

    Katika ulimwengu wa sasa, wanawake wanazidi kutumia mtandao kuonyesha vipaji vyao, kushiriki mawazo yao, na kuunganisha na jamii. Lakini pamoja na hayo, unyanyasaji mtandaoni umekuwa tatizo kubwa linalowazuia wanawake wengi kujieleza kwa uhuru. Je, unafikiria nini unapoona mwanamke...
  9. Ncha Kali

    Mwanamke yeyote anayemwendesha mwanamme wake, atalipia dhambi hiyo.

    Chukua hiyo! Iwe kwa uganga au nguvu ya kiuchumi. Kumwendesha mwanamme inamfanya asiwe mwenye furaha. Mwanamme akikosa furaha usitarajia kupata furaha pia. Na jiandae kulipa kwa hilo, iwe mapema au kwa kuchelewa. Mwanamme ni KIONGOZI, regardless hali yake..... chagua yule anayefaa...
  10. Gol D Roger

    Mwanamke ni mtu mwenye akili zaidi ya tunavyodhani

    Wanawake wana akili zaidi ya tunavyowadhania, sema tuu hujifanya kama hawana akili, haswa akiwa karibu na mtu anayempenda na anayemwamini. Huwa wanajizima data na kujifanya hawana akili au mambo flani hawaelewi, hii wanafanya kwa makusudi kabisa na wanajua wanachokifanya, sio bahati mbaya...
  11. safuher

    Kidume inabidi uwe tough kwa demu unayetaka kumtongoza, utampata kwa urahisi

    Kujaribu kumfavor mwanamke unayetaka kumtongoza aisee kosa kubwa saaaana. 1. Umekutana na dada amekaa kwenye siti yako ya dirishani usimuache akae hapo hata kama unataka kumtongoza, mwambie nahitaji kukaa kwenye hiyo siti ambayo nimeshaikatia tiketi. Atakuona ni shujaa, hatokuchukulia poa...
  12. Kasie

    Raha ya mwanamke kuendesha/kupanda farasi

    Kama kawa, kama dawa.... Asili kuacha ni kimbembee.... https://youtube.com/shorts/FGKi35ClhvM?si=TYfyZ1TtOMv45IZt Muonekano hapo juu wa picha unasema yote, mwanamke akiwa juu ya Farasi.... Utaona tuu, hatuliii Atatikisika tuu kama si mabega basi matiti ama tumbo ama bambataa aahahahahhaa...
  13. Tman900

    Mwanamke anahitaji kuhudumiwa/ (Maslai ktk Mahusiano au Ndoa) K

    Ili mwanamke akubari kuolewa au kua ktk mahusiano na mwanaume Kuna vigezo huwa wanavingatia, kwa % Kubwa ya wanawake anachoitaji ni kuhudumiwa. Na kupata unafuu wa Maisha, kiujumla wanawake wapo kimaslai zaidi, hata mke ulie nae, hayupo hapo kwa ajiri ya Upendo ila yupo hapo kwa sababu...
  14. Tman900

    Mwanamke anatazama maslahi ( Uhakika wa maisha)

    Ili mwanamke akubari kuolewa au kua ktk mahusiano na mwanaume Kuna vigezo huwa wanavingatia, kwa % Kubwa ya wanawake anachoitaji ni kuhudumiwa. Na kupata unafuu wa maisha, kiujumla wanawake wapo kimaslai zaidi, hata mke ulie nae, hayupo hapo kwa ajiri ya Upendo ila yupo hapo kwa sababu...
  15. TheForgotten Genious

    Je, unaweza kuthubutu kumchumbia mwanamke ambaye aliwahi kutongozwa na baba yako wa kufikia?

    Case study. Chukulia wewe ni kijana wa familia flani ambayo Mama wa familia ni Mama yako mzazi Baba ni wakufikia unasoma na huishi hapo Home unarudi mara Chache. Hapo Home mna beki tatu moja matata Sana, mali safi toka tanga anatokea kukupenda ila anashindwa...
  16. I X 01

    Ni kweli Mwanamke anaweza akakuletea nuksi?

    Wakuu naomba kuelewa imekaaje unakuwa na mwanamke akawa nuksi unaweza kumtambuaje?
  17. W

    Nimejichanganya kuoa mwanamke mwenye mimba

    Mwezi watano katika mihangaiko yangu nikakutana na mdada mmoja nikamwelewa tukayajenga mwisho tukakubaliana kuishi pamoja. Alinieleza changamoto zinazomkabili huku akiwa na mimba ya miezi 2 anasema baba wa mtoto wamepotezana ni watu waliokutana katika kudanga hivyo hajui namna ya kumpata...
  18. Money Penny

    Anataka mwanamke mwenye dimples kwenye Mahips yake, nifanyaje?

    Kama kawa mama enu nimerudi na stori ingine tena Leo natoka zangu kazini, nikapigiwa simu na shogangu tukutane mikocheni plaza ana stress za mapenzi Nikaenda kumsikiliza vizuri tu, lalamiko lake kubwa ni kuwa; Bwana wake amemuacha, kabla hajaachwa akamwuliza bwana wake, kwanini unaniacha...
  19. Hyrax

    Mwanaume!! Adui wa kwanza wa mafanikio yako ni mwanamke au wanawake utakaokuwa nao.

    Endeleeni kuwatukuza, Nimesoma leo Kitabu cha mwanzo pale kwenye bustani ya Edeni, Adam alikaa poa na viumbe wengine bila makwazo wala mzozo ila alipoingia mwanamke maisha yakabadilika mpaka leo tunaishi maisha yakiwaki. Nimegundua mwanaume kuishi mwenyewe bila mwanamke ndio nguvu ya mafanikio...
  20. Ushimen

    Kila mwanamke anatamani mwanaume anaempa solutions

    Wavulana wengi wanafikiri eti..... Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...🤣 Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...😜 Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...☹️
Back
Top Bottom