mwanamke

  1. Jaji Mfawidhi

    Huenda ni mwanamke 1 kati ya 10 ndio amewahi kufika kileleni kwa Dar es Salaam

    Kufika kileleni kwa baadhi ya wanawake huambatana na kurushwa kwa maji-maji ukeni yakiruka kama bomba kupitia njia ya uke lakini si haja ndogo.Majimaji hutoka karibu na uke, kwenye tezi inayoitwa "skene". Kwa wanaume wakifika kileleni hukakamaa, hutoa mlio kama simba, kumkumbatia mwenza na...
  2. Hamumu

    Nifanye maamuzi gani kwa huyu mwanamke?

    Habarini wadau. Niende moja kwa moja kwenye mada... Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi...
  3. Thabit Madai

    Mwanamke wako anavumiliwa na kusamehewa kwa haya...

    Mdau wa JamiiForums wacha nikusogezee makosa ambayo Mwanamke wako anavumiliwa na Makosa ya kusamehewa 1. Kupika vibaya 2. Kuzidisha chumvi. 3. Kulimbikiza uchafu. Lakini sio. 1. Ku cheat na 2. Kukudharau. Kusamehe makosa mawili ya mwisho ni upumbavu. 1. Ku cheat na 2. Kukudharau.
  4. Thabit Madai

    Je, Mwanamke wako anakusaliti? Fahamu viashiria vya Mwanamke anayekusaliti

    Mdau baada ya mihangaiko ya siku nzima ya kujenga nchi wacha tujipumzishe na hii, tufahamu Indicator za Mwanamke ambae anacheat. 1. Anakua mkali unapomjibu maswali rahisi au anakuuliza kwanza kabla ya kukujibu. 2. Anakuwa na rafiki mpya anaemthamini kuliko hata ndugu zako mara nyingi ndo...
  5. Waufukweni

    Chidi Benz ataja sifa za Mwanamke ambaye hawezi kumuoa

    Kila mwanaume ana vigezo maalum au sifa anazozitazamia kwa mwanamke ambaye angependa kuwa naye kwenye ndoa, na mara nyingi tabia hizi zinakuwa ni msingi muhimu kabla ya kuingia kwenye mahusiano. Msanii wa muziki wa Hip Hop, Rashidi Abdallah, maarufu kama Chidi Benz, amefunguka kuhusu aina ya...
  6. Ustadh tongwe

    Mwanamke Muislam 25+ years anaehitaji ndoa, aje PM

    Habari zenu wana jukwaa anahitajika mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa ambaye yupo serious anitumie ujumbe PM (DM) awe muislam umri 25+ awe tayari kwa ndoa.
  7. Q

    Natafuta mchumba Mwanamke

    Nipo mbele yenu natafuta mwanamke ambaye yupo single ili tuweze kuwa wapenzi na hapo badae nimuoe nimechoka kuwa bachelor kwa muda mrefu nipo serious kwa mwanamke au mdada ambaye yupo tayari PM ipo wazi.
  8. Lady Whistledown

    Rais wa Ethiopia aondolewa, Samia abakia Rais Pekee Mwanamke Afrika

    Aliyekuwa Rais wa Ethipia Sahle-Work Zewde (kushoto) na Rais mpya wa nchi hiyo Taye Atske Selassie (kulia) Taye Atske Selassie, aliyekuwa Waziri wa mambo ya nje tangu Februari, 2024, ameapishwa mbele ya Bunge kuwa Rais wa Nchi hiyo huku mamlaka ya kisiasa ikiwa kww Waziri Mkuu, Abiy Ahmed...
  9. Mr No fair

    Hivi kwa dunia ilipofukia leo yupi mwenye uhitaji zaidi wa ndoa kati ya Mwanamke na Mwanaume?

    Kwa trends ya mambo yanayoendelea yupi Anahitaji zaidi ndoa kati ya jinsia Mwanamke na jinsia Mwanaume kutokana na kuingia na mambo ya usawa wa kijinsia na uwepo wa tamaduni zetu za kiafrika yupi Anahitaji zaidi ya mwenzake wa kuipata ndoa yupi ana manufaa zaidi ya hiyo ndoa?
  10. M

    Naomba kupatiwa jina la wimbo huu wa tangazo la salama condoms. Ilikuwa ni miaka ya 2004-2005..kuna mwanaume na mwanamke wapo ndani sebuleni wanajiand

    Naomba kupatiwa jina la wimbo huu wa tangazo la salama condoms. Ilikuwa ni miaka ya 2004-2005..kuna mwanaume na mwanamke wapo ndani sebuleni wanajiandaa kufanya mapenzi, mwanaume akakumbuka kitu, akapandaa juu ya sturi akafungua dari na kuchukua kitabu kama kava hivi halaf akatoa condom...
  11. Bi zandile

    Aziniye na mwanamke hujiangamiza mwenyewe

    Kaka zangu chukueni hii.... Unapozama kwenye himaya ya mwanamke, ukiibuka pale lazima kuna kitu unaondoka nacho. Waweza kuchukua baraka au mikosi na nuksi kwa huyo mwanamke. Kuna mwanamke, mke mwema aliyeandaliwa na Mungu mwenyewe kwa ajili yako, huyo mke mwema ukizama kwake tu unajikuta...
  12. Pang Fung Mi

    Mnisamehe sana Nilikuwa Nakosea sana Mwanamke kuwa na Chuchu Dodo bila Nyashi haina vibes za kudumu kwenye Mtanange

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, mimi nimekuwa muumini sana wa kipaumbele cha chuchu Dodo, ila kwa hakika naomba nikiri niombe radhi nilikuwa nimepotea kimtizamo na kivigezo , Nyashi Ina mchango mkubwa sana kwenye mvuto na hisia za mizagamuo. Sitaki niwachoshe itoshe kusema hivyo ntaendelea na...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

    JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE WAKO AWE NA FURAHA! Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Watibeli tunajua kufurahisha Wake zetu. Na Wanawake wa kitibeli hujua kuwapa Raha Waume zào. Ingawaje mapenzi Kwa wengi NI kipengele na wengi husema hayana mjanja lakini kwa Watibeli mambo kidôgo ni tofauti. Kwetu...
  14. C

    Kumuoa mwanamke kwa kumbeba

    Kwema wakuu, Hivi hii staili ya kumchukua msichana kwa nguvu yaani unatafuta majamaa mnamteka then mnabeba na kumpeleka home then mnamfungia unakaa naye unajipigia kama mwezi ndo unamfungulia je bado inafaa kwenye jamii?
  15. Lady Whistledown

    Pre GE2025 Ni mwanasiasa gani Mwanamke wa Tanzania ambaye unavutiwa na Utendaji Kazi wake?

    Tanzania ina historia ya kuwa na wanasiasa wa kike wenye ushawishi mkubwa katika ujenzi wa taifa na kuleta mabadiliko chanya. Wanawake hawa wamekuwa mstari wa mbele katika kukuza siasa, kuongoza mabadiliko, na kupaza sauti za wananchi katika kushughulikia changamoto mbalimbali. Je, ni yupi...
  16. Desire mobutu seseseko

    Ukweli mchungu Mwanamke akikusaliti hakupendi, achana naye hana hisia nawewe

    Hakuna msamaha wa cheating kwa mwanamke wako kaka. Usithubutu kuruhusu kudharaulika mara mbili hatakama mtu unampenda kiasi gani. Mpaka akathubutu kuruhusu kupanga siku mpaka wakaingiliana kimwili maana yake kihisia anamkubali otherwise ni malaya. Mwanamke hakulani na mwana asiemkubali...
  17. Tajiri wa kusini

    Natafuta mwanamke wa kuoa aliyekuwepo morogoro au mpanda ili niweze kuhama

    Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
  18. Money Penny

    Anatumia simu yake wakati wa kufanya tendo la ndoa? Sijapenda kabisa, nifanyaje?

    Mteja; Money Penny Money Penny: ndio boss Mteja; sijapenda kabisa tabia yenu wanawake hasa huyu wangu Money penny: nini tena jamaan Mteja: huyu mwanamke nilienda sijapenda kabisa anachofanya Imagine wakati nampa utamu kitandani yeye anachat na simu anaongea na simu sasa ndio nini? Money...
  19. X

    Hivi wewe mwanamke (modern woman) unapata wapi nguvu ya kumuita mwanamke mwenzako malaya au hajatulia

    Leo nimetua Dar kutoka kwenye mishe zangu na kwa kuwa Jah kanibless na chochote kitu kwanza nikawacheki washua wakanibless. Then nikawacheki wanangu tukakutana eneo fulani tulivu O'bay kwa kuwa mimi si muumini wa kelele. Wanangu huwa siwatupi bora nispend nao kuliko kuspend na hawa modern women...
  20. Yoda

    Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

    Ukiwa Feminists ni shida, Single mother ni shida, Ukiomba pesa malalamiko Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo. Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo Ukivaa nguo za kubana sio wife material Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa. Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
Back
Top Bottom