Mimi nilianzia QT mwaka juzi na nimemaliza Kidato cha nne mwaka Jana na matokeo yangu ni lama ifuatavyo, Civ 'C, Hist 'C, Geo 'C, Eng 'D, Kisw 'C, Phy 'C, Chem 'B, Bio 'C, Math 'A.
Umri wangu ni miaka 24
Naombeni ushauri kama nikienda chuo nikasomee nini chenye fursa?
Na Kama nikienda...