samsung

  1. Last sentinel

    Phone4Sale Samsung galaxy A10 for sale

    Nauza samsung galaxy A10, 32GB internal storage na RAM 2 GB bei 200,000/-Price is negotiable Contacts: 0759-124378
  2. TECNO Tanzania

    TECNO yatangaza teknolojia mpya ya RGBW camera sensor + glass ambayo imetengenezwa kwa ushirikiano na Samsung kwenye mfululizo wake wa CAMON 19

    Barcelona, Uhispania, Februari 28, 2022 - Wakati wa toleo la hivi karibuni zaidi la Kongamano la Dunia la Simu (MWC 2022), moja ya matukio makuu katika ulimwengu wa teknolojia ya simu, TECNO Mobile, mtengenezaji wa simu za kisasa wa hali ya juu kabisa tulitangaza kuwa teknolojia ya kichujio cha...
  3. M

    Naomba kujuzwa bei ya Samsung S20 ultra 128GB Dual Sim

    Wadau nipo njia panda kidogo Hivi Samsung S20 Ultra 128GB dual sim mpya inapatikana madukan kwa sasa hapa DSM na bei yake ipoje maana madealers wengi wakkoo wanadai hamna mpya na wanasisitiza nichukue refurb. Je hizo refurb zina usalama na uhakika kweli? Na bei zake zipoje
  4. Nyuki Mdogo

    Phone4Sale Samsung A10 kwa 170,000. Ubungo Dar

    Bei hio 170,000, namba 0713096076 samsung galaxy A10 ipo ubungo external piga simu chap
  5. Mnyuke Jr

    Samsung S9 inahitajika haraka sana

    Offer yangu ni 280,000/= Chapu kwa haraka njoo tufanye biashara
  6. Msololi53

    Phone4Sale Nauza Simu Samsung S8 Plus

    Baada ya kuona wadau (USAWA) hela imekuwa ngumu, nimeshusha kwa kiwango cha rami mpaka 250K Karibuni
  7. R

    Tupeane offer nzuri za simu kipindi hiki cha sikukuu (Samsung Only)

    HABAR WADAU Mambo ni mengi mda ni mchache ni ngumu kwa binadamu mmoja kupata taarifa zote so usishangae kuna offer tamu sana yenye discount ya kutisha ikakupitia hvhv ndio mana nimefungua uzi huu ili wadau tupeane habar simu gan kali zina discount nzuri za samsung kipind hiki cha sikukuu...
  8. T

    Samsung Galaxy S22 Ultra inasemekana kuja kua na picha nzuri kuliko S21 Ultra

    GsmArena wamasema wamepata taarifa kwamba kampuni ya Samsung inayotarajiwa kuachia simu yake ya mwaka ama Flagship Phone ya S22 Ultra ambayo inatarajiwa kua na picha kali zaidi kuliko S21 Ultra ya mwaka huu. Binafsi nasubiri S22 Ultra ikiwa kweli ina picha kali nafanya trade off faster na hii...
  9. MKANDAHARI

    SAMSUNG PHONE

    Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.
  10. Ramon Abbas

    Phone4Sale Simu 2 zinauzwa Brand Samsung: A10s na A30

    zote ziko vyema sana. A10s hii hapa ram 2 rom 32 bei 170,00 at kigamboni, Dar es Salaam
  11. Ramon Abbas

    Phone4Sale Samsung A10s 4sale at Matumbi Dar es Salaam

    NAUZA SIMU samsung A10s, used like one year GB32 RAM 3 4G speed 165,000 Ipo Dar matumbi. 0713 096 076... piga simu punguza comments
  12. Ramon Abbas

    TV4Sale Tv samsung 32" kwa 300,000

    Samsung 32"Led TV.. iko kijichi Dar. BEI YAKE 300000 0713096076
  13. TECNO Tanzania

    TECNO kuachia toleo jipya la simujanja TECNO CAMON 18

    TECNO tunatarajia kuachia toleo jipya ya simu janja TECNO CAMON 18 hivi karibuni ambayo italeta ushindani mkubwa na simu kutoka kampuni ya Samsung. CAMON 18 Premier ina sifa kuizidi simu ya Samsung Galaxy A52. Kamera TECNO CAMON 18 Premier ina sifa ya kipekee kuwa na GIMBAL CAMERA, ambayo...
  14. Clark boots

    Simu Samsung Brand inahitajika

    Ohy wadau nahitaji simu(Samsung) yenye good condition tufanye biasharaa , Pia isiwe chini ya 64 GB internal itakuwa poa sana. Kama uko Dar au Moro town na una mzigo njoo tuongee
  15. The Assassin

    Samsung yaachia Operating system update Andorid 12 kwa simu S21 Ultra

    Kampuni ya Samsung wameachia updates ya os ya Android 12 ama UI 4 kuanzia tarehe 15 mwezi huu kwa simu za Samsung Galaxy S21 Ultra. Ila hii updates ilianzia huko Marekani, Ulaya na Korea Kusini kwenyewe. Naona kadri siku zinavyoenda inasambaa kwa mataifa mengine. Leo mimi simu yangu imepata...
  16. M

    Phone4Sale Samsung Galaxy Note 10+ inauzwa

    Habari Wanajamvi, Nauza simu yangu mwenyewe ni Samsung Galaxy Note 10+. Ina mwezi mmoja tangu niinunue, ina risiti niliyonunulia na boksi lake Bei ni laki 8.5, inapungua kidogo sana Kwa aliye serious anifuate DM Location, nipo Dar es salaam
  17. S

    samsung A Series

    Ninatumia samsung A 7 ya mwaka 2017, na ninaiona iko vizuri kuliko hizi A series nyingine zinazotoka miaka hii hadi zimefika A51, je kuna tofauti gani ya kitaalamu kati ya hii A7 yangu ya 2017 na hizi A series mpyampya zinatoka mfululizo. Nisije kuexchange A7 yangu nikajuta ?
  18. Samsung_Store_Tanzania

    Phone4Sale Samsung galaxy A32 bei 750,000tsh

    Samsung Galaxy A32 Bei:750,000Tsh PHONE:0622666111 RAM:6gb internal storage 128gb camera:64MP+8MP+5MP+5MP battery:5000mAh,fast charging 15w Os:Android 11, One UI 3.1 Network:LTE warranty:samsung care + 2years na warrant ya kioo 1 year karibu tupo china plaza ground floor tunaangaliana na lift...
  19. Abu Haarith

    Msaada wa kubypass samsung galaxy a12 nitalipia huduma

    Habari wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina samsung yangu galaxy A12 ime hard setiwa nahitaji msaada wa kutolewa pass nitalipia huduma
  20. Tugutuke

    Phone4Sale Samsung A21s for Sale

    Simu Used Full Box iko sokoni,Full Documents. Brand; SAMSUNG A21s Internal; 64GB RAM; 4GB Condition; Iko kwenye hali nzuri,nimeitumia miezi 5 tu. Location; Dsm. Price/Bei; 350,000/- Mawasiliano; Njoo PM kama tutaelewana hapa. Karibu tuongee BIASHARA.
Back
Top Bottom