Samsung Galaxy A03s zimeshafika brand new
Karibu tukuhudumie tupo kariakoo china plaza ground floor shop no 4 ,tupigie 0622666111
zinakuja na warranty ya miaka 2
Key Specs
☑️Display
6.50-inch (720x1600)
☑️Processor
MediaTek Helio P35
☑️Front Camera
5MP
☑️Rear Camera
13MP + 2MP + 2MP
☑️RAM
3GB...
Nauza Samsung Galaxy S8 Edge
Ina 4GB Ram
64GB Storage
Battery health 100%
Inakuja na Original Fast Charger na Kava lake.
Haina crack wala mchubuko wowote.
Imetumika miezi 2.
Bei 390,000 maelewano yapo.
Contact 0623464795
Wakuu, habari za jumapili?
Niliamua ku-upgrade simu yangu kwenda Samsung S21 Ultra na ku-test the difference, nikanunua hiki chuma, aisee hii chuma ni habari nyingine.
Kwanza kiko smooth, hii 120HZ screen refresh rate ni habari nyingine kabisa. Simu laini, ukigusa tu kidogo app ishafunguka...
Kampuni ya Vifaa vya Kielektroniki ya Samsung imesema imezifungia runinga za kisasa (Smart TV) ambazo ziliibwa kufuatia ghasia zilizotokea baada ya aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo, Jacob Zuma, kuhukumiwa na kuanza kutumikia kifungo cha miezi 15 gerezani.
Hukumu ya Zuma ilipelekea maandamano na...
Bei ni 320,000/=
64gb|4gb RAM
In a very Good condition
▪︎Doted (ina kidoti kidogo kwa juu)
▪︎Haina mchubuko wala mkwaruzo
▪︎Nakupa wire na earphone
▪︎Sehemu yoyote unayoitaka tunaeza fanyia biashara(Hata kituo cha polisi)
Contacts: call/sms/whatsapp0654030252
Wakuu Kwema?
Kuna TV funa nakaribia kuipata, mazingira yenyewe ni kua naipata TV tupu, sasa nimeicheki nimeiona kwenye Pots zake kuna One Connect, USB na Internet tu. Huu wa ONE CONNECT ndi utaunga device itakayokua na pots za HDMI, AV, etc.
Sasa nauliza hii device ya One Connect naweza...
Imejilock. Na password yake ni 2000. Siwezi kufanya chochote napokea simu tu. Ikitaka passwaord nikiweka inaniambia nijaribu baada ya sec 30. Kila nikijaribu inarudia tena hivyo hivyo. Kama kuna maujanja mnisaidie tafadhali.
Chief-Mkwawa
reyzzap
Asalam wakuu natumaini wazima.
Kuna simu Samsung s6 inazingua accessibility ya internet kila nikijaribu ku surf inanambia unblock Samsung internet first hata nikitumia wi fi mziki ni uleule,naombeni ushauri kabla sija restore factory au kuiflash nifanye nini?
Members msaada, nahitaj kuapdate mannual samsung note 4 ifike android 6, kwenye web ya samsung ukitaka kidownload wanataka uchague nchi ila tanzania haipo, nichague nchi ipo hapo au yoyote tu maana kwa africa naons south africa (vodafone)
Nina kioo cha Samsung A30 original, simu ilizima ikiwa na mwezi mmoja tu. Hakina mikwaruzo
Nahitaji mashine, ila kama una mashine unahitaji kioo nicheki 0622009372 .
Location: Songwe Mbozi
Leo nilikuwa maeneo flani nikakutana na Rafiki angu akawa amenipa simu yake niandike namba yangu lakini nikasema sio mbaya niangalie property za simu ofcourse CAMERA yake ni kali sana...
Storage ya kutosha lakini kwenye betry ndo nilichoka yani simu ina 60% lakini inaandika 1DAY mpaka iishe...
Uamuzi wa kampuni ya simu ya Samsung kushusha bei ya simu zake aina ya Galaxy S21 unaonekana kuipa faida kampuni hiyo baada ya kumpiku mpinzani wake wa karibu, Apple katika mauzo ya simu duniani kwa robo ya kwanza ya mwaka huu.
Kampuni hiyo ya Korea Kusini imeonekana kufanya vizuri katika mauzo...
Salaam wadau, nataka chukua simu kati ya hizo mnili, ipi inafaa kwa matumizi ya kawaida? Au ni simu gani nyingine nichukue kwa bajeti inayoendana na hizo yaani 300-450k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.