soka la bongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. UMUGHAKA

    Kwasasa zile kelele za GSM anaharibu ligi kutoka Simba hazisikiki tena !

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane MOJA KWA MOJA KWA MAKOLO Kwasasa zile kelele za "GSM anaharibu ligi" hazisikiki kabisa! Kwasasa Makolokwinyo wamehamia kwenye mjadala wa kizushi na Kishambenga kutoka Kwa muhasisi wa mjadala huo Jemedari Said! Hata wale wazee washinda njaa pale Bunju...
  2. ngara23

    Coach Abdihamid Moallin karibu kwenye timu ya wananchi

    Coach mashuhuri mwenye mbinu za kimafya anajiunga na timu ya ndoto yake Young Africans. Coach Moallin ameaga uongozi na wachezaji wa KMC Sasa anaingia timu ya Wananchi Sasa Dube atafunga magoli 49 Kwa msimu, maana anajua kumtumia kiwanja tangu alivokuwa Azam Hii combination ya bench la ufundi...
  3. Chizi Maarifa

    Kamwe usiruhusu Mtoto wako awe Mshabiki wa Simba na Yanga. Atakuwa fala

    Mashabiki wa hizi team... Wanakuwa hawana akili. Asilimia 80 plus. Usibishe.niamini mimi. Msikilize anachoongea Ali Kamwe na anachofanya akiwa ameambatana na mashabiki hao hao. Ni hovyo kabisa. Hamna akili. Kauli anazotoa Ali Kamwe kwa sasa au anachoandika kinaonesha alipata udumavu wq akili au...
  4. M

    Ni kwanini Yanga au Simba hawautumii uwanja wa Uhuru

    Ninajiuliza inakiaje waende Azam na baada ya kukimbia Azam wamekwenda KMC. Mbona uwanja wa Uhuru shamba la bibi upo vema tu. Au umefungiwa?
  5. Torra Siabba

    Tetesi: Kocha Mkuu wa KMC Abdihamid Moallin amejiuzulu kuifundisha KMC

    Kocha Mkuu wa KMC Abdihamid Moallin inadaiwa kwamba amejiuzulu kuifundisha KMC kuanzia leo novemba 11. Mpaka sasa KMC ambao ndio wamiliki wa Kocha huyo hawajasema chochote lakini taarifa za kujiuzulu kwake zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii Kabla ya kutua KMC Moallin alikuwa...
  6. Torra Siabba

    Tetesi: Ndoa ya Gamond na Yanga yavunjika Rasmi, Aonekana Mwanza akila Bata

    Wakati kukiwa na taarifa kuhusu Yanga kumtema Kocha wake Miguel Gamond, imethibitika kwamba ndoa ya Yanga na Kocha huyo Imevunjika Rasmi. Ni hivi Jamaa ameonekana Mwanza leo na anachongojea kwa sasa ni Fedha zake za kuvunja mkataba kutoka Yanga ili maisha yaendelee Hili ndio chanzo cha Anguko...
  7. M

    Tetesi: Klabu ya Simba SC ipo mbioni kuhamishia mechi zake uwanja wa AZAM complex- Chamazi mara baada ya Yanga kuhamia KMC complex

    Ili kuonesha kuwa siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Kuna tetesi kuwa klabu ya Simba sc imeamua kuhamishia mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Azam complex ili kupishana na mahasimu wao wa jadi klabu ya Yanga Ambayo imeamua kuuhama uwanja huo bila ya kutoa sababu maalumu mara baada ya...
  8. mwarabu feki

    Upi mchango wa Haji Manara kwenye Tasnia ya michezo nchini?

    Nimejaribu kumsikiliza leo kupitia Amplifaya ya Milard Ayo, sijaona cha maana zaidi ya kujisifu tu kwamba ndani ya miaka miwili atamiliki/atanunua klabu ya ligi kuu Tanzania. Pia anadai yeye analipwa pesa nyingi na GSM kuliko baadhi ya wachezaji wakubwa hapa nchini. Nataka kujua huyu mtu ana...
  9. G

    Kihasibu "Prince Dube" ni LIABILITY, Milioni 500 za kumvunjia mkataba na kumpa milioni 30 kila mwezi ni kipigo kizito kwa Yanga

    Wengi wanakurupuka kwenye kchaka cha Kibu Dennis, Kibu alijiunga simba akiwa mchezaji huru, Yanga walivmsajili Dube kwa milioni 500 Kibu yupo kwa miaka mitatu kashafunga sana anavumilika, Dube kashaanza kuonekana mzigo, havumiliki. Dube anangia Yanga analipwa milioni 30, Kibu kapambana sana...
  10. Mkalukungone mwamba

    Haji Manara: Mimi na kocha Gamondi hatusalimiani, aliwahi kunipa tuhuma nzito kutaka yeye afukuzwe Yanga

    Wakuu msikie Manara huko! Anasema katika kipindi cha kuelekea katika kilele cha wiki ya mwananchi mwezi Agosti mwaka huu 2024 wakati ameenda kambi ya Timu ya Yanga kuongea na wachezaji na bechi la ufundi ili kuwapa plan ya siku hiyo ya wiki ya mwananchi, lakini siku yake ikaharibiwa na kocha...
  11. GENTAMYCINE

    Hamuutaki sasa Uwanja wa Azam Complex baada ya kuchezea Vipigo viwili mfulilizo, kwani Azam na Simba waliwalazimisha Kuutumia?

    Na msivyo na Akili pengine ndiyo maana hata aliyekuwa Kocha Mkuu wenu Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) alisema (ipo YouTube) kuwa mna Akili kama za Nyani, Mbwa na Sokwe leo mmesahau kuwa ni nyie nyie mlikuwa mnatamba kuwa Uwanja wa Azam Complex una Bahati sana Kwenu na mtautumia kwa Mechi zenu zote...
  12. C

    Gamondi asitimuliwe

    Ni kweli amepoteza mechi mbili mfululizo, lkn ni kocha gani aliwahi kuifunga Simba mara nne mfululizo zaidi yake? Wana Yanga tusijichanganye? Hata aibu ya karne ya (1 - 5) katubeba yeye. Kwa upande wa records muhimu, katuvusha kucheza robo fainali (kibabe kwa kumjibu 4 - 0 muarabu Belouizdad)...
  13. Chapati Tatu

    Miguel Angel Gamondi aondoke au abaki Yanga? Kwa nini?

    Kumekuwepo na mijadala yenye mawazo mchanganyiko kuhusu mwenendo wa kocha mkuu wa Yanga. Tuchanganue hapa yafuatayo: 1. Nini kinachowapa mashaka mashabiki wa Yanga kuhusu mwenendo wa benchi lao la ufundi? 2. Kwanini aondoke wakati huu na asipewe muda wa marekebisho? 3. Kwanini asiondoke? ...
  14. TUKANA UONE

    Gamondi hadi muda huu kwenye Ardhi ya Tanzania anafanya nini?

    KUHUSU GAMONDI Nilidhani baada ya mechi huyu mtu hakupaswa hata kukanyaga Avic town,lakini Kwa mshangao nimeshangaa hadi muda huu yupo tu anadunda kama kitenesi! Viongozi wa Yanga mnatukosea sana mashabiki na wanachama hadi muda huu!,niwaulize nyie viongozi,Je,huyo Gamondi ni mwanahisa hapo...
  15. Mkalukungone mwamba

    Haji Manara: Turudi kujipanga na kujiuliza nini kinatusibu kwa sasa na pia kuacha kujiamini kupitiliza

    Manara mwenye code za Ubingwa ametia neno sasa ================= Alhamdulillah 👏🏻👏🏻 Humiliation 😭😭 Huu ndio Mpira sasa na hii ndio maana ya Ligi kuu, Tukubali leo tumejaa kwenye mfumo na tuwape hongera Tabora United. Tumepoteza Points Sita mfululizo lakini hatujanyang’anywa bado Ubingwa wetu...
  16. Komeo Lachuma

    Gamondi hamalizi huu Msimu. Ama sivyo Uongozi uangalie namna ya kuifanya Yanga ituletee furaha

    Gamondi ana muda mchache sana Yanga. Naona lile wazo kuwa tumwachie yeye ajipange mwenyewe linakuwa gumu sasa. Gamondi alianza kupandisha mabega akidhani yeye ndo yeye. Huyu ataondoka ama sivyo akubali sasa kuwa yeye ni wa kawaida viongozi wanambeba sana kwenye ushindi na michakato yake. Hawezi...
  17. covid 19

    Viongozi wa Yanga mmefanya makosa sana kurudi Chamazi kucheza pale, ule uwanja hautufai

    Ni jambo la kusikitisha na uzuni sana wachezaji wetu wamepigwa usinga tayari pale Azam Complex hatutakiwi kurudi pale hadi tujiweke sawa. Tulishawaambia kabla ya match ya Azam VS Yanga wazee kutoka Pemba walikuwa wanausomea ule uwanja wiki zima bado midawa yao inanguvu kwa sasa pale hapatufai...
  18. Metronidazole 400mg

    Yanga ni timu ya kawaida sana, ilikuwa bora ila inashuka kwa kasi kupitia maelezo

    Bahati yenu tunaeleka international break (ndio pona yenuu) lasivyo mngeendelea kupelekewa moto mpaka mkubali timu yenu ya kawaida Sanaa 1. Hizi pancha za wachezaji wenu sio kwa bahati mbaya ni kutumika kwa mda mrefu bila kupata mapumziko ya kutosha 2. Bado pancha ya nzengeli TU naisubiria kwa...
  19. B

    Yanga inaenda kutoa ubingwa wa AFRICA

    Leo ni tarehe 7 thursday november 2024,yanga imefungwa mfululizo na Azam na Tabora,hii ni mzuri sana kwa watu wanaojua mpira hii inaitwa the calls,hii itawafanya Yanga wakae sawa kuangalia timu yao wapi panapovuja, Nakuambia hivi the next Yanga baada ya haya matokeo itakuwa Yanga ya hatari...
  20. kavulata

    Yanga bila uwanja wenu acheni nyodo, mtafungwa TU kwenye viwanja vya watu

    Huwezi kuwa unatumia uwanja wa watu halafu unawatukana wenye uwanja wao. Ally Kamwe ajiangalie la sivyo hatoshi Yanga. Unatumia uwanja wa Azam lakini unadhihaki wenye uwanja ni ujinga mkubwa.
Back
Top Bottom