soka la bongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nehemia Kilave

    Katika mazingira yasiyo ya kawaida Manara amuombea msamaha Ally Kamwe sakata la Sandaland

    Utu uzima dawa Manara ametumia utu uzima na busara zake kumuombea msamaha Ally Kamwe . Adai masuala ya michezo ni tofauti sana ni mambo mengine kama uinjinia , udaktari ..nk https://youtu.be/cUoVBt40irw?si=8ujhQqXeDnsOBJ7U
  2. K

    Vipigo vya Mfululizo Vyaichanganya Yanga, Kila Mmoja Anakuja na Andiko.!

    Vipigo Vya Mfuatano ambavyo Yanga imekumbana navyo vimesababisha 'Wenge' zito pale Jangwani. Katika pita pita mtandaoni kila MwanaYanga anayejihisi anayo influence anakuja na Andiko La kujipoza. Teyari nimekutana na Andiko La Alafat, Privaldinho,La Wachezaji Pacome,Chama na wengine! Vipigo...
  3. pesakilakitu

    Magoma awaasa uongozi wa Yanga kumtafuta haraka kuokoa "slow pancha"

    Mzee Magoma akihojiwa leo amenukuliwa akisema Yanga slow pancha ilianza muda mrefu. Mzee Magoma ambaye amesisitiza kua yeye ndio DAKTARI anayejua namna yakuitibu Yanga.. Kasema na kuwaasa uongozi unaongozwa na Mhandisi Hersi kua wamtafute wayamalize, la sivyo Yanga kule ligi ya mabingwa...
  4. F

    Kwa mwana mfalme Dube

    Nimesoma waraka ambao umeuandika kwa uchungu mkubwa sana,nami nimeusoma kwa uchungu mkubwa sana. Ni kweli unapitia madhila,matusi,lawama,kejeli,kashfa na kila aina ya masimango. Nakuhakikishia kuwa kila binadamu amepitia hali hiyo,sio wewe tu,na hata hao wanaokutukana,wamewahi kupitia hali...
  5. C

    Hivi Simba kwanini wasimchukue Morrison?

    Kuna wakati huwa najiuliza huyu mwanga anayeroga akili za viongozi,mashabiki na wachezaji ni nani hasa? Mbona mi naona Morrison bado anahitajika sana hasa kwa Simba hii? Samahani kwa wenye chuki ila binafsi siangalii rangi ya paka ila tu kama ana uwezo wa kukamata panya. Club ya Simba sio...
  6. pesakilakitu

    Ali Kamwe naye atolewa mzobe mzobe na "makomandoo" asiongee na wanahabari

    Ama kweli siku ya kufa nyani...hawa makomandoo inaelekea wana nguvu sana kushinda hata uongozi wa Yanga.. Ali kamwe tunajua sote ni msemaji wa timu ya Yanga na ni jambo la kawaida kabisa kila kabla na baada ya mechi lazima ajitokeze ili aweze kuzungumzia mchezo ulikuaje. Sasa katika hali ya...
  7. Ladder 49

    Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani

    Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani. Kipigo cha leo cha Yanga dhidi ya Al Hilal kimekuwa na sitofahamu tatizo la Yanga ni nini kwa sasa maana kila mtu anasema lake Kocha anasema wachezaji hawana fitness lakini mpira ulivyochezwa Yanga wamepata nafasi nyingi na ndio...
  8. SAYVILLE

    Yanga ikifungwa najisikia raaaaha saaana!

    Yaani hapa bando linakaribia kukata wala sishtuki, napanga kuongeza lingine fuleshi tuu. Mechi ijayo mnacheza na nani? Mmesusaa hamtaki kunijibu? Hata msiponijibu najua mnaenda kudunguliwa tu hahah! Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |...
  9. Its Pancho

    Naked truth!: Uongozi wetu Yanga ujitafakari sana na wachezaji wetu

    I salute you kinsmen. Tulisema tangu mwanzo uongozi wetu Yanga unalega lega sana , kabla hata ya kufungwa na Azam, kisha Tabora ,na sasa wasudan wale . Kuliikuwa na viashiria vingi tu uongozi wetu ulikuwa unafanya kazi kwa hisia sana kuliko akili. Gamondi manzoni mwa msimu ule alihitaji...
  10. Megalodon

    Sisi Yanga bado ni underdog, lakini tuna midomo mirefu kuliko masikio, tunarudi kwenye Uchokoraa wetu sasa

    Niliandika ile siku ya game ya Simba SC na Utopolo, Nilisema inawezekana Yanga ime drop au inawezekana Simba ime imemprove; Pia nilisema mwaka huu Yanga hatoboi hata group stage . Mean while , Injinia wa mchongo amekwenda kufanya kosa kubwa la kiutendaji linalokwenda kuicost timu msimu mzima...
  11. kipara kipya

    Tetesi: Yanga kabla ya mechi ya leo juzi walichapana makonde Mwamnyeto na Aziz Ki wakati wa kikao cha kocha mpya!

    Ule utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaki kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba. Hizo habari...
  12. B

    Acha leo niwaambie ukweli ndugu zangu wananchi, viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili

    Ndugu zangu wananchi,viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili,kwenye dirisha kubwa mchezaji aliyesajiliwa kwa usahihi ni Duke Abuya,wengine wote waliobaki Yanga imepigwa,engineer na hao viongozi wengine wamehiijumu Yanga baada ya kuona Yanga imefanya vinzuri ndani ya misimu 3...
  13. CARIFONIA

    Kuna sehemu viongozi wa Yanga walikosea

    Sipo hapa kulalamika na wala sio kawaida yangu kuandika uzi wa kulalamika, binafsi matokeo ya leo hayawezi nifanya kukata tamaa kwani naijua football vizuri, bado timu ina nafasi ya kufanya vizuri katika mashindano yote inayoshiriki. Wala sitaki kupeleka lawama zangu kwa kocha huyu mpya kwani...
  14. Sodoku

    Haya maneno kuwa bila mambo mawili Yanga haiwezi kushinda sidhani kama ni sawa

    Acheni hayo maneno. Si sawa hawa wageni wapo wanaojua kiswahili. so wanaelewa haya maneno wanapoyasikia inakuwa inatupa nafasi ngumu sana kwetu kuwa bila 1. Kujidunga 2. Uchawi Haya si maneno mazuri. ni maneno ambayo wakiyasikia watu wanaweza kutuwekea wakati mgumu sana. watataka kutudhibiti...
  15. SAYVILLE

    Salim Abdallah, soma alama za nyakati, hautakiwi tena hapo Simba

    Huyu jamaa Salim Abdallah, (sipendi na sijawahi kumuita jina lake la utani) sijawahi kumuelewa toka nimeanza kufuatilia nyendo zake pale Simba. Juzi baada ya sakata la kule Mwanza, inasemekana alitaka kuwachomesha Simba wenzake ili ndiyo waonekane wakosefu. Tunaojua mambo ya ndani ya Simba...
  16. Ubaya Ubwela

    Singida Black Stars Yamuachisha kazi kocha wake Patrick Aussems na Msaidizi Denis Kitambi

    Patrick Aussems na Denis Kitambi Waliwa kichwa
  17. Labani og

    Simba kufungwa Novemba 27,2024. Yajayo yanatisha

    Baada ya kutulia toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museveni na GENTAMYCINE nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao Bravos Kwa kweli takwimu za Bravos kuibuka na ushindi zinatisha. Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi...
  18. Dabil

    Simba mnatuleteaje CEO ambaye ni shabiki wa Yanga?

    Simba ijitathmini tena kuhusu huyu CEO mpya,haiwezekani shabiki wa Yanga aje kuwa CEO wa Simba,hatutaki mamluki kama alivyokuwa Manara,mbinu za kivita zinazojadiliwa Simba yeye anapeleka upande wa pili. Huyu CEO aondolewe mapema kwa maslahi mapana ya timu. Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda...
  19. D

    Hongera mama Sasa tumekuwa ngoma moja na Brazil kimpira Tanzania inaogopeka sana umenyanyua soka la bongo.

    Mwenye macho haambiwi tazama. Tanzania mama ameinyanyua kimpira au kisoka. Tanzania inaogopeka sasa. Tumecheza na guinea nchi ambayo inq wachezqji mpaka wa Dortmund lakini tumewatandika. Hii yote ni guvu ya goli la mama Mitano tena.
  20. F

    Dah,hii mechi Pamba na Simba kelele ni nyingi

    Hii mechi ya simba na pamba imechukua sura mpya ya kelele nyingi mno,haijulikani ukweli ni upi.. Naomba amani na mpira uchezwe tu
Back
Top Bottom