Tanzania, taifa lililojaliwa kuwa na maliasili nyingi, utajiri wa kitamaduni, na uwezo mkubwa sana, linajikuta katika wakati muhimu katika safari yake ya kuelekea maendeleo na ustawi. Dunia inapoendelea kukua kwa kasi, ikisukumwa na kasi isiyo na kikomo ya maendeleo ya sayansi na teknolojia, ni...
Utangulizi
Katika dunia ya leo, maendeleo ya teknolojia yamekuwa msingi mkuu wa ukuaji wa uchumi wa mataifa mbalimbali. Tanzania, ikiwa ni moja ya nchi zinazoendelea, ina nafasi kubwa ya kuimarisha uchumi wake kupitia matumizi ya kompyuta na teknolojia za kidijitali. Katika kipindi cha miaka 5...
1. Kuwekeza katika elimu na mafunzo ya ufundi ili kuongeza ujuzi wa nguvu kazi.
2. Kuvutia uwekezaji wa ndani na nje kwa kuboresha mazingira ya biashara.
3. Kuimarisha miundombinu ya usafirishaji na nishati ili kurahisisha biashara na maisha ya wananchi.
4. Kupambana na rushwa na kuhakikisha...
Utangulizi
Somo la hisabati (mathematics) ni moja kati ya masomo yaliyoko kwenye mtaala wa masomo Tanzania kwa kidato cha kwanza hadi cha nne. Kutokana na umhimu wake kwa mtu binafsi, jamii na taifa kwa ujumla, somo hili ni msingi kwa kila mwanafunzi katika ngazi hiyo kulisoma na kufanyiwa...
TAIFA LETU LA KESHO
Katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita, Tanzania imepiga hatua kubwa katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Hata hivyo, bado kuna safari ndefu ya kufikia maendeleo endelevu na ustawi wa jamii. Tanzania ijayo inahitaji mkakati madhubuti utakaohakikisha kwamba kila...
Ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiteknolojia pamoja na kiutamduni hatuna budi kuhakikisha baadhi ya mabadiliko katika mfumo mzima wa ajira kuanzia ngazi ya chini, mpaka ngazi juu yanafanyika, ili kufanya malengo ya taifa ya maendeleo ya muda mfupi, kati na muda...
Tanzania ilipata uhuru wake Tar 9 Desemba 1961, wakati huo ikijulikana kama Tanganyika. Zanzibar ikapta uhuru tar 9 Desemba 1963, na nchi hizi zikungana tar 26 Aprili 1964 kutengeneza nchi iitwayo Tanzania. Pamoja na kupata uhuru mapema lakini bado nchi haijaendelea vya kutosha, zipo sababu...
Tanzania ni mojawapo ya nchi chache zenye kila aina ya rasilimali ila bado imekua masikini na inasua sua kiuchumi,yafwatayo yanatakiwa kurekebishwa ili taifa hili liendelee.
Uhuru wa vyombo vya habari: Bado sijaona uhuru wa kuhabarisha uma kwa vyombo vyetu vya habari, huenda ikawa ni utashi wa...
Kuwa na Tanzania bora kwa miaka ishirini na tano zijazo inahitaji juhudi na mchango wa jamii nzima, ikiwa ni pamoja na serikali, sekta binafsi, mashirika ya kijamii, na wananchi wenyewe. Hapa kuna mapendekezo kadhaa ya mambo ambayo serikali na jamii wanaweza kufanya kuboresha Tanzania:
1. Elimu...
Tunapotarajia mustakabali wa Tanzania, ni muhimu kutengeneza dira ya kina na ya mbele inayoshughulikia sekta mbalimbali kama vile elimu, afya, teknolojia, uchumi, mazingira na miundombinu. Lengo ni kuunda taifa lisilojitegemea tu bali pia kiongozi katika ubunifu na maendeleo endelevu. Dira hii...
Tunaposimama kwenye njia panda za maendeleo na utunzaji wa mazingira, wakati umefika kwa Tanzania kuweka njia dhabiti na yenye dira kuelekea mustakabali endelevu na wenye mafanikio. Changamoto tunazokabiliana nazo leo, kama vile ukataji miti, mbinu zisizo endelevu za uchimbaji madini, na...
Ili kuendana na teknolojia ya dunia na kukimbia kwa kasi tunapaswa kuwa na teknolojia ambayo itaketa vitu vingi Kwa pamoja na kurahisisha huduma katika sehemu moja
Moja ya huduma hizi ni pamoja najua na namba moja ya simu ambayo itatumia mitandao yote, mtu atakuwa na namba moja ya simu...
TANZANIA TUITAKAYO.
Tukumbuke jina Tanzania halikuwepo kabla ya 26/4/1964, lakini ardhi na mipaka yake ilikuwepo. Hivyo pamoja na uumbaji wa Mungu, lakini utashi wa mwanadamu uliweza kuamua namna ya kuitawala Dunia kama ambavyo tulivyo.
Tukirejea historia duniani kote, Mungu hakuumba CHAMA...
1.Tausi -Portal Tausi -core
2. RITA
3. EGA
4. BIMA
5. KULAZA WAGONJWA HOSPITALI -Private - Goverment
6. UHAMIHAJI -Passport Visa
7. NIDA
8. MIFUMO YA KUHAMISHA WATUMISHI
9. MIFUMO YA MAHAKAMA
10. MAOMBI YA MIKOPO HESLB
Maana ya mfumo
Mfumo ni utaratibu wa ukusanyaji na uchakataji wa taarifa ili...
Sekta ya ajira nchini Tanzania inalazimika kukabiliana na changamoto kadhaa, ikiwemo upungufu wa wafanyakazi wenye stadi na ujuzi unaotakiwa katika soko la ajira. Hili limekuwa ndio changamoto kubwa zaidi ambayo inahitqji kuangaliwa kwa umakini mkubwa katika miaka ijayo kuanzia miaka 5 hadi...
UTANGULIZI
Kwanza ninamshukuru Bwana Mungu na kuniwezesha, kunipa Afya njema. Pia nashukuru Jamii zote za hapa Tanzania kwa Sekta zote za Kijamii na ninatoa shukrani katika Uongozi uliopo katika Nchi yetu Tanzania kuanzia kwa Rais hadi Wajumbe wa Nyumba kumi au zaidi.
Basi katika Jamii Forum ...
Kuchochea Maendeleo ya Miundombinu Bora ya Tanzania katika Miaka 20
Miundombinu iliyoboreshwa ni nguzo muhimu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika taifa lolote. Kwa Tanzania, kuhakikisha kuwa na miundombinu bora katika kipindi cha miaka 20 ijayo ni muhimu kwa ukuaji endelevu na mafanikio...
Tanzania iko katika wakati muhimu katika historia yake. Dira hii inaangazia hatua zinazoweza kuchukuliwa ili kutokomeza ubaguzi wa kijinsia, kukomesha ndoa za utotoni, utumikishwaji wa watoto, tohara kwa wanawake na unyanyasaji huku tukikuza elimu na mazingira tegemezi kwa watoto wote. Suluhu...
Tanzania, nchi iliyobarikiwa kuwa na mifumo mbalimbali ya ikolojia na maliasili nyingi, inakabiliwa na changamoto kubwa za kimazingira. Ukataji miti, unaochochewa na mahitaji ya kuni kama nishati na kwa ajili ya upanuzi wa kilimo, ni suala kubwa. Dira hii inaangazia mbinu mbalimbali za...
Tanzania, pamoja na eneo lake la kipekee la kijiografia kando ya ikweta na eneo kubwa la ardhi ya asili, inasimama kama mwanga wa matumaini kwa urejesho wa viumbe vilivyo hatarini kutoweka. Dira hii inaangazia mpango wa kina wa kulinda, kurejesha, na kuunganisha tena viumbe vilivyo katika hatari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.