tanzania tuitakayo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Last_Born

    SoC04 Tanzania Tuitakayo haya yafanyike

    1. Maendeleo ya Kiuchumi: Kuunda mazingira wezeshi kwa ukuaji wa viwanda, kilimo cha kisasa, na biashara endelevu kwa lengo la kupunguza umaskini na kuongeza mapato ya wananchi. 2. Elimu Bora: Kuboresha mfumo wa elimu kwa kuzingatia teknolojia na mbinu za kisasa ili kuandaa vijana kwa soko la...
  2. Eddy the broker

    SoC04 Utawala bora, chanzo cha Tanzania tuitakayo kwa miaka 10 ijayo

    TANZANIA ilitajwa kuwa miongoni mwa nchi nzuri duniani na Bara la Afrika kwa ujumla, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa na tovuti ya money.co.uk kutokana uzuri wa asili wa Taifa hilo lenye vivutio vya aina yake(madini ya kipekee kama Tanzanite, Dhahabu, Almasi), vivutio vya utalii kama vile...
  3. afrixa

    SoC04 Tanzania tuitakayo katika uchumi wa bluu

    Kuendeleza uchumi wa bluu wa Tanzania kwa miaka 25 ijayo, inaweza kufanyika kupitia miradi mbalimbali: 1:Uvuvi Endelevu: Kuanzisha na kutekeleza sera za uvuvi zinazolenga uhifadhi na matumizi endelevu ya rasilimali za bahari. 2:Utalii wa Baharini: Kuendeleza vivutio vya utalii kama vile mbuga...
  4. C

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Mashirika binafsi ya Uchunguzi (private investigation companies) yatatokomeza Rushwa

    Serikali ya Tanzania, Lini tutaweka nia Kuhakikisha tunachodhamilia, kinatokea?! Rushwa ni adui wa maendeleo Anaitesa Tanzania mawio mpk machweo Waulize mama ntilie wakujibu kwa kilio, Halafu huwezi amini inawapendelea wenye vyeo. Rushwa ni janga Hatutaweza kujenga Tukiendelea kujiganga...
  5. Ashraf JK

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: A Prospective View

    Overview Tanzania has many natural resources and cultural heritage, so it is confident enough to be a center of prosperity and development in future years. The phrase "Tanzania Tuitakayo” sums up the vision of the nation on a better tomorrow characterized by quality education, healthcare...
  6. M

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Dira ya Mabadiliko ya Kiuchumi

    Tanzania iko katika wakati muhimu sana katika historia yake, iliyojaliwa kuwa na uwezo mkubwa wa kuwa kinara wa ustawi wa kiuchumi barani Afrika. Ili kutimiza dira hii, ni lazima tukumbatie sera za uchumi zinazofikiria mbele na mageuzi ya kiubunifu ambayo yanaweza kutekelezwa ndani ya miaka 5...
  7. V

    SoC04 Tanzania tuitakayo baada ya miaka 5 hadi 25

    Utangulizi Kwenye ukuaji wa taifa lolote lile duniani, linahitaji kuwa na viongozi wenye maono mapana kwa taifa lao. Pia kuwa na sera dhabiti kwa taifa lao ni muhimu, mfano kwenye elimu, afya na nishati. Elimu Elimu ndio msingi mkubwa kwa ukuaji wa taifa lolote. Ili taifa liweze kukua kiuchumi...
  8. N

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Kwa Miaka 5-25 Ijayo - Katika Sekta ya Elimu

    Katika kipindi cha miaka 5 hadi 25 ijayo, Tanzania inahitaji kuchukua hatua thabiti na bunifu ili kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu. Miongoni mwa sekta muhimu zinazohitaji maboresho makubwa ni elimu . Kwa kuzingatia umuhimu wa sekta hii, ni muhimu kuunda mikakati inayohakikisha...
  9. I

    SoC04 Tanzania safi bila rushwa

    Ili kutokomeza rushwa na kujenga TANZANIA TUITAKAYO ni lazima tuzingatie sekta zote katika nchi yetu zinatoa huduma bora na stahiki kwa usawa pasipo rushwa kwa wananchi wote. Zifuatazo ni njia za kupambana na rushwa katika sekta mbalimbali nchini ili kufikia TANZANIA TUITAKAYO nazo ni; i...
  10. N

    SoC04 Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25 ijayo katika sekta ya Afya

    Tanzania Tuitakayo: Miaka 5-25 Ijayo Katika kipindi cha miaka 5 hadi 25 ijayo, Tanzania inakusudia kuwa taifa lenye ustawi mkubwa, usawa wa kijinsia, na huduma bora za afya. Ili kufanikisha malengo haya, ni muhimu kuhamasisha wanawake kushiriki kikamilifu katika mchakato wa maendeleo na...
  11. reuben mwasanjobe

    SoC04 Teknolojia rubani mkuu kwenye safari ya maendeleo kwa Tanzania tuitakayo

    Utangulizi. Katika kipindi cha robo karne ijayo, Tanzania inaweza kuwa taifa lenye uwezo mkubwa zaidi wa kiteknolojia barani Afrika kwa kuwekeza katika teknolojia ambazo zinaweza kuleta mageuzi katika sekta zote za uchumi na jamii. Maendeleo haya yanaweza kusaidia kuboresha hali ya maisha ya...
  12. Gukaaya

    SoC04 Mabadiliko kwa Miaka 5-25 Ijayo kwenye Mapambano Dhidi ya Rushwa na Ufisadi

    Andiko la Mabadiliko kwa Miaka 5-25 Ijayo kwenye Mapambano Dhidi ya Rushwa na Ufisadi kwa Ajili ya 'Tanzania Tuitakayo' Utangulizi Rushwa na ufisadi ni matatizo makubwa yanayozorotesha maendeleo ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa nchini Tanzania. Ili kuifikia "Tanzania Tuitakayo," ni muhimu...
  13. C

    SoC04 Tanzania tuitakayo katika Sekta ya Madini

    Utangulizi Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo na utajiri wa madini, tanzanite, dhahabu, rubi, fedha (silver), chuma, almasi, na nikeli. Hoja hii inagonga vichwa tuishie kuorodhesha utajiri tulionao au utumike kwa maslahi mapana, ili keki ya taifa iwafikie watanzania wote. Madini ya Tanzania...
  14. Amimu H Abdallah

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Serikali iboreshe mazingira ya biashara na kupunguza urasimu wa kisheria kwa maendeleo endelevu

    Utangulizi Tanzania, kama nchi nyingine duniani, inakabiliwa na changamoto kadhaa linapokuja suala la kuanzisha biashara. Changamoto hizi zinajumuisha urasimu wa kisheria, upatikanaji wa vibali vya biashara, na mazingira magumu ya upatikanaji wa fedha na mitaji. Kwa bahati nzuri, kuna fursa...
  15. nasri713

    SoC04 Tanzania tuitakayo kuhimiza maendeleo maeneo ya vijijini

    Serikali kwa kiasi kikubwa imewekeza maeneo ya mjini na kutoweka nguvu kubwa maeneo ya vijijini kwa mfano asilimia 95% ya viwanda vipo mjini hivyo basi nimatumaini yangu kuwa miaka ijayo wawekezaji wataenda maeneo ya vijijini na kuwekeza katika sekta ya viwanda ili kupunguza tatizo la...
  16. B

    SoC04 Tanzania tuitakayo miaka 5 hadi 25 ijayo

    TANZANIA TUITAKAYO MIAKA 5 HADI 25 IJAYO Ndoto yetu kwa Tanzania katika kipindi cha miaka 5 hadi 25 ijayo ni kuwa taifa lenye maendeleo endelevu, ustawi wa jamii, na mazingira endelevu. Kupitia mkakati wa maendeleo endelevu, tunalenga katika maeneo kadhaa kwa lengo la kuleta...
  17. J

    SoC04 Kuifikia Tanzania Tuitakayo: Matatu ya Kuweka Kipaumbele kwa kuelekea Tanzania Yenye afya njema

    Kumekuwa na kasi ya ongezeko kubwa la magonjwa yasiyoambukiza kulingana na tafiti za shirika la afya duniani (WHO) takriban asilimia 74 ya vifo vyote duniani vinasababishwa na magonjwa yasiyoambukiza nah uku magonjwa kama vile kisukari,shinikizo la damu,magonjwa ya figo na magonjwa ya moyo...
  18. H

    SoC04 Tanzania Tuitakayo ni ile yenye Hospitali Maalum za Kitaifa kwa kila Kanda

    UTANGULIZI: Hospitali Maalum ni Hospitali zinazotoa huduma ya kimatibabu na kiuguzi kwa ugonjwa au tatizo fulani pekee mfano ugonjwa wa moyo, saratani, macho, akili, pumu n.k. Nchini Tanzania tunazo Hospitali Maalum 5 tu za Kitaifa kama vile Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI) yenye kutibu...
  19. D

    SoC04 Mfumo wa elimu wa Tanzania kuua vipaji vya watoto

    Elimu ya Tanzania imekuwa chanzo moja wapo cha kuua vipaji vya watoto ambavyo walikuwa navyo tangu wakiwa wadogo. Kwa mfano mtoto mwenye ndoto ndoto ya kuwa rubani ana haja gani ya kusoma historia ya vita vya kwanza ya dunia. Hii ndiyo hupelekea watoto kuishia kusoma vitu ambavyo havipo kwenye...
  20. D

    SoC04 Uwajibikaji Bora wa Viongozi kwa Maendeleo Endelevu

    "Tanzania Tuitakayo: Uwajibikaji Bora wa Viongozi kwa Maendeleo Endelevu" Utangulizi Tanzania, kama nchi inayoelekea katika siku zijazo, inahitaji uwajibikaji bora kutoka kwa viongozi wake ili kuwezesha maendeleo endelevu katika kipindi cha miaka 5 hadi 10 ijayo. Uwajibikaji huu wa viongozi...
Back
Top Bottom