Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;
1. ENEO HUSIKA...
hizi
kila mara
kukatika kwa umeme
kukatika umeme
mara
mdogo
mgao
mwanagati
nyakati
siku
siku hizi
tanesco
tatizotatizo la umeme
umeme
umeme mdogo
units
Mpaka sasanikitizama video za marudio ya mechi ya Yanga vs Al hilal nikiangalia jinsi ambavyo prince Dube alikuwa anaanguka peke yake bila kuguswa 😆 tena yupo kwenye position ya kufunga anaanguka kama walevi wa ambiance au K vant
Mpaka wqchezaji wa Al hilal wakawa wanaonyesha ishara ya...
Habari wakuu,
Nina changamoto yapata mwezi sasa ulimi wangu umechubuka ulianza upande mmoja na umeenea kiasi mpk kwa mbele kabisa, nilienda hospital nikapewa cipro ya kumeza na Quadrajel ya kupakaa, hazijanisaidia kabisa, naomba ushauri wa Dr. yupi anafaa kumuona kwa tatizo hili? ni daktari wa...
Moja kati ya silaha kubwa sana ya wanasiasa kuwabakiza madaraka pale mambo yao yanapoenda kombo basi huwa ni jeshi la polisi.
Polisi ukiondoa yale mavazi yao na wao ni wananchi wa kawaida tu, hali ya maisha ni sawa tu na sisi raia wa kawaida.
Ugumu wa maisha tuliyonayo wananchi na wao pia...
Hii ni changamoto ya afya ya akili watu huita Kichaa (Mental health challenge)
Mania ni changamoto ya afya ya akili ambayo mhusika huwa na dalili nyingi zikiwemo kuvaa mavazi ya kumelemeta , usafi kupita kiasi, kupenda ngono kuliko kawaida (sexual disinhibition) na hata kupenda sifa za...
Tangu mwaka jana October 7 Palestina ilipoivamia Israel na kuua watu zaidi ya 1,200 kuna baadhi ya contacys zangu wamekuwa wakiweka status za kulipukwa na furaha Israel inaposhambuliwa na status za kuonyesha huruma Israel inapotoa dozi.
Napenda sana kutazama status, lakini huwa nashangaa sana...
habari wadau.
natamani sana watoto wetu wa kizazi cha sasa wafundishwe huu ukweli mapema.. wasije kuwa kama sisi baba zao na babu zao.
mfano ghorofa limedondoka watu wamefukiwa.. watu wengi wanaamini sala na Mungu ndio atawanusuru. jiulize kama Mungu ana nia njema nao mbona Mungu hajazuia...
Tukitoa changamoto zingine zinawaandama vijana wa kiume ila hili la kuwa dhaifu (simp) kwa wapenzi wao ni changamoto inayozidi kuwa kubwa. Vijana wengi wamepoteza mwelekeo na kujikuta kwenye majuto baada ya kuingia kwenye mahusiano na wanawake makatili. Huku mtandaoni kumekuwa na wanaharakati...
Nilifahamiana naye kupitia instagram. Mara nyingi ni mtu wa kupost msambwanda ie. Walewale akina mautamu! Basi bhana, siku moja nikakutana na video yake ya ovyo sana iliyonisisimua mwili, nikajikuta naruka naye DM. Baada ya usumbufu wa hapa na pale akanifungukia kuwa anaishi somewhere pia ni...
Ndugu wa JF, Nawasalimu wote.
Bila kupoteza wakati nianze kwa kutoa maelezo mafupi ya kile kinachomsibu ndugu yangu wa karibu sana jambo ambalo linaniathiri na mimi pia.
Nina huyo mamdogo wangu ambaye ni kama mama yangu kutokana na namna nzuri alivyonisaidia kunisapoti kimasomo wakati niko...
Biashara zipo kila Kona biashara yoyote ukiinvest Hela hata biashara ya makopo inaweza kukutajirisha.
Ila tatizo linakuja kwenye mtaji how to get capital malegend
AU tips Gani hutumika kukuza small Business mpaka iwe huge
Wananchi wa Kata ya Mabogini wilaya ya Moshi Vijijini wamepaza sauti na kuitaka Mamlaka ya maji safi na uondoshaji majitaka Moshi mjini (MUWSA),kulitafutia ufumbuzi wa haraka tatizo hilo.
Wananchi hawa wanapaza sauti kupitia group la WthsApp la Maendeleo Mabogini .
Hapa chini ni moja ya...
Hii ni Rai kwa wanywa 'thupu' Yanga kuwakemea baadhi ya Wachezaji kwani nidhamu inaonekana ni Tatizo
Hili ni angalizo La Mapema kwa Yanga. Eneo La nidhamu Limeonekana kulegalega katika Michezo ya hivi karibuni kwa baadhi ya Wachezaji wameonyesha Kiwango cha chini Sana cha Nidhamu.
Jambo hilo...
Msaada Wadau,
Haka Gari RV4 lina tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida na Nikiwasha AC ndio kabisa linatetemeka hadi Viti vinatataka kung'ola,
Mlio unatoka kwenye injini na ukiweka gear position ya parking kutetemeka kunapungua...
Ni ndani ya jiji muhimu la kibiashara la Dar es Salaam, lakini umeme unakata
bila taarifa je kwa mikoani yawezekana karibia kila siku umeme unakata.
Soma pia: Tatizo la umeme mkoani Tabora
Picha kwa hisani ya Google
Kuota matiti kwa mwanaume (Gynecomastia) ni kuongezeka ukubwa/ujazo wa matiti kwa mwanaume. Hutokana mabadiliko ya viwango vya homoni za kiume (Testosterone) na homoni ya kike (Estrogen) kwa mwanaume [hormonal imbalance] ambapo mwanaume anakuwa na viwango vya juu vya...
Ukiona umecomment mara Moja harafu ukaona umeletewa maneno ya English harafu juu upande wako wa kulia Kuna x au mkasi 😁
We bonyeza pale kwenye mkasi hiyo comment itakuwa imeshajiplace usirudie mara mbili
Katika makala yake kuonyesha muda mrefu ambao Raisi Yoweri Museveni wa Uganda amekaa madarakani, gazeti la Guardian limeandika kwa namna ya kuonyesha watu kadhaa waliokuwa maraisi hawapo tena duniani, wakati bado wako hai!
Haya ndiyo waliyosema Guardian.
Museveni surpasses 18 EAC counterparts...
Hoja ya Kujitolea Kama Kigezo cha Ajira Serikalini: Je, Ni Suluhisho au Tatizo?
Hivi karibuni, Spika wa Bunge aligusia suala la kuwazingatia wale waliojitolea kama kigezo cha kuajiriwa katika nafasi za serikali.
Ingawa nia ya serikali ni kusaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana, hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.