Wakati wa uanzishwaji wa falsafa ya ujamaa na kujitegemea, Mwalimu alitaja maadui watatu wakubwa wa kupambana nao ili taifa liweze kupata ustawi ulio bora maadui hao ni pamoja na :-
i, UJINGA
ii, UMASIKINI
iii, MARADHI
Ningependa kumzungumzia huyu adui namba moja ambaye ni Ujinga.
UJINGA
Kwa...