Batanzania.
Ni baeleze.
Lucas mwashambwa ameandika kwa mu post.
Ameandika:
Sugu ameonesha ulimbukeni mkubwa sana kusema kuwa ameweka rekodi ya Dunia ya Muandamanaji aliyevaa vito vya thamani zaidi katika maandamano
Mm nabaletea picha kwa muhtasari.
King Abdullah mfalme wa Jordan alikuwa White House
Amefanya mazungumzo wa raisi Biden kuhusu special operation ya kivita Kati ya Israel na HAMAS
Amemuomba raisi Biden kwamba Israel isitishe operation ya kivita mjini Rafah. Anadai raia wengi watakufa
Amemushauri Rais Biden kwamba mchakato wa...
Ukisikia Mwanasoka anatoa maneno ya hovyo kwa chombo cha habari basi tambua kuwa amechoka dhihaka na dharau.
Hii ni post ya Ukurasa maarufu wa michezo Duniani ukimdhihaki Messi.
Haijalishi wewe ni muislam au lah lakini kama una akili za kutosha hauwezi furahia unyama walioufanya hamas. Jana tu tumepokea taarifa dogo wetu mtanzania ni kwamba hayupo tena na sisi.
Huyu prince ni mmoja wa waislam wachache ambao wamejitokeza kukiri ujinga wa hamas wengine wanajifanya...
Vita ya Kagera ya mwaka 1978/79 iliyopiganwa ili kuokoa mipaka yetu ilikuwa ya aina yake.
Tulifanikiwa kushinda lakini ilituachia maumivu pengine mpaka leo.
Moja ya vivutio ilikuwa ni uzalendo mkubwa wa wapiganaji wetu kutoka JWTZ.
Palikuwa na Majenerali walioongoza brigedi mbalimbali...
Wakuu...
Habari ya jumamosi tulivu hapo ulipo??
Umeshapata chai????
Sasa sikiliza nikuambie,
Najua ulishapita shule, iwe chekechea, vidudu, msingi, sekondari hata chuoni.
Kama utakua unakumbuka vizuri, tulikua na:
1. Majina ya utani ambayo iwe mwalimu au mwanafunzi kutaniwa
2. Misemo ya...
Wakiwa kwenye Mkutano mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), Rais Samia wa Tanzania na Rais William Ruto wa Kenya walitaniana kuhusu Matumizi Sahihi ya Lugha za Kiswahili na Kingereza
Swali la Utani: Kati ya Kenya na Tanzania, wapi Kingereza kinazungumzwa kwa ufasaha?
Niko hapa kuthibitisha hilo pasi na chembe ya shaka yoyote leo nimehudhuria ibada ya misa takatifu katika kanisa la St Joseph Cathedral Dar.
Waraka umesomwa kwa waumini wote, na kupitia reliable source ya Jesuits agent amenithibitishia makanisa yote na vigango vyote vya kanisa katoliki Tanzania...
Wanawae wanautani sana mfano
Mtu na wifi yake unakuta wanaitana mume wangu au mke wangu
Ila mwanaume kukuta wanataniana mke wangu au mume wangu na shemeji yake ngumu sana
Wanawake anaweza mwambia mwenzie nakupenda au akamuita mwezie mpenzi wangu
Mwanaume ukithubutu mwambia ivyo mwanaume...
Sa huyu mwamba alikuwa anaimbaje...😅😂
Na alivuma dah! Mi nafikiri aina yake ya uimbaji haikuwa bongo flavor hii ilitakiwa ipewe jina lake jengine!.. by the way napenda muziki wanyumbani haswa zile za zamani..
Tulipo
1. Diarra screen protector
2.djuma shaban soda ya bemba
3.lomalisa wazir wa water
4.job big brain
5.mwamnyeto super captain
6. Bangala mzee wa kaz chafu
7.moloko Ak47
8.aucho doctor wa ⚽️
9.fiston mayele predator
10.aziz ki mwamba wa wagadugu
11.morrison toto tundu
12. Kibwana carterpiller...
Nimeona taarifa ya TFF kuwa Kocha wa Makipa wa Timu ya Mashujaa aliyempiga ngumi ya usoni Kocha wa Mbeya City kuwa amefungiwa mwaka Mmoja na Faini ya Milioni 2.
Niseme tu kuwa, natamani siku karia au kiongozi yeyote wa TFF apigwe ngumi ya pua na mchezaji au kiongozi wa timu.
Kama tu Haji...
Hoja hii ni nzito sana ambayo mimi mwenyewe kama mwanaJF sina mamlaka ya ku-dictate thread hii kwa maana ya unyeti wake, kwa uchache tu ninachoweza kueleza ni kwa nini nimefikia kufikiri hivyo;
1. Jamii Forums ninayoijua mimi ni ile iliyojaa wanazuoni na wabobezi wenye uwezo na weledi wa kila...
Amani kwako.
Ramadan Mubarak.
Hakuna haja ya maneno mengi, huyu ni raia wa nchini Nigeria, aliamua kubadilisha mfumo mzima wa maisha ya kijijini kwao na kujenga (satellite city) kwa fedha zake bila kumdai mwanakijiji apeleke yai au kilo ya mahindi.
Kijiji hiki cha Nigeria kiligeuzwa kuwa mji...
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza hayo baada ya Simba kushinda magoli 7-0 dhidi ya Horoya katika mchezo wa Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kwenye Uwanja wa Mkapa.
Haijalishi weee hapa tunazunguzmia Mfyooonyo yaani unasikia mfyuuuuu mtu katoa yake na imevutwa kama mpira wa manati, yaani inaanza mbali na ikimalizika lazima utaona cha mtema kuni😂
🤪Wee acha tu
ngoja nikuvalie njuga.... qqmmk mfyuuuuuu😂
enzi hizo njuga ilikuwa kiatu chochote oversize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.