Siasa za CCM zianze kuangalia vitu vya Msingi tu kila wakija kwenye soka always ni nuksi tu.
Kwanza watu wanawekeza mabilion Alafu mwanasiasa anataka apate sifa kwa m 5 isiyotosha ata mshahara wa mwezi wa mchezaji.
Kawaida Simba hununua away game kwa m 200. Sasa Hawa wanaomshauri mama...
Habari za saa members wote, leo kwa uchache ningependa kulizungumzia taifa kwa namna linavyo endeshwa.
Mpaka sasa ndani ya taifa letu la Tanzania taaluma nzima ya uongozi imepotea kabisa na siasa za kizandiki zimetamalaki kila pande.
Taifa hili limeshindwa kupata uongozi/viongozi kwa muda sasa...
Kama siyo kuchekesha basi mnasikitisha, kama wote mnalalamika nani ana wajibu wa kutatua?
Wapinzani wanalalamikia kupanda kwa gharama za Maisha watawala wanalalamikia hilo hilo nani ana wajibu wa kulitatua?
Nawaelewa wapinzani juu ya hilo Ila siwaelewi wabunge Wa CCM juu ya hilo.
Nilipata...
Haya ni maoni yangu binafsi kwa jinsi nilivyowaona na kuwasikia kwenye mambo yao mbalimbali waliyoyafanya kwenye siasa za Tanzania. Hii list inahusisha wanasiasa wa zamani na wa sasa, walio hai na waliotangulia mbele ya haki. Nimewaweka kulingana na ubora wao. Namba moja ina maana ndo bora...
Nimependa andiko hili la Charles Makakala ambalo limeandikwa kwenye Gazeti la The Citizen, nadhani kuna jambo la kujifunza, hasa Wanasiasa na wanahabari wanatakiwa kulisoma hili andiko
There is need to control honorary degrees in Tanzania
Having a doctorate is a big deal. It shows that the...
Kituo cha Mtandao cha Kitaifa cha Uingereza (NCSC) kimetoa angalizo kwa watu wa tasnia hizo kufanyiwa udukuzi wa kijasusi kwa lengo la kukusanya taarifa mbalimbali
Imeelezwa wadukuaji wanawalenga watu ambao wanafanya utafiti na wanafanyia kazi kwa ukaribu na Mataifa ya Iran na Russia.
NCSC...
Nje ya siasa za mikutano ya hadhara ya kupiga domo domo na maandamano ya kipuuzi puuzi vyama vya siasa vya upinzani Tanzania hakuna kitu kabisa! na hasa CHADEMA!
Na kwa kuwa Watanzania wengi ni watu wasiokuwa na elimu bora wala maarifa ya kuchanganua mambo kwa upana wake basi wanawafuata tu...
1. Job Ndugai; alipata madaraka makubwa na katika maeneo yote aliyowahi kuongoza hakuna eneo alifanikiwa kupewa sifa Bali siasa ilimfedgeesha.
Kwa SASA amezeeka lakini uzee wake umeambatana na fedhea kubwa Sana yakuondolewa uspika kabla ya kumaliza muda wake. Mdomo uleule uliompa nafasi ndio...
Taarifa zilizotoka za kuruhusu mikutano ya hadhara ya kisiasa hapo majuzi zinadai kuwa mikutano hiyo ilizuiwa baada ya baadhi ya wanasiasa kufanya mikutano hiyo kuwa pango la matusi,kashfa na uchochezi.
Hebu kwa uchache tukaone haadhi ya video za wanasiasa hao
Nawafahamu watu hawa. Ndiyo ambao walimwita Fei Toto na kumchimba mkwara. Wakaharibu zaidi wakati sisi tunaenda kuongea na mama yake amkanye mwanawe wao wakaona wamwite yeye.
===
Alichoandika Saleh Jembe kwenye Ukurasa wa Instagram
WANASIASA ACHENI KAMATI ITENDE HAKI, MSISHADADIE DHULMA...
Ndugu wakigombana shika jembe ukalime ili siku wakipatana urudi shamba ukavune!
Vyama vya siasa katika muktadha wa maridhiano vimeshinikiza baadhi ya viongozi kuhamishwa na kutenguliwa!
Si kwasababu hawafai Bali ni kwa maslahi ya maridhiano!
Maridhiano hayakumtaka afande Sirro ikabidi astaafu...
Kumekuwa na unyanyasaji sana kwa watoto wetu wanaochukuliwa kwenye Ofisi za Serikali kwa ajili ya mafunzo ya kazi (internship programs).
Ukienda sekata binafsi kuna nafuu kubwa sana sana hasa kwa waajiri wale wa uhakika. Vijana wanaochukuliwa Serikalini hata wanaotokea Taesa hawana chochote cha...
Kila siku utasikia hakuna ajira na watu wajiajiri, sasa wajiajiri ili wamuuzie nani na nini? Tanzania ni nchi masikini tena sana sasa kila mtu akijiari hiyo biashara nani atanunua na kwa kipato gani?
Kwangu mimi Mwanasiasa anayewaambia watu wajiajiri wakati per capital income ya Tanzania ni...
Hilo ndilo swali la msingi
1. Je Raisi anataka kukumbukwa maisha kwa kujenga mifumo na kutupa katiba bora Tanzania
2. Atasahaulika kwa kuiba kura na kugushi uchaguzi na kujipa 80% ya ushindi ambayo ni fake?
Haya ni maamuzi yake. Mafisadi wote wanataka achague namba 2 kwani wanajali matumbo tu...
Kama huna maslahi ya moja kwa moja, kama kupata uongozi au posho za uchawa acha mara moja ushabiki wa siasa na kushabikia wanasiasa zama hizi.
Ushabiki wa siasa itakufanya usione mabaya ya chama chako wala mazuri ya chama kingine.
Masuala ya siasa ni muhimu kuliko mpira, usiyaletee ushabiki...
Katika hotuba ya Rais Samia Suluhu leo amegusia suala la migogoro la ardhi amesema kuwa:
"Wakati wananchi wanavamia maeneo, wanasiasa hatuwaambii wananchi ukweli, tunawaangalia wakivamia na badala yake tunakuja kusimama kutetea wavamizi wa maeneo yale [..] lengo ni kupata kura huko baadaye...
Mungu wetu sote na awabariki Kwa nia na madhumuni ya ndoto zenu za kisiasa. Imenipasa kusema haya Kwa kuwa mazingira ya wazi yamezibwa na mnakosa prior visibility Kwa Hazina ya wapiga kura wengi. Hata hivyo Bado zipo fursa ambazo hamzitumii ipasavyo hasa vyombo habari TV, Redio, Blogs, Pamoja...
Huyu mama yuko simple na mkweli, anaeleza kama ilivyo na kuwa tayari kurekebisha badala ya kutukana au kulaumu laumu mabeberu.....
Binafsi huwa nimewachoka na kuwakinai wanasiasa, kwa hii video inaonyesha bado kuna wachache wanaoweza kufuatiliwa...
Mara nyingi sisi watumishi wa Mungu tunaponena jambo badala mtusikilizie basi mnajikita kutuangalia Kaliba zetu, kwamba we mtu uliyekuwa hujasoma utaniambia nini, mtu mwenye maskini tu unachakumshauri mtu anaye kuzidi kipato au mamlaka?
Sasa ni hivi ktk purukushani za siasa hasa hapa Afrika na...
Kuna upotofu Fulani ulianza toka enzi za Raisi aliyependa kuabudiwa JPM na sasa umekuwa ndio utaratibu.
Utasikia Raisi Katoa PESA kadhaa mara Raisi katafuta PESA kuafanya kitu kadhaa.
Hivi Rais Katoa wapi hizo PESA kama sio Kodi yangu? Hivi ikiwa Raisi kakopa PESA wakulipa ni nani kama sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.