Uwepo wa wanasiasa uchwara Tanzania uligunduliwa kwa mara ya Rais William Benjamini Mkapa (RIP). Uchwara wa wanasiasa wetu haujali kuwa una elimu kiasi gani, kabila, dini wala jinsi ya mwanasiasa.
Hivi zile sababu zilizosababisha ndugu zetu Wamasai wachanganywe na wanyamapori ziko mpaka leo...
Kwema Wakuu!
Napenda Siasa Kwa sababu ni mchezo wa wenye wajanja. Napenda Biashara Kwa sababu ni mchezo wa wenye bahati, napenda Fasihi na Falsafa Kwa sababu ni uwanja wa Akili na hekima.
Napenda sheria Kwa sababu ni mto ubebao Haki na Dhulma. Itoshe!
Watanzania wengi ni watu wa ajabu Sana...
Uongozi ni namna ya kushughulika na katatizo yaliyopo.
Kipindi Cha Awamu ya Tano, ilijikita kushughulika na matatizo ya wananchi kwa kiwapelekea miradi mingi haswa ili wafaidi keki Yao.
Miradi ya maji, umeme, barabara, hospital, elimu, n.k ndio ilikuwa kipaumbele.
Wanasiasa walilia sana na...
Naandika nikiwa na masikitiko makubwa sana.
Ina maana viongozi wetu hawaoni kwamba umachinga na bodaboda sio suluhisho la uhakika kuhusu ajira? Viongozi wote wa Chama Tawala na upinzani kwa nyakati tofauti wamekuwa wakitumia makundi haya mawili ku-boost agenda zao za kisiasa wakati wakijua hizo...
Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
👇
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.
2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.
3. Dk . Bashiru...
Na huu ni mtizamo Wadau msijenge chuki pale ambapo nitakuwa nimewagusa watu wenu wa moyoni.
1. Mwigulu Nchemba
2. January Makamba
3. Nape Nnauye
4. Godbless Lema
5. Kigwangalla
6. Paul Makonda
7.
Na wengineo. Hawa jamaa kunakowabeba sana ni mifumo yetu mibovu na uwepo wa wajinga wengi kuliko...
Nimeitazama video moja ya hayati mchungaji Myles Munroe akiwaongelea wanasiasa wa dunia hii. Nikatamani hawa wa kwetu waisikilize ili waondoke na chochote kitu kitakachowasaidia katika wito wao wa siasa. Ni video yenye kutafakarisha kwa kina juu ya maisha mazima ya mwanasiasa.
Anasema kwamba...
Mpk sasa naweza kusema kuwa Rais Samia ana roho nzuri na ana nia njema na taifa hili.
Mtangulizi wake alikuwa na mwelekeo wa kuwadidimiza (kuwafukarisha) wafanyabiashara. Alitamka hadharani kuwa matajiri wataishi kama mashetani. Ndipo akaanza kiwazushia tuhuma mbalimbali na kuanza kufunga...
Ile ya kutushauri twendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini... Wananchi wameanza kukataa.
Wananchi wengi wamekuja gundua wao wanasiasa WANAKULA NYAMA MTORI WANAUACHA JUU.
Wananchi wengi wamejikuta wakimaliza Mtori na kukuta chini patupu. Wachache wanasema kila wanapokaribia kufika chini ya...
Wakati maandamano yakiendelea Nchini Sri Lanka inadaiwa kuwa hivi ndivyo baadhi ya wananchi walivyoamua kushusha hasira zao kwa familia ya Rajapaksa ambayo inatawala nchini humo.
Wameamua kuyachoma na kuyatupa ndani yam aji magari ya kifahari ya wanasiasa hasa kutoka familia hiyo
Watoto na...
Imeibuka hulka ya wanasiasa kushambulia taasisi na watendaji majukwaani.
Ni dhahiri kwamba mifumo ina mapungufu. Hivi PM anashambulia taasisi au mtendaji ambaye juu yake kuna bodi, katibu mkuu na waziri, hii ni hulka gani? Micromanagement sio ideal.
Yupo mmoja alihangaika na principal officers...
Kuna kundi la wanasiasa, wafaidika na sera za yule jamaa yetu aliyetangulia mbele za haki, hawaishi maneno maneno kumsakama Mama Samia.
Wanamsakama utafikiri wataenda kumfufua marehemu amalizie ngwe yake ya miaka minne iliyobaki.
ACHENI UNAFIKI!
Maneno maneno.... oooh madeni yanazidi..
mara...
Tangu nchi ipate Uhuru Haakuna Ilani ya Uchanguzi ya chama cha siasa isiyokuwa na agenda kusabambasa maji, zahanati, pembejeo, masoko, ajira kwa wananchi, lakini baada ya uchaguzi kumalizika na mshindi kutangazwa hakuna ahadi iliyotekelezwa.
Uchaguzi ukija wanarudia yaleyale tena mpaka miaka...
Juzi kati hapa niliona sehemu wamarekani wanalalamika. Wabunge wao wanajihusisha na inside trading kwenye soko la hisa. Inaonekana kwa kutumia nafasi zao wanapata taarifa nyeti zinazowawezesha kufaidika na soko la hisa. Wakata waache kujihusisha na habari za soko la hisa.
Sasa hapa kwetu, hivi...
Wakuu poleni na majukumu,
Kwa nini wanasiasa wanatudanganya sanaz Kauli za PM ngapi zinasema kuhushu kushuka bei vitu tangu hata kabla ya vita ya huko ukraine? Vina shuka au ndo vinaongezeka? Kwanini asiwe mkweli.
Ni tume ngapi zilizoundwa na PM, je mpka leo ripoti imekuja?
Niwakumbushe tu...
Chama cha mapinduzi kilikuwa na shule nyingi ma mali nyingi tu zilizokuwa chini ya jumuia ya wazazi.
Abadala Bulembo na wakora wenzake ndani ya CCM wakazitafuna na kujaza matumbo yao. Leo hii anajinasibu kupiga kelele kuziba wanaopinga ufisadi bila aibu.
Ina maana anataka kuaminisha watu kuwa...
Nadhani wote tunashuhudia namna wabunge wanavyolinda na kupiga kelele zinapotajwa posho na maslahi Yao. Ni mashuhuda kwamba Mzee Pinda linapokuja suala la ufugaji wa nyuki yupo radhi afunge safari kwenda Kwa Mhe. Mkubwa wa nchini kulitolea ufafanuzi, tunafahamu nguvu watakayotumia akina Zitto...
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Dkt. Vicent Mashinji ametoa siku 7 kwa viongozi wa siasa waliowaambia wafanyabiashara warejee katika maeneo yao ya awali ya biashara na kuondoka katika maeneo yaliyotengwa, kwenda kukanusha kauli zao vinginevyo atawachukulia hatua kali za kisheria.
“Niwaagize wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.