Hili pindi la mangoma ya kisauzi kila J2 Wasafi FM kwangu ni balaa sana, kiufupi wasauzi wanamabiti mazito na ya maana sana ila sijui why ngoma zao hazivumi.
Ukiangalia hata biti za wimbo wa mama amina wa marioo na sho madjozi ni biti za kisauzi, hata huu wa harmonize wa anajikosha katembea na...