Jemedaree
JF-Expert Member
- Nov 22, 2021
- 676
- 2,024
Inategemea unataka ya mwaka gani. Ila hakuna Affordability kwenye gari za mjerumani. Itakuwa affordable kununua lakini siyo kuimaintain.
Mtoa mada rudia hii comment kwa sauti..[emoji2788]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea unataka ya mwaka gani. Ila hakuna Affordability kwenye gari za mjerumani. Itakuwa affordable kununua lakini siyo kuimaintain.
Crown royal na mark x zina smooth and comfortable riding kwa sababu ya kuwa V6 Engine ambayo ina CC kubwa kulinganisha na uzito wa gari hivyo engine haisumbuki sana kusukuma gari hata kwenye mlima mkali. Crown athlete na mark x sport hazina comfortable riding kwa sababu suspension zake ni stiff kwa ajili ya kuwa na stability control hasa kwenye kona kali, rapid braking na kufanya drifting.
Mercedes benz na bmw zilizo chini ya cc3000 hazina comfort ride licha ya kuwa reliable. Utasikia muunguruma wa engine kwenye gas pedal hasa unapolazimisha gari ku-pick up maxim speed haraka wakati horse power yake iko chini. Kiufupi bmw na Mercedes zenye comfortable riding ni zile zenye engine kubwa ambazo baadhi yetu hatuwezi kuzimiliki.
Utofauti wa hizi bmw na Mercedes za kawaida ni kwamba zimetengenezwa kwa expensive parts compared to crown and mark x.
Nipo nairudia kimoyomoyo mkuu 😂Mtoa mada rudia hii comment kwa sauti..[emoji2788]
Kitendo cha kuiita Crown the Japanese Benz tayari unamaanisha Crown iko modelled on Benz. So in other way you are appreciating Benz km benchmark ya comfort ability dunianiHizi ni comment watu wanakupa experience zao
Usikalili tu every European car gives you everything
Nakushauri pia ili usiwe disappointed
Fanya Ride test ya gari zote same class unazotaka
-endesha iyo BMW 2010
-endesha Mercedes C200 2010
-try crown 2010
-ongeza na Nissan Fuga
Ili ujue kabisa hizo gari zinakupa vitu tofauti tofauti
Mfano:
nlianaza na crown royal na nlikuwa na hamu sana na C200 kompressor,Nlikuja kuendesha kuna vitu nlipata safety features na pride,lakini kuna ambavyo sikupata nlikuwa na expect kutoka benz
Nikagundua RIDE TEST Ni muhimu pia kabla hujaagiza
Mpka nikaanzisha uzi wa crown the japannese benz [emoji28]
That was my appreciation post kwa mjapan thou niko na mjerumani.
Tatizo ni nini, mbona huko yanapotoka hayapelekwi sana kwa mafundi?mimi km fundi nakwambia chukua BMW haitokusumbua sana kupeleka garage mara kwa mara.
If this makes you happy then keep on!😂Maria huna uwezo wa kununua hizo gari
Unawajua TRA?Duh, gari ya mwaka 2010 ina maana ina miaka 12? Hakuna gari hapo, kwa nini usichukuwe hiyo pesa na nunua gari hata ya chini ya miaka 5 siyo lazima iwe Bimmer au Mercedes, …
Huo ni uongo [emoji23][emoji23][emoji23]Inawezekana uko sahihi, mimi nimeongelea tu experience yangu najua wengi wenye VW Touareg ( model ya kwanza 2002-2010), Audis, BMWs na Mercedes wengi wao aidha hununua gari nyingine haswa toyota ya kutumia kila siku au zimepaki gereji kwa fundi au kama zinatumika zimeshachokonolewa na mafundi na kuunganishwa kufanyiwa modification za kila namna na ile original flavor ya kwamba unaendesha Bimmer haipo tena, nilichotaka kusema ni kwamba hizo gari ziko bomba lkn utaweza kuzienjoy kama kila kitu kinafanya kazi orignal form ( ofcourse hii ni pia kwa kila aina ya gari) na hilo linawezekana kama ukiipata/ ukimudu kuinunua mpya au karibu na mpya au kama ni zamani labda uinunue kwa mtu unayemjua ambaye aliinunua mpya na kuitunza kwa service na kuifanyia matengenezo kuweka spares mpya original jambo ambalo pia bongo ni nadra sana, ….
Ukute hajawahi pita kwenye calculator ya TRABro kwani Toyota tunazotumia huku ni za miaka ipi? Kwa taarifa yako za 2008-2010 huku kwetu ndio tunaita ‘ new model’ hahahahahah
Kule wanatembelea kms 80-100k na kuuza pia wana mafundi wataalam sio wa kwetu hawa mafundi mashikioTatizo ni nini, mbona huko yanapotoka hayapelekwi sana kwa mafundi?
Shida ni magari au shida ni nyinyi mafundi?320i ya BMW atleast uchukue ya kabla ya 2007 au baada ya 2015 kama pesa ipo.
Kuanzia 2008 mpaka 2014 ukichukua 320i, ukajichongee kabisa na jeneza. N43 engines na N20 engines ni majanga makubwa.
C200 kwa 2010 inakuja na M271 ikiwa na Supercharger kikubwa tu hiyo M271 iwe ni KE18ML na siyo DE18ML
Although pia nayo ina shida kwenye timing chain kama zilivyo engine nyingi za European Makers.
Kila la heri.
Shida ni mafundi na spare na wamiliki kutofuata taratibu wanazoelezwaShida ni magari au shida ni nyinyi mafundi?
Atakuwa haijui calculator ya TRA huyo jamaa 😂. Gari ya miaka 5-6 nyuma labda ununue Toyota Aqua-Vitz mpya. Na hata hiyo utasikia mafundi wetu wanakwambia ina umeme mwingiUkute hajawahi pita kwenye calculator ya TRA
Hebu tupe experience yako ya kuishi Germany jamaa wanafanyaje na magari yao kuendelea kudunda barabaraniShida ni mafundi na spare na wamiliki kutofuata taratibu wanazoelezwa
Umeenda mbali sana, we shuka Malawi,Zambia, Zimbabwe, DRC wana magari mkasi sanaBado tupo nyuma mno sometimes nikiangalia jinsi wenzetu Huko dunia ya Kwanza wanavyoishi nahisi bado tupo zama za kinjeketile na mkwawa
Tuhitimishe mafundi wetu ndo tatizoKule wanatembelea kms 80-100k na kuuza pia wana mafundi wataalam sio wa kwetu hawa mafundi mashikio
SawaShida ni mafundi na spare na wamiliki kutofuata taratibu wanazoelezwa
Huwezi kutumia C class kuitambua Benz..tena C200 ni gari za watu wa college..!Hizi ni comment watu wanakupa experience zao
Usikalili tu every European car gives you everything
Nakushauri pia ili usiwe disappointed
Fanya Ride test ya gari zote same class unazotaka
-endesha iyo BMW 2010
-endesha Mercedes C200 2010
-try crown 2010
-ongeza na Nissan Fuga
Ili ujue kabisa hizo gari zinakupa vitu tofauti tofauti
Mfano:
nlianaza na crown royal na nlikuwa na hamu sana na C200 kompressor,Nlikuja kuendesha kuna vitu nlipata safety features na pride,lakini kuna ambavyo sikupata nlikuwa na expect kutoka benz
Nikagundua RIDE TEST Ni muhimu pia kabla hujaagiza
Mpka nikaanzisha uzi wa crown the japannese benz [emoji28]
That was my appreciation post kwa mjapan thou niko na mjerumani.
Unahisi kwanini nimetaja tu baadhi ya engines na sijataja engines zote kwenye hiyo series ya e90?Shida ni magari au shida ni nyinyi mafundi?