2010 BMW 320i vs Mercedes Benz C Class

2010 BMW 320i vs Mercedes Benz C Class

Crown royal na mark x zina smooth and comfortable riding kwa sababu ya kuwa V6 Engine ambayo ina CC kubwa kulinganisha na uzito wa gari hivyo engine haisumbuki sana kusukuma gari hata kwenye mlima mkali. Crown athlete na mark x sport hazina comfortable riding kwa sababu suspension zake ni stiff kwa ajili ya kuwa na stability control hasa kwenye kona kali, rapid braking na kufanya drifting.

Mercedes benz na bmw zilizo chini ya cc3000 hazina comfort ride licha ya kuwa reliable. Utasikia muunguruma wa engine kwenye gas pedal hasa unapolazimisha gari ku-pick up maxim speed haraka wakati horse power yake iko chini. Kiufupi bmw na Mercedes zenye comfortable riding ni zile zenye engine kubwa ambazo baadhi yetu hatuwezi kuzimiliki.

Utofauti wa hizi bmw na Mercedes za kawaida ni kwamba zimetengenezwa kwa expensive parts compared to crown and mark x.

Hizi ni comment watu wanakupa experience zao

Usikalili tu every European car gives you everything


Nakushauri pia ili usiwe disappointed

Fanya Ride test ya gari zote same class unazotaka

-endesha iyo BMW 2010
-endesha Mercedes C200 2010
-try crown 2010
-ongeza na Nissan Fuga


Ili ujue kabisa hizo gari zinakupa vitu tofauti tofauti


Mfano:
nlianaza na crown royal na nlikuwa na hamu sana na C200 kompressor,Nlikuja kuendesha kuna vitu nlipata safety features na pride,lakini kuna ambavyo sikupata nlikuwa na expect kutoka benz

Nikagundua RIDE TEST Ni muhimu pia kabla hujaagiza


Mpka nikaanzisha uzi wa crown the japannese benz [emoji28]

That was my appreciation post kwa mjapan thou niko na mjerumani.
 
Hizi ni comment watu wanakupa experience zao

Usikalili tu every European car gives you everything


Nakushauri pia ili usiwe disappointed

Fanya Ride test ya gari zote same class unazotaka

-endesha iyo BMW 2010
-endesha Mercedes C200 2010
-try crown 2010
-ongeza na Nissan Fuga


Ili ujue kabisa hizo gari zinakupa vitu tofauti tofauti


Mfano:
nlianaza na crown royal na nlikuwa na hamu sana na C200 kompressor,Nlikuja kuendesha kuna vitu nlipata safety features na pride,lakini kuna ambavyo sikupata nlikuwa na expect kutoka benz

Nikagundua RIDE TEST Ni muhimu pia kabla hujaagiza


Mpka nikaanzisha uzi wa crown the japannese benz [emoji28]

That was my appreciation post kwa mjapan thou niko na mjerumani.
Kitendo cha kuiita Crown the Japanese Benz tayari unamaanisha Crown iko modelled on Benz. So in other way you are appreciating Benz km benchmark ya comfort ability duniani
 
Inawezekana uko sahihi, mimi nimeongelea tu experience yangu najua wengi wenye VW Touareg ( model ya kwanza 2002-2010), Audis, BMWs na Mercedes wengi wao aidha hununua gari nyingine haswa toyota ya kutumia kila siku au zimepaki gereji kwa fundi au kama zinatumika zimeshachokonolewa na mafundi na kuunganishwa kufanyiwa modification za kila namna na ile original flavor ya kwamba unaendesha Bimmer haipo tena, nilichotaka kusema ni kwamba hizo gari ziko bomba lkn utaweza kuzienjoy kama kila kitu kinafanya kazi orignal form ( ofcourse hii ni pia kwa kila aina ya gari) na hilo linawezekana kama ukiipata/ ukimudu kuinunua mpya au karibu na mpya au kama ni zamani labda uinunue kwa mtu unayemjua ambaye aliinunua mpya na kuitunza kwa service na kuifanyia matengenezo kuweka spares mpya original jambo ambalo pia bongo ni nadra sana, ….
Huo ni uongo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
320i ya BMW atleast uchukue ya kabla ya 2007 au baada ya 2015 kama pesa ipo.

Kuanzia 2008 mpaka 2014 ukichukua 320i, ukajichongee kabisa na jeneza. N43 engines na N20 engines ni majanga makubwa.

C200 kwa 2010 inakuja na M271 ikiwa na Supercharger kikubwa tu hiyo M271 iwe ni KE18ML na siyo DE18ML

Although pia nayo ina shida kwenye timing chain kama zilivyo engine nyingi za European Makers.

Kila la heri.
Shida ni magari au shida ni nyinyi mafundi?
 
Hizi ni comment watu wanakupa experience zao

Usikalili tu every European car gives you everything


Nakushauri pia ili usiwe disappointed

Fanya Ride test ya gari zote same class unazotaka

-endesha iyo BMW 2010
-endesha Mercedes C200 2010
-try crown 2010
-ongeza na Nissan Fuga


Ili ujue kabisa hizo gari zinakupa vitu tofauti tofauti


Mfano:
nlianaza na crown royal na nlikuwa na hamu sana na C200 kompressor,Nlikuja kuendesha kuna vitu nlipata safety features na pride,lakini kuna ambavyo sikupata nlikuwa na expect kutoka benz

Nikagundua RIDE TEST Ni muhimu pia kabla hujaagiza


Mpka nikaanzisha uzi wa crown the japannese benz [emoji28]

That was my appreciation post kwa mjapan thou niko na mjerumani.
Huwezi kutumia C class kuitambua Benz..tena C200 ni gari za watu wa college..!
 
Back
Top Bottom