Ushauri:Mada kama ivi zinaleta mtazamo hasi kwa jamii zetu ni Bora muachane nazo kwa mwaka huu 2022 kila mtu mfanyabiashara kama hukijui hata historia ya mengi pesa alipata wapi na jinsi serikali ilimpa pesa ili amanage ...hata ukiangalia trend ya matajiri wengi wa sasa ni wale walikuwa na pesa tangu enzi za mabanii zao ...wapo walioiba sana enzi za nyerere usidanganywe watu wakiiba kweli enzi izo na hapakuwa na mtu anajua....kuwekeza kweny elimu yeap uwekezaji ukifanya ila sio kuwafanyia watu wawe smart tunaona matoto ya kishua yanavyopata tabu huku vyuoni maana walizoea slope ....
Na katika elimu palikuwa na kasumba zamani ndo maana pakaletwa mfumo wa namba.
Kingine usirudie Tena kusema elimu imewafanya wamestaarabika hapana sio kweli ustaarabu unaanzia kitaa na jamii kwa ujumla watu wa Pwani ndo walikuwa wamestaarabika nimesoma na jamaa wanatoka Moshi na Arusha wanaogopa kvua nguo wanajificha hata wakikoja kwa vile Wana magovi...
Kwa takwimu zilizopo makabila ya mwisho kwa bongo ambao hawajajitambua ni tindiga/hadzabe wako huko kaskazini wakifuatiwa na wazee wa kushikilia Mila zao miaka na miaka wamasai.