2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

Hizi chuki huenda ametoka nazo mbali sio kawaida hii.
mjkkk.png
 
mzee umecopy na kupaste comment ya watu na kuifanya uzi official wa kuwadiss wenzakoo!

akili finyuu sana hii!!
moderator futa hii kitu.
 
Utakuwa ulilewa miwanzuki ukashikwa hyo bambataa na hizi kabila..c kwa namba ulivyochamba kama mwanamke mwenye kisirani cha kunyimwa hela ya rejesho
 
Hakuna kitu kibaya kama umaskini wa akili.. Being a great sinker! Medulla kwashiorkor!
Na mbaya zaidi umaskini wa akili hukufanya usifanye juhudi yoyote kwenye kujiendeleza, unabaki kuishi kwa matumaini kuwa ''kuna siku wale waliokuzidi watakuja kuporomoka ili muwe maskini wote''. Muda wote unakuwa unautumia kusengenya wenye uwezo na kuomba dua mbaya ili wafilisike.
 
Ngoja tumalize kunywa mbege mixer kvant tuje kutoa mapovu
 
Mwenye macho haambiwi tazama

Kwa makabila ya Tanzania ngozi nyeusi matajiri wengi ni wakinga na wachaga

Makabila mengine yote hayana matajiri wengi kama wachaga na wakinga

Huo ndio ukweli mleta mada ukubali tukatae
Utajiri haujifichi hakuna utajiri.wa kimya kimya!!
 
Mwenye macho haambiwi tazama

Kwa makabila ya Tanzania ngozi nyeusi matajiri wengi ni wakinga na wachaga

Makabila mengine yote hayana matajiri wengi kama wachaga na wakinga

Huo ndio ukweli mleta mada ukubali tukatae
Utajiri haujifichi hakuna utajiri.wa kimya kimya!!
Kwa hiyo utajiri ni biashara kariakoo hapo tu? Acheni kujidanganya! Nchii hii ni kubwa sana!
 
Kwa hiyo utajiri ni biashara kariakoo hapo tu? Acheni kujidanganya! Nchii hii ni kubwa sana!
Wachaga na wakinga wako kila sector sio.kariakoo tu ukienda kwenda usafirishaji wanamiliki.hadi ndege mfano Precision Air
Ukienda kwenye mahoteli makubwa usiseme inamaanisha makubwa

Ukienda magari ya usafirishaji.kuanzia malori hadi mabasi usiseme kaukuta mjinga au mchaga ana Malori na mabasi 100 kitu kidogo sana

Wanamiliki makampuni makubwa ndani na nje ya nchi siongelei Tanzania au Afrika namaanisha nje ya bara la Afrika

Maferemu asilimia kubwa kariakoo zinamilikiwa na wachaga na wakinga .Kodi.yake wewe lofa huwezi kupanga hiyo.hela huna.
Wako kila sekta

Akili huna wewe.Wao Hawako.kwenye uchuuzi tu
 
Niko hapa kutazama matusi utakayoyapata kutoka kwa wachaga...

Hawapendi kuambiwa ukweli hao watu...bora tu uishi naye kinafiki nafiki tu
 
Tatizo Ni nin lkn tulienj wachanga wawaoneaheni kazi
 
Tusubiri part two? Kwa mujibu wa title yako hujamaliza bado
 
Back
Top Bottom