2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

Kijana ukienda Libeti halo ukahesabu maduka mengi utasema ni ya wakurya? Umekariri kitana na gachuma kamini kwa taarifa yako hao wife kishimba hawamfikii na amina baraka wafanyabiashara wa madini na vijana wengi wa geita na kahama walo mwanza halo! Sema wasukuma ni wakimya tu!
Umempa za uso. Hatuna show off ila pesa ipo
 
Mkuu kunywa maji upunguze hasira. Mikuki yako imewachoma watu. Umekuwa sumu kwao
 
Nyie ndio watumwa wa watanzania. Muwe watumwa mara ngapi. Kuna mtanzania amekuja uchagani? Nyie ndio mnawafuata watanzania kwasababu ya umaskini wenu. Mtaendelea kuwa wakimbizi ndani ya Tanzania hamna namna mtakufa njaa. Nyie kwanza mna laana ya ubaguzi mnabaguana hata wenyewe. Nyie siyo kabila moja mnajiona wachaga kwasababu mko ndani ya koti kubwa la Tanzania. Mkiachwa wenyewe kuna wamachame, wakibosho, wamarangu, warombo n.k. Shameful!
Povu la mtumwa utalijua tu....
Kwani waafrika tulivyofanywa watumwa na wazungu na waarabu sisi ndio tuliwafuata kwao au wao ndio walikuja kwetu.

Alafu ukumbuke pia mwazilishi mwenza wa hii JamiiForums ni mchagga, so bwabwaja kwa step usije ukapigwa burn ya maisha
 
Kijana ukienda Libeti hapo ukahesabu maduka mengi utasema ni ya wakurya? Benda hata stendi halo kahe sabu mabasi na kosta nyingi ni za amina nani kama soo wasukuma! Wewe umekaria Zakaria na kisire! Umekariri kitana na gachuma lakini kwa taarifa yako hao kishimba hawamfikii na akina baraka wafanyabiashara wa madini na vijana wengi wa geita na kahama walo mwanza hako! Sema wasukuma ni wakimya tu!
wasukuma kawaida wanachojua wao ni nguvu nyingi akili kidogo
 
Wabena umewaachaje hapo mzee
Kwanza salimia basi 😂
Kamwene mnogage, ni matumaini yangu mko poa pamoja na watani zenu wahehe

Mkinga hana mtani lakini si mbaya muwe mnajisogeza kwao wawamegee madini 😁
 
We una umri gani kwanza. Mambo unayozungumzia yameshapitwa na wakati. Kwanza yanakusaidia nini kama siyo umejaa ukabila? Umesahau uchagani ndio kuna ongoza kwa kwashiakor? Kunaongoza kwa aina nyingi za pombe ya kienyeji kiasi wanawake ndiyo wanaochimba mifereji? Je siyo uchagani wanaume wameshindwa kuhudumia wanawake zao kingono mpaka wanasaidiwa na wakenya kwa sababu ya ulevi? Shule unazozungumzia ni zile zilizojengwa na taasisi za kizungu hasa za kidini na zikaja kutaifishwa na serikali na hatimaye walisoma watanzania wote siyo wachaga tu. Kwa leo Mikoa yote ina shule nyingi za sekondari na za msingi. Sasa hivi unakuta kata moja ina shule za sekondari mpaka 4. Kama kusoma sasa hivi makabila yote yamesoma acheni kudanganya watu wasiowafahamu. Uchagani kuna umaskini hakuna mfano ndiyo maana kijana wa kichaga akimaliza tu shule iwe ya msingi au ya sekondari na ameshindwa kuendelea ni kukimbia kuelekea mikoa mingine kwa sababu uchagani hakukaliki. Mnaishi kama wakimbizi bado unajisifu eti mwisho wa mwaka mnarudi nyumbani mlikuwa wapi mwaka mzima? Kama kwenu ni kuzuri kumeendelea kitu gani kinawafanya msitulie kwenu? Msidanganye watu uchagani kugumu mi nakufahamu tena sana.

Unazungumzia kuendeleza kwenu, nikuulize ni wilaya gani ndani ya mkoa wa Kilimanjaro makao makuu yake yana hadhi hata ya halmashauri ya mji? Mkoa kama Tanga Korogwe ina Halamashauri 2 moja ya mji, una Halamashauri 2, wilaya ya Handeni ina Halmashauri 2 moja ya mji. Kilimanjaro Rombo ni ili ile, Hai ndiyo ina mji mdogo wa Bomang'ombe, Siha haina lolote, Same ndiyo hivyo tena imeshadoda, Mwanga huwezi kujua hata kama ni makao makuu ya Wilaya utafikiri kijiji. Sasa niambie huko mlikoendeleza miji yake inaitwaje?

Tatizo wachaga wengi mna matatizo ya afya ya akili kwasababu ya ugumu wa maisha. Mnapenda makuu kwa vitu vidogo sana, mnapenda sifa za kijinga tena za uwongo, mna ukabila, mnapenda sana ligi tena mnataka kushindana na makabila zaidi ya 120 ya Tanzania. Kwenu kuna umaskini hakuna rasilimali yoyote, hakuna ardhi kusema mlime, kwanza ni wavivu wa kulima mnapenda short cut muuze vifaa vya kichina, mfanye umachinga, mchome nyama, mpike supu, mkaange chipsi ndiyo kazi yenu. Hakuna bahari wala ziwa kwenu kusema mvue, hakuna ufugaji wowote mna uchumi gani?. Nyie mtaendelea kuishi kama wakimbizi ndani ya Tanzania. Mwezi wa 12 mnarudi kwenu kwenda kuwaonesha ndugu zenu mliowaacha mlichovuna mnavyopenda sifa. Kingine ni kwenda kuzikwa kwenu. Matajiri wa kichaga ni wachache sana kulinganisha ni population ya wachaga, wachache sana. Acheni show off na sifa za kijinga, sifa ya tajiri wa kweli ni siri hapendi kujionesha, ni maskini tu ndio hupenda kujionesha na kujisifu ndiyo sifa yenu.
Uko sahihi kabisa. Wangekuwa na uchumi mzuri miji midogo ya biashara ingechipuka uchaggani lakini hawana kitu. Angalia usukumani miji midogo inavyochipuka kama Katoro, Masumbwe, Lamadi, Lunzewe, Nyarugusu, Lwamgasa n.k.. Uchaggani hakuna madini wala uvuvi halafu mtu anasema eti wameendelea ! Kwa lipi ?
 
Nadhani hujanisoma na kunielewa.

Kabla ya kuelezea maendeleo ni muhimu kuweka tafsiri. Tafsiri yangu niliyoweka hapa kuhusu maendeleo inajumuisha na suala la kustaarabika. Katika mazingira ya jamii (kabila) iliyofikiwa ipasavyo na elimu, sayansi, teknologia na imani za kidini (Ukristo na Uislamu) halafu bado jamii hiyo ikaendelea kutambika, maana yake (inachukuliwa kuwa) bado haijastaarabika, na iko nyuma kimaendeleo. Na kwa hapa Tanzania, kabila lolote linaendekeza imani za matambiko (ushirikina) linatafsiriwa kuwa halijaendelea! Na karibu kila mtu hapa anaona hivyo.

Tuje sasa kwa kabila la wachaga. Kwa jinsi kabila la wachaga walivyofikiwa ipasavyo na Elimu, Sayansi, Teknologia na Imani za kidini, usingetegemea kama na wao bado wanatambika (wanaloga!). Na karibu wachaga wote huku mijini ukiwauliza kama wanaamini mafanikio yao ni sehemu ya matokeo ya wao kutambika (kuloga) watasema hapana, wanakana wao kufanya hivyo vitu, lakini kisiri wakiwa huko uchagani wanatambika (wanaloga!)

Hitimisho langu ni kuwa, jamii inayoamini katika kutatua matatizo yake kwa njia za kisasa au kisayansi kuliko kuamini kwenye imani za kale (kutambika/kuloga) basi hiyo jamii itakuwa imepiga hatua kubwa kimaendeleo.
Kuna washirikina zaidi ya wachagga ? Kweli bangi na mbege havimuachi mtu salama.
 
Heshima kwa wachaga.

Mimi sio mchaga lakini huwa nikifika kwenye hii miji midogo midogo inayoibukia kwenye fursa, moja ya kigezo ninachotumia kwenye kubaini uwepo wa fursa za kibiashara ni uwepo wa wachaga.

Kama mji wa kibiashara hauna wachaga, hapo napaangalia mara mbili mbili.

Bwahaha [emoji1787]
 
Wasukuma wana ardhi gani yenye rutuba? Mkoa upi una rutuba? Danganya ambao hawajui usukumani. Kungekuwa na rutuba mngelima mtama mihogo na pamba? We kwl zuzu, popoma.
Kama hakuna rutuba wangekuwa wanalima mpunga na mahindi ya kutosha, pia wasukuma wamechukua maeneo makubwa ya nchi hii, kama ifakara, mbeya, katavi, mpanda, morogoro, mtwara n.k.
Kama ulikuwa hujui msukuma ndio anaongoza kwa kutafuta pesa hapa Tanzania, tofauti na makabila mengine yanayojitapa kutwa nzima kukimbilia mijini wakijiona ndio wapambanaji, msukuma utamkuta mjini, utamkuta vijijini, porini na kwenye mbuga akitafuta pesa.
 
Tutafute pesa vijana wenzangu. Hilo ndio jambo muhimu.
 
Wewe kabila lako lina maendeleo gani, au kuuza duka la rejareja naww unakuwa mfanyabiashara mkubwa, acha kushindana na msukuma kenge wewe, wakitoka wahindi na waarabu wanaofuata kwa ukwasi hapa Tanzania ila hawana kelele za kipimbi hakuna kabila lingine bali ni wasukuma.
Haya hebu tutajie biashara ya msukuma iliyopo dar,mbeya arusha,morogoro na dodoma kwa uchache
 
Karne ya 21 kuzungumzia ukabila na kuushabikia ni kurudi nyuma. Makabila hayana maana yoyote kwa sasa katika ulimwengu huu.

Turudi kwenye mada. Dosari kubwa za mleta mada ni kuzungumzia maendeleo kabla ya kutoa tafsiri ya maendeleo. Kuna maendeleo ya kijamii (hii itaipimwa kwa ubora wa maisha kwenye eneo ambalo jamii husika inaishi) na kuna maendeleo ya mtu binafsi (hii utaipima kwa mtu mmoja mmoja).

Maendeleo ya jamii husika unaweza kuyapima kwa kuangalia hivi vitu.
1. Familia.
2. Ustaarabu.
3. Maisha.

Kwa mfano, kifamilia Katika hilo jamii za kabila la Kichaga ndio kinara. Mpaka leo hii mnyororo wa kimaendeleo kuanzia babu, watoto na wajukuu upo pale pale. Yaani unakuta babu alitoboa kimaisha, mtoto akatoboa na mjukuu akatoboa. Ama mjukuu aliyetoboa kimaisha atarejea kuendeleza jamii yake. Yaani haachwi mtu nyuma. Ni ngumu kukutana na mchaga asiyekuwa na connection ya moja kwa moja na ndugu zake. Kwa makabila mengi hilo jambo huwezi kulikuta kabisa.

Kama maendeleo ya jamii yatapimwa kwa kustaarabika, sote turejee vijijini kwetu tutazame bibi na babu zetu wanaishi vipi. Kuna makabila ukiwaambia kuwa na vyoo tu hiyo wanaiona ni anasa ya kuikuta mjini, hawana hata huo muda wa kuwaza kujenga choo bora, safi na salama. Kuna jamii mpaka leo zinaishi kwenye wingu la ushirikina au kutambika, wanarithi wake, wanaozesha mabinti wadogo nk. Wachaga pamoja na kuwa wamestaarabika kwenye mambo mengi lakini mpaka leo hii jamii nyingi za kichaga zinaendeleza matambiko huko uchagani tena kisiri. Hapo wameharibu ustaarabu! Kuna watu wa makabila mbalimbali wanaogopa kurudi kwao kijijini kusalimia au kujenga kwa woga wa kurogwa. Ni vipi utasema hilo kabila limeendelea.

Mwisho kijamii, maendeleo yatapimwa kimaisha (kula, kuvaa, kulala nk). Turudi vijijini kwetu, tuangalie watu wetu wanaishi vipi. Wanaishi kwenye nyumba zipi, wanakula nini, wanavaa nini?
Mkuu TAMBIKO ni nini kwa tafsiri yako
 
Back
Top Bottom