Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Sio tu hela ni wapambanaji/hustlers vibaya mnoTuache utani. Wachagga wana mkwanja. Ika standard deviation ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tu hela ni wapambanaji/hustlers vibaya mnoTuache utani. Wachagga wana mkwanja. Ika standard deviation ipo.
Wasukuma wana ardhi gani yenye rutuba? Mkoa upi una rutuba? Danganya ambao hawajui usukumani. Kungekuwa na rutuba mngelima mtama mihogo na pamba? We kwl zuzu, popoma.Huku kuna pori gani? Msukuma anaanzisha miji, na ameanzisha miji mingi hapa Tanzania, na kwa taarifa yako sehemu yoyote yenye rutuba hapa Tanzania msukuma huwa hakosi ata kidogo, hakuna watu wanaonusa fursa haraka na wana macho ya mwewe kama wasukuma, kaa na uzwazwa wako😝😝😝😝😝
Na meli za mizigo pia, kuna meli ya mizigo matangazo yake yapo Azam tv, Mapembelo freight, hiyo nayo hajaona.Wachaga na wakinga wako kila sector sio.kariakoo tu ukienda kwenda usafirishaji wanamiliki.hadi ndege mfano Precision Air
Ukienda kwenye mahoteli makubwa usiseme inamaanisha makubwa
Ukienda magari ya usafirishaji.kuanzia malori hadi mabasi usiseme kaukuta mjinga au mchaga ana Malori na mabasi 100 kitu kidogo sana
Wanamiliki makampuni makubwa ndani na nje ya nchi siongelei Tanzania au Afrika namaanisha nje ya bara la Afrika
Maferemu asilimia kubwa kariakoo zinamilikiwa na wachaga na wakinga .Kodi.yake wewe lofa huwezi kupanga hiyo.hela huna.
Wako kila sekta
Akili huna wewe.Wao Hawako.kwenye uchuuzi tu
Nyie ndio watumwa wa watanzania. Muwe watumwa mara ngapi. Kuna mtanzania amekuja uchagani? Nyie ndio mnawafuata watanzania kwasababu ya umaskini wenu. Mtaendelea kuwa wakimbizi ndani ya Tanzania hamna namna mtakufa njaa. Nyie kwanza mna laana ya ubaguzi mnabaguana hata wenyewe. Nyie siyo kabila moja mnajiona wachaga kwasababu mko ndani ya koti kubwa la Tanzania. Mkiachwa wenyewe kuna wamachame, wakibosho, wamarangu, warombo n.k. Shameful!Mungu azidi kuwabariki wachagga wote popote pale walipo na makabila mengine yawe watumwa wetu.
Amen...
Wasumbwa ni sehemu ya wanyamwezi kwa wale waliopo wilaya ya Kaliua na Urambo.Mbona siwaoni wafipa,wamatengo,wasumbwa.
Hakuna kabila linaloitwa wapemba
Punguza chuki mkuu, 😁😁 wahindi wanatawala soko la hoteli Marekani sembuse wachaga kutoka nje ya mji wao kutafuta fursa 😁😁 ila uzuri hawakusahau kwaoNyie ndio watumwa wa watanzania. Muwe watumwa mara ngapi. Kuna mtanzania amekuja uchagani? Nyie ndio mnawafuata watanzania kwasababu ya umaskini wenu. Mtaendelea kuwa wakimbizi ndani ya Tanzania hamna namna mtakufa njaa. Nyie kwanza mna laana ya ubaguzi mnabaguana hata wenyewe. Nyie siyo kabila moja mnajiona wachaga kwasababu mko ndani ya koti kubwa la Tanzania. Mkiachwa wenyewe kuna wamachame, wakibosho, wamarangu, warombo n.k. Shameful!
Kakariri akina Gachuma na Zakaria! Mkurya hata wanyantuzu tu hawafikii hata nusu! Achana na jamii zingine za wasukuma!unavuta bangi ya Tarime au Rorya ?
Such type of people are mentally mind castratedNa mbaya zaidi umaskini wa akili hukufanya usifanye juhudi yoyote kwenye kujiendeleza, unabaki kuishi kwa matumaini kuwa ''kuna siku wale waliokuzidi watakuja kuporomoka ili muwe maskini wote''. Muda wote unakuwa unautumia kusengenya wenye uwezo na kuomba dua mbaya ili wafilisike.
Kijana ukienda Libeti hapo ukahesabu maduka mengi utasema ni ya wakurya? Benda hata stendi halo kahe sabu mabasi na kosta nyingi ni za amina nani kama soo wasukuma! Wewe umekaria Zakaria na kisire! Umekariri kitana na gachuma lakini kwa taarifa yako hao kishimba hawamfikii na akina baraka wafanyabiashara wa madini na vijana wengi wa geita na kahama walo mwanza hako! Sema wasukuma ni wakimya tu!Wafanyabiashara wakubwa mwanza ni wakurya wala sio wasukuma au wahaya kama ulikua hujui
Kukopesha watumishi labda😝😝😝Ukiniambia kabila lenye mafanikio Kanda ya ziwa ntakuambia wakurya, wahaya na wasukuma hawamfikii mkurya