Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Wapo wengine wana ng'ombe hadi 3,000 Ila wapo kimya tu hawana showoff kabisaTatizo la watanzania wanapenda showoff sana,Lakini wasukuma wameshika sekta kama madini ,ufugaji na kilimo ila kwa vile hawana kelele hutajua kama wanamaendeleo. Mfano utakutana na mtu anagunia 700 za mpunga lakini muonekano ni wakawaida tu.
Wanapenda kuwa na mifugo mingi- hasa ng'ombe. Unakuta Msukuma mmoja anamiliki ng'ombe hadi kufikia 500, lakini anaishi maisha ya kimasikini.Na .I'm nimemshangaa msukuma hajawahi kuwa na maendeleo. Yupo kama mmasai tu
..akina Mwita Gachuma eh?!Wafanyabiashara wakubwa mwanza ni wakurya wala sio wasukuma au wahaya kama ulikua hujui
Hii orodha hapa chini inaweza kutoa picha ya uhalisia wa mambo yalivyo:Unaangalia mambo ya kale bila facts, angalia present ndugu, huyo mengi kuingia kwenye top 10 inamaanisha kila mchaga ni tajiri, endeleeni na ujinga wenu, na leta list ta top 10 ya sasa, nakushauri acha kukariri maisha, kama kusoma kwa sasa kila kabila watu wake wamepata elimu ya kutosha tu.
Huyo Gachuma vijana kibao tu hapo mwanza hawafikii ila tatizo kukariri mambo! Kwa kishimba,Baraka na Lakairo ndo matajiri!..akina Mwita Gachuma eh?!
Huyo Gachuma vijana kibao tu hapo mwanza hawafikii ila tatizo kukariri mambo! Kwa kishimba,Baraka na Lakairo ndo matajiri!
Gachuma alisha wahi kukataliwa na Magufuli kuwekeza huko mara akaambiwa ni dalali tu badala yake akasema kama ni Lakairo sawa ndo tajiri anaweza kuwekeza!
Kitana na Gachuma matajiri wa zamani pale!
Hiyo ndo fact!!! Achana na wao wenye mbwembwe na keleleMakabila mengi kwa sasa wanafanya biashara sana tulizoea wachaga, wakinga, waha ndio wapambanaji lakini kwa sasa kila kabila wanapambana hali na mazingira yalishabadilisha watu japo kuna makabila ujasiriamali uko kwenye damu yaani ataanza na mtaji wa elfu 30 kwa kuvumilia miaka mitano mbele sio mwenzako tena
Yule inasemekana ni mtu wa kigoma mama yake msukuma ila kakulia Geita na anafedha nyingi sana!Hivi Baraka ndio mtu wa kigoma?
Unamuwekaje Mngoni na Mmakonde kwenye chungu kimoja?wamakonde na wangoni watakuj kuanzisha vita mda c mref
Makabila mengi kwa sasa wanafanya biashara sana tulizoea wachaga, wakinga, waha ndio wapambanaji lakini kwa sasa kila kabila wanapambana hali na mazingira yalishabadilisha watu japo kuna makabila ujasiriamali uko kwenye damu yaani ataanza na mtaji wa elfu 30 kwa kuvumilia miaka mitano mbele sio mwenzako tena
Biashara zina levels,, kuna wafanyabiashara wadogo na wa kawaida unakuta duka lina simu kali hazizidi 50, kuna wafanyabiashara wakubwa mapapa ya kichaga, kinga, pemba wanaoleta bidhaa kwenye makontena kutoka nje, kontena unakuta limejaa simu kali, hizi bidhaa wanauza in bulk kwa wafanyabiashara wa nchi nzima na nchi zilizotuzunguka.Hiyo ndo fact!!! Achana na wao wenye mbwembwe na kelele
πππUnatumia nguvu sana kila kona Kuna wafanyabiashara ishu za kuzidiana ipo kila kona ..we endelea kuangalia makabila sijui mapapa wala siwajui kila kona ni biashara endelea kuangalia makabila tu.Biashara zina levels,, kuna wafanyabiashara wadogo na wa kawaida unakuta duka lina simu kali hazizidi 50, kuna wafanyabiashara wakubwa mapapa ya kichaga, kinga, pemba wanaoleta bidhaa kwenye makontena kutoka nje, kontena unakuta limejaa simu kali, hizi bidhaa wanauza in bulk kwa wafanyabiashara wa nchi nzima na nchi zilizotuzunguka.
Exactly wasukuma tupo good kwenye matumizi ya rasilimali ardhi ,kwetu utajiri si maghorofa bali kumiliki rasilimali ardhi kisawasawa ,hawa majirani wakija kustuka tutakuwa tunawakatia tuvipande tu twa aredhi na they will pay us alot of moneyHuku kuna pori gani? Msukuma anaanzisha miji, na ameanzisha miji mingi hapa Tanzania, na kwa taarifa yako sehemu yoyote yenye rutuba hapa Tanzania msukuma huwa hakosi ata kidogo, hakuna watu wanaonusa fursa haraka na wana macho ya mwewe kama wasukuma, kaa na uzwazwa wako[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Nilikuwa section za utoaji mizgo bandari tulikuwa na wateja kibao sijawai kuona izo container zaidi ni makampuni ya wahindi kama sukari, nguo ,wahindi na waarabu 80% ni wao izo simu ,magari sasa mbona huwataji !!ππππwale sio washamba wakupiga kelele mitandaoni wako kimya nyie weusi mnapenda kuonekana mko juu wakati wenzenu wanajua watu wote weusi ni wajinga..Biashara zina levels,, kuna wafanyabiashara wadogo na wa kawaida unakuta duka lina simu kali hazizidi 50, kuna wafanyabiashara wakubwa mapapa ya kichaga, kinga, pemba wanaoleta bidhaa kwenye makontena kutoka nje, kontena unakuta limejaa simu kali, hizi bidhaa wanauza in bulk kwa wafanyabiashara wa nchi nzima na nchi zilizotuzunguka.
Kila kona naona ila hawa wamkazania makabila machache mpaka nashangaa mi binafsi wakinga nimeanza kuwajua 2017 nilikuwa siwajui kabisa Tena baada ya huyu vunjabei kuanza Kik za mtandaoniVile wazaramo, waluguru, wapogolo na wamakonde wakiwaka biashara kila mtu anafanya kisa hawajatajwa
Hakuna kabila la wahindi ama waarabu, wao wana makabila yao ya huko walikotoka ndio maana hawamo kwenye list, tunaweza kuwaita jamii ya waarabu ama wahindi.Nilikuwa section za utoaji mizgo bandari tulikuwa na wateja kibao sijawai kuona izo container zaidi ni makampuni ya wahindi kama sukari, nguo ,wahindi na waarabu 80% ni wao izo simu ,magari sasa mbona huwataji !!ππππwale sio washamba wakupiga kelele mitandaoni wako kimya nyie weusi mnapenda kuonekana mko juu wakati wenzenu wanajua watu wote weusi ni wajinga..
Ninaweza kukutajia mapapa wakubwa waraabu tu na wahindi na wachina hao unaosema ni wapiga dili na wapenda sifa.