whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,161
- 2,454
Mlitoka sare bhana, hongereni.Hii game congo tunapoteza sana nafasi za wazi[emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio Goli moja tu. Hata SHOT on TARGET tunaweza tusipate. Maana jana tumekosa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njia moja wapo ya kuboresha ligi yetu ni kuleta VAR mfano hapa naangalia mechi ya GUINE kidogo watu wapewe ushindi feki na kadi ya njano feki maana yake mshindi angekuwa feki ndicho kinachotokeaga hapa bongo mfano mfungaji bora feki ndugu saido
Diarra je? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa wale mnaomtetea manula hivi mmeona shuti lililodakwa na goalkeeper wa Ivory coast? Ingekuwa manula angetema na ingekuwa chuma kile!
Vibanda umiza ni kimbilio la waafrika mkuu 😂Africa bado sisi ni mafukara sana yaani watazamaji hata uwanja wa watu 20,000 viwanja bado ni vitupu
Nigeria mbna ndo walitegemewa kuchukua ndoo na huyo oshmen wao. LolNigeria na Ghana wanatoka hatua za awali
Diarra akiwa golini hauna wasiwasi kbs mashuti kama hayo huwa anayameza!Diarra je? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Timu yetu imeonyesha udogo wake pakubwa sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu ana link ya hii game?
Nakwambia kweli. Tutamaliza bila On Target nakwambia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
V.A. RNigeria wanaongoza kwa bao 1 walilofunga kwa mkwaju wa penalt.
Sijawahi kuona penalt soft kama hii. Huyu refaree ni refarre bara lakini kwa huu uamuzi hapana aisee.
Hii penalt ni softy sana... tembo wameonewa.Baadhi ya penalty ni za ajabu sana...
Mbona kuna wakati mkosoaji haiwi amekusudia..!!!