Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
huyu osimhen ameanza kuchuja na mablich yake
Ana mke mzuri mnoDrogba yuko zake jukwaani amepoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu osimhen ameanza kuchuja na mablich yake
Ana mke mzuri mnoDrogba yuko zake jukwaani amepoa
Tunisia na morroco unawachajeSoma uelewe
Nimezitaja timu bora za muda wote bara la africa
Mimi nilitabiria egypt kufika mbali by the way
Overated player, first touch mbovu,poor pass accuracy, poor ball control,nguvu nyingi bila akili ndio maana Napoli washaanza kumtengaOsihmen naona anajituma sana
ukiwa maarufu kupata pisi kalii ni simpo sanaAna mke mzuri mno
kashuka Ndio ila sio mchezaji mbayaOverated player, first touch mbovu,poor pass accuracy, poor ball control,nguvu nyingi bila akili ndio maana Napoli washaanza kumtenga
Hujamuona wa Okocha.. hawa majamaa wanamadem wazuri sana.Ana mke mzuri mno
Duh!senegal mbn hujaitazama kwa jicho la pili mkuuKwangu mimi hizi ndio timu bora za muda wote kwa upande wa national team kwa africa
Nigeria
Cameroon
Egypt
Ghana
wameacha kina Zaha pacome ndio kitu GaniWashambuliaji gawana maajabu wanabebwa na namba 6 ndo anafanya kazi yao bora hata pacome mara moja moja huwa ana kitu
Zimeshachuja hizo mkuu, subiri uone kama kuna timu kati ya hizo itabeba kombe.Kwangu mimi hizi ndio timu bora za muda wote kwa upande wa national team kwa africa
Nigeria
Cameroon
Egypt
Ghana
Tunisia na morroco unawachaje
Duh!senegal mbn hujaitazama kwa jicho la pili mkuu
Ombi lako ni batili mkuu, hao mafarao wanapigwa za uso, nipo paleePigaaa haooooooo Ghana
sawa wacha tuheshimu mawazo yakoMy opinions...
Sawa sawa mkuu tuko pamojaNingeweka timu tano senegal ingekuwapo
sema hii mechi nayo wataparuana sanaOmbi lako ni batili mkuu, hao mafarao wanapigwa za uso, nipo palee
Ngoja tuhesabu dakikasema hii mechi nayo wataparuana sana