2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mungu wabariki hawa Ghana.

Babu yao Nkurumah alikuwa anaipenda Africa.
 
Washambuliaji gawana maajabu wanabebwa na namba 6 ndo anafanya kazi yao bora hata pacome mara moja moja huwa ana kitu
Level ni tofauti sana. Hivi hujiulizi tu hawa akina Pacome kwanini hawachezi timu za Ulaya huko? Yaani anatoka Asec Mimosa anakuja Yanga au Simba kwanini asiende Ulaya huko.
Pale Ivory Coast Asec Mimosa imetoa wachezaji wakubwa sana akina Kolo Toure ambae alienda kucheza Arsenal moja kwa moja na wengine kibao.
Yaani angeingia kule ungeona uwezo wake umepotea kabisa. Uliona Azizi Ki alivyo kuwa haonekani na akipata mpira anawaza ku shot tu kwakuwa anakutana na level kubwa kwenye kukaba na hasa ile physic ya wachezaji wa juu.
Labda kama ni ushabiki.
Inonga tunamkubali sana lakini jana Uwanjani ndio alionekana kama mnyonge fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…