2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Msumbiji unganeni na kichwa cha mwendawazimu kuburudika na hili goma huku sisi wamorocco na CV tukiteleza shwaaah
 
Msimamo Kundi B
IMG_9475.jpeg
 
Kwa afya ya mpr ingekua vzr hawa giants wote Egypt na Ghana watoke makundi.. Underdogs wapite.

Ghana jana ndo ilikua nafas yake nzr kutafuta nafas kufuzu angempiga Farao.. Kudus kawafanyia kaz kubwa mabeki wao wanaruhusu tu magoal kifala.

Kundi ili Ghana proba yake ya kutoka ishakua kubwa kuliko kawaida.
 
Back
Top Bottom