Wanacheza kawaida tu ata ayo magoli yao ni vile wamekutana na mlinda mlango sie tu ndio maana wanafunga.Wamakonde walitumia nguvu nyingi kumzuia farao
Lkn pia tukumbuke cape verde ni timu nzuri pia hata mashindano yaliyopita alifanya vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanacheza kawaida tu ata ayo magoli yao ni vile wamekutana na mlinda mlango sie tu ndio maana wanafunga.Wamakonde walitumia nguvu nyingi kumzuia farao
Lkn pia tukumbuke cape verde ni timu nzuri pia hata mashindano yaliyopita alifanya vizuri
Ndo mashindano ya Dunia ya tatu hayoYaani imefikia egypt wa kukaza fako tena ili apate best loser...boli limebadilika
bishoo Onana atakuwa goliniSenegal na Cameroon itakuwaa 💥💥💥🔥🔥🔥
Tusubiri wanaume halisi tuachane na hawa wavulana wanaorukaruka uwanjaniSenegal na Cameroon itakuwaa 💥💥💥🔥🔥🔥
Hawa ni jirani zetu kabisa kifupi ni taifa stars wa kusiniMozambique wapuuzi tu nao..
Huku east and south hamna mpora bwana runaruka ruka tuuHawa ni jirani zetu kabisa kifupi ni taifa stars wa kusini
Sisi tushabikie tu ndo kazi angalau tunaweza fanyaHuku east and south hamna mpora bwana runaruka ruka tuu
Si kweli wape credit Cape VerdeMsumbiji kama Tanzania tu
Kwa afya ya mpr ingekua vzr hawa giants wote Egypt na Ghana watoke makundi.. Underdogs wapite.Msimamo Kundi BView attachment 2876666
Hahahaha hilo mbona liko wazi? Hawa wanaingia fainaliSi kweli wape credit Cape Verde
Mkuu pole mkeka umeanza kuchana mapemaGame za Leo. 19.01.2024
View attachment 2876114
Nasimama na;
1. Mozambique
2. Senegal
3. Guinea.
All the Best.
Wamakonde kidogo wanaendana na CCMMozambique wapuuzi tu nao..