Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,138
Uwezo wa kufikiria kwa haraka ni mdogoWadau kwanini hizi timu za ngozi nyeusi karibu kila mchezaji anaepokea pasi akiwa kati au mbele mara nyingi lazima atoe back pass kwanza halafu ndio akatafute nafasi nyingine.
Sijaona mchezo huo ukifanywa na Misri na Morocco.
Etoo, Drogba, Diouf hawa ni African Football Legends wana historia zao tukuka kwenye soka la Africa. Wamecheza Ulaya kwa mafanikio makubwa. Wamekua wachezaji bora wa Africa miaka na miaka. Wanajulikana Duniani na ni mabalozi wa FIFA so kuoneshwa kwao mara kwa mara wala usishangae. Unataka wamuoneshe Karia kwa kumbukumbu gani sasa kwenye soka la Africa na la Dunia kwa ujumla?! Kua fair basi hata ungekua wewe ndo uko chumba cha matangazo ungemuonesha Karia kweli?!Karia wetu hakuonyeshwa, Etoo anaonyeshwa mara nyingiiii
Upo sahihi kabisa .Majuzi hapa niliwaambia watu.
Hii team Eto'o anaendesha kisela sana kwa kujuana.. Ndo maana hata Song kua hapo yan ni usela mwng kua mwana namjua alikua mwanang.
Ndo maana onana anafany anavotaka anajua wazi kbs Eto'o kwa kua ni mwanae na kamlea academy yake lzm afanye jambo awepo tu team ya taifa.
Wavivu tu siku hizi wachezaji wanakimbia zaidi uwanjani kuliko zamani.Ndio mzee mpira umebadilika sana...
Mpira mipango ukikimbia kimbia utachoka bure na utakandwa nyingi
Viberenge hakuna siku hizi...pasi tuWavivu tu siku hizi wachezaji wanakimbia zaidi uwanjani kuliko zamani.
Alikua anaitwa Bill TchatoHuyu Tchato amenikumbusha yule non sense Tchato wa zama zile za akina Mboma
Billy Tchato, full back moja anakula yeye nyingine anakula Pierre WomeHuyu Tchato amenikumbusha yule non sense Tchato wa zama zile za akina Mboma
Uko sahihi huu mpira unaochezwa hapa ni wa kawaida sanaWachezaji wanaocheza uarabuni viwango vyao vimeshuka...kule hakuna ligi
Hii cameroon ingekutana na Tz tungesaga meno.Cameroon wapo slow sana hawana mipango...
Cameroon ni upgrade ya Tz