Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Post mkuuNafikiria kua napost zile clip za magoli,
Vipi ni wazo zuri au tutavuruga uzi?
Ngoja nicheki source ya uhakika wa kila mechiPost mkuu
Nakushauri rudi angola🤣🤣Leo nipo na Mauritania!!
Amna kitu kama taarabu tuHizi mechi za leo ni energy tupu !!
Kama mchovu unaomba kutolewa .
Una Wivu wa kike, au wewe ni mwanamke?Amna kitu kama taarabu tu
Kama Gilberto kashindwa kuwapa goal la pili msahau kutoboa hii match angolaNakushauri rudi angola🤣🤣