2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Wanyoa viduku, mapank, wafuga Rasta na wapaka bleach huwa hawana akili ya kucheza Mpira vizuri,
labda kwa wachezaji wa kibongo ulaya wapo wanyoa viduku wengi tu na wanaubonda vizuri kabisa mfano.Vidal.bonge moja la kiungo na mkiduku juu njoo kwa Nainggolan alikua anacheza As Roma.naye alikua kiungo kweli kweli njoo kwa Vin junior labda wew useme.unachuki na wanyoa viduku
 
Alipotelea wapi yule bwana mdogo?

Sir Alex alikuwa hapendi kabisa wachezaji wanaotoka africa kwasababu ya mashindano km haya ya katikati ya msimu

Ila kwa manucho ili bidi atengue msimamo wake
Mim napenda washinde Angola kwa Heshima ya Alberti Manucho maana kawahai kukipiga pale old trafford
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…