pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Ni nchi chache tu zenye academy za kueleweka kama asec ya Ivory Coast. Wachezaji wengine wanatokea kwenye mpira wa mchangani kwenye ligi za ndondo moja kwa moja UlayaVipaji vipo ila hatuna utaratibu wa kuviweka katka misingi ya baadae, tunachotka ni matokeo leo leo.
Mfano: Angalia mechi moja wapo ya mataifa ya Africa magharibu, utasikia mchezaji anatokea academy flani kila mchezaji.
India wako bilioni n ushee na bada hawana la maana kwenye sokaMkuu hivi Tanzania tupo mil 60 Tunakosa wachezaji 30 ambao wanabidii + kipaji
Pa1 tunaleta porojo za hapa na pale.Leo ndio siku ya aibu
Mkuu leo sisi ndo tunacheza na Zambia.The Atlas of Lions 3-0 Zambia
Mkuu leo sisi ndo tunacheza na Zambia.
Simba wa Atlas wao na DRC
Nakubal nakubal mkuu [emoji1753]Nimechanganya kamanda wangu
Kila la kheri Taifa Stars [emoji1241]
Kila la kheri Morocco [emoji1173]
Ongezea na ChinaIndia wako bilioni n ushee na bada hawana la maana kwenye soka
🤣🤣Leo ndio siku ya aibu
Hii sio Nzuri aisee. Ukute drasani Mtoto hayuko vizuri, tena unampga marufuku kwenye michezo. Hapo moja kwa moja unampoteza kotekoteIla Tanzania Tungejikita katika Kuibua Vipaji Tangu utotoni tungepata wachezaji wazuri sana na hili swala linahitaji Elimu mpaka Vijijini..
Maana kijijini ukicheza mpira mtoto unakula mikwaju kwa wazazi wako..
Ili tutengeneze kina Samatta wengi,Kina msuva wengi nk.
View attachment 2878530
Well said mkuuPa1 tunaleta porojo za hapa na pale.
Kua leo ndo tunafufuka mara sijui nn.. Lkn mda utaongea.
Mpr sio sehem ya hamasa ni mipango bahat nasibu inakuja pia kwa mtu mwny mipango sio mpiga dua mara sijui tuiombee hakuna kuombea hapa ni uwezo uwezo uwezo.
Kama tunatk matokeo tuoneshe uwezo na sio vinginevyo.
Mda utaongea mkuu.[emoji1753]Well said mkuu
Leo niko Zambia, sisi wanyiha, wazambia ni ndugu zetu kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naona tunamaliza bila point