2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Me nawashangaa hao wanaoisifia iyo cape verde cjui uwo ubora wao upo wapi ni kikosi cha kawaida tu kwa kweli
Leo wanacheza wakiwa hawana cha kupoteza hata wafungwe wataongoza kundi bd.

Lkn Farao na ubora unaotaka kuusema mpk ss ni draw tena na mtu ambaye hana shida ya matokeo.

Kama umeangalia game 2 zilizopita za Cape Verde na unafatilia mpr utajua wao kucheza vile sio bahat nasibu wanajua wanfny nn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…