2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Tangu game ya kwanz kwa cape verde nimekuwa nikisema kuwa kiwango chao ni cha kawaida tu sio kama mnavyoisifia apa
 
Tangu tangu game ya kwanz kwa cape verde nimekuwa nikisema kuwa kiwango chao ni cha kawaida tu sio kama mnavyoisifia apa
Mwny kiwango kzr ni nan?

Tuanzie hapo.. Nisije kua nabishana na mtu hata hajui analobishania.

Ww unavoona kwa udogo wa cape verde kusifiwa kua kafuzu ili kundi akiwa anaongoza kwmb ni sifa za bure?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…