Ata kama wangewatoa Morocco bado haibadilishi kuwa kiwango chao ni cha kawaida tuWatu wanataka kumtoa Egypt unasema hawana kiwango?!
Mshangae ww.. Tena wanatk kumtoa wao wakiwa hawana la kupoteza leo hata wakifungwa wataongoza ilo kundi bado.Watu wanataka kumtoa Egypt unasema hawana kiwango?!
Wakanywe maji ya mto naili na chipsiEgypt [emoji1093] wanashinda
Tangu game ya kwanz kwa cape verde nimekuwa nikisema kuwa kiwango chao ni cha kawaida tu sio kama mnavyoisifia apaLeo wanacheza wakiwa hawana cha kupoteza hata wafungwe wataongoza kundi bd.
Lkn Farao na ubora unaotaka kuusema mpk ss ni draw tena na mtu ambaye hana shida ya matokeo.
Kama umeangalia game 2 zilizopita za Cape Verde na unafatilia mpr utajua wao kucheza vile sio bahat nasibu wanajua wanfny nn.
Hawa Ghana watoke tu mana hawajielewiMozambique 2-2 Ghana
Mwny kiwango kzr ni nan?Tangu tangu game ya kwanz kwa cape verde nimekuwa nikisema kuwa kiwango chao ni cha kawaida tu sio kama mnavyoisifia apa
2-2Mozambique wamefanyaje huko?
😁🤣🤣Wee jamaa mkorofi, kwahiyo unaboshana na watabiri wa JFWakanywe maji ya mto naili na chipsi
Mtu unaruhusije kufungwa magoli 2 dk za nyongeza??? Kwa kweli watoke tuMozambique 2-2 Ghana
Subiri VAR. Usiwe unabet kama huna roho ngumuNi goli halali kabisa