2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mimi mechi za saa tano zimenishinda kabisa...
Siyo Weekend siyo Weekdays.
Jana nimeshindwa kabisa kuangalia hata 1st half

Nimejikuta nimelala hadi 1st half inaisha sijaambulia chochote🤣

Nikaona nikalale tu chumbani,ya nini kujitesa.


Kwa kweli saa5 muda mbaya,angalau zingeanza tu saa 4 ileile maana wanachezea viwanja tofauti tofauti.
 
Jana nimeshindwa kabisa kuangalia hata 1st half

Nimejikuta nimelala hadi 1st half inaisha sijaambulia chochote[emoji1787]

Nikaona nikalale tu chumbani,ya nini kujitesa.


Kwa kweli saa5 muda mbaya,angalau zingeanza tu saa 4 ileile maana wanachezea viwanja tofauti tofauti.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli saa nne afadhali...

Saa tano mimi vimegoma kabisa...hata nikiwa naangalizia mbali na nyumbani mida hiyo nakuwa naboreka sifuatilii[emoji2]
 
Mpaka sasa kati ya timu 24, timu 6 zimeshaaga mashindano!

Nafurahi Tanzania bado tumo kwenye mashindano.
Unafurahia Nini wakat zamu yake ya kuaga haijafika, unafurahia kwani amefuzu?? Msubiri mkongo mani baadaye ndio utajua ufurahie au ulie
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli saa nne afadhali...

Saa tano mimi vimegoma kabisa...hata nikiwa naangalizia mbali na nyumbani mida hiyo nakuwa naboreka sifuatilii[emoji2]
😂😂😂😂
Ila mechi ya tz hata wakiweka saa8 usiku nitafatilia nione wanavyobomolewa.


Happy new year sister.
 
Sijui haelewi kama kuna best looser na haelewi kama kuna magroup mengine nafasi ya 3 na 4 kuna timu hazitafikisha points 3.
Mazoea tu, muda mwingine hata hawa watangazaji wa kiswahili nao nawasikia safari imeishia hapa, japo kua bado wwngine matokeo hayajakamikika tusubiri mpka j5. Sio mbali
 
Back
Top Bottom