2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mechi ya Senegal na Guinea inaboa sana kila dakka watu wanakatana tu kama wanacheza mipira ya mchangani,

Hii senegal 16 bora atapita Maan hiyo hatua bado kunakuwaga na mabaki ya wajinga kadhaa ila Robo fainali hatoboi anatolewa.

Sababu iliyonifanya niseme hivyo ni kwanza wanacheza mno rafu zisizo na msingi hii itakuja kuwafany wapate Red mechi muhimu,

Kitu cha pili ...... Hawawez kabsa kuunda shambulizi kutokea katikati na hat wakijaribu kufanya hivyo huishia kupoteza mipira wenyew mpira wao ni pembeni tu, Siku wakikkutana na timu itakayowabana Vizuri pembeni shughuli yao imeishia hapo, kweny defense wapo vizuri ila wanakata mno itawacost

Mnaoshabiki Senegal mjipange kisaikolojia Msiseme hamkuambiwa hii timu Nusu fainali haifiki.
 
Mechi ya Senegal na Guinea inaboa sana kila dakka watu wanakatana tu kama wanacheza mipira ya mchangani,

Hii senegal 16 bora atapita Maan hiyo hatua bado kunakuwaga na mabaki ya wajinga kadhaa ila Robo fainali hatoboi anatolewa.

Sababu iliyonifanya niseme hivyo ni kwanza wanacheza mno rafu zisizo na msingi hii itakuja kuwafany wapate Red mechi muhimu,

Kitu cha pili ...... Hawawez kabsa kuunda shambulizi kutokea katikati na hat wakijaribu kufanya hivyo huishia kupoteza mipira, Siku wakikkutana na timu itakayowabana Vizuri pembeni shughuli yao imeishia hapo, kweny defense wapo vizuri ila wanakata mno itawacost

Mnaoshabiki Senegal mjipange kisaikolojia Msiseme hamkuambiwa hii timu Nusu fainali haifiki.
Huku sadio mane huku diatta kamba zitapigika mzeee pigaaa haoooooo
 
Mechi ya Senegal na Guinea inaboa sana kila dakka watu wanakatana tu kama wanacheza mipira ya mchangani,

Hii senegal 16 bora atapita Maan hiyo hatua bado kunakuwaga na mabaki ya wajinga kadhaa ila Robo fainali hatoboi anatolewa.

Sababu iliyonifanya niseme hivyo ni kwanza wanacheza mno rafu zisizo na msingi hii itakuja kuwafany wapate Red mechi muhimu,

Kitu cha pili ...... Hawawez kabsa kuunda shambulizi kutokea katikati na hat wakijaribu kufanya hivyo huishia kupoteza mipira, Siku wakikkutana na timu itakayowabana Vizuri pembeni shughuli yao imeishia hapo, kweny defense wapo vizuri ila wanakata mno itawacost

Mnaoshabiki Senegal mjipange kisaikolojia Msiseme hamkuambiwa hii timu Nusu fainali haifiki.
Senegal mbwa hao wanafunga magori mengi ya Nin
 
Kundi lao timu 3 zimesonga mbele yaani Senegal, Cameroon na Guinea sababu hizi timu 2 zenye pointi 4 mpaka sasa hakuna aliyenazo kwa makundi yaliyomaliza mechi.

Ivory Coast bado wanaendelea kuomba dua itokee miujiza kwa makundi yaliyobakia
 
Back
Top Bottom