2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Hawa waangola wana balaa naona hizi timu za kireno Zina balaa sana wako wa 3 sasa Cabo Verde , guinea ikweta na Angola ni timu zenye balaa sana
Ninazitafakari hizi team nakosa majibu... Wanajituma...wazalendo..wana akili..
Tujifunze
 
Kuna timu siyo za kuziwekea dhamana mfano mmojawapo ni Ghana na Tanzania. Ghana, juzi alikuwa anaongoza lakini sikutaka hata kucheki mpira wao nilijua watazingua tu, nikasema niwaangalie Misri maana ni watu wanaojitambua. Sikujutia uamuzi wangu, wote mliona kwa Farao haiishi mpaka iishe.
 
Waarabi mwaka huu hawpo seriously kabisaa yani wanacheza Ili mradi mashindano yapite..

Hakuna kucheza ili mradi hapan saiv team ya taifa ikiwa na wachezaji watatu wanachez ligi kubwa duniani ikiwa na wachezaji watano wanacheza madaraja ya kati ulaya ujue ni kisanga waraabu walikuwa janja janja zamani lakin saiv mpira na zama zimebadilik kila kitu kipo wazi kabisa saiv ball linapigwa kasoro team yet ya tanzania tu ovyo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…