2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Aliyefanya scouting ya wachezaji TAIFA STARS akapimwe akili maana ikitokea tumefuzu hatuna kipa wa kupangua penati yule dogo wa simba angetufaa sana pia mzize angetufaa sana hata kelvin kijiri angetufaa sana hata kibabage angekuwepo kungekua na uafadhali. sasa kwa mfano samata kaumia unamuingiza nani?
 
Yule mu algeria alitumwa kutuhujumu yule ni spy wa soka, angalieni kauli zake na mahusiano yake na makocha wenzie, pia hata huko alikokuwa timu zao zishavurugika, haingii akilini uite wachezaji wa ligi daraja la saba kisa tu wanatokea mamtoni, haingii akilini kumuita kawawa na metacha mnata wakadake AFCON huu ni mpango wa kuangamiza timu
 
Tanzania igeni mfano wa comeback aliyoifanya Mauritania [emoji1163] dhidi ya Algeria [emoji1026].

Wazelendo liombeeni taifa lenu.

Nalog out.
Tanzania ina menhi sana ya kunifunza kutoka kwa Mauritania.

Mauritania kwenye Fifa ranking tumewapita, population, utajiri, ardhi nzuri, hali ya hewa tumewapita kila kitu. Wametupita kwenye mikakati.

Walichofanya ni kuweka mikakati kama kuwatafuta na kuchukua wachezaji wao wa diaspora, kuwapa uraia wachezaji wa nchi nyingine kama Senegal, Mali, Cameroon walikosa nafasi kuchezea nchi zao za kuzaliwa lakini ni wazuri kuanzisha academy na kuhimiza uzalendo.

Vyote vipo ndani ya uwezo wetu.
 
Yule mu algeria alitumwa kutuhujumu yule ni spy wa soka, angalieni kauli zake na mahusiano yake na makocha wenzie.

Sidhani kama alitumwa, ila yuko emotional sana. Alifanya Morocco wawe na usongo zaidi kutupiga. Viongozi wahusika waangalie historia ya makocha wanaowaajiri.
 
Kabisa, clubs zao zisingeweza kushinda mara nyingi makombe yote ya Afrika pia Misri isingeweza kushinda mara saba AFCON.

Uwazi, kujiangusha kupata penalties, kupoteza muda, kuhonga marefa umewabeba kwa muda mrefu sana. Haiwezekani tena sasa.
 
Muritania ameenda tayari wakufanya maombi ni Ivory Coast kwa migoli aliyopigwa anaweza asitoboe
Yes.. Zambia akipigwa na Morocco [emoji1173] na Tanzania vs Congo matokeo yoyote yale Ivory Coast anaenda hatua ya 16
 
Na leo tena tujaribu DUA ZETU kwa mwenda wazimu.

Mauritania kaandika Historia sisi hapa hadi tukae mezani ndipo tutoboe

Bahati mbaya Bi mkubwa yupo Indonesia, nani ataenda kukaa na Tishishekedi mezani[emoji23][emoji23]
 
Na leo tena tujaribu DUA ZETU kwa mwenda wazimu.

Mauritania kaandika Historia sisi hapa hadi tukae mezani ndipo tutoboe

Bahati mbaya Bi mkubwa yupo Indonesia, nani ataenda kukaa na Tishishekedi mezani[emoji23][emoji23]
Hakuna Dua mkuu hakuna Dua.

Tunahitaj kuonesha uwezo uwezo uwezo.

Mpr wa back pass hlf uombe Dua utafunga vp ss wkt mpr mnacheza kwny half yenu badala ya wapinzan?
 
Hakuna Dua mkuu hakuna Dua.

Tunahitaj kuonesha uwezo uwezo uwezo.

Mpr wa back pass hlf uombe Dua utafunga vp ss wkt mpr mnacheza kwny half yenu badala ya wapinzan?
Ila ule uchezaji wa kurudisha mipira nyuma sijui nani aliwafundisha aisee.

Ni wa kiwaki.

Wangeshinda ile game Leo wangekuwa na matumaini ya kupenya hata kama wangepigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…