2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Angalia ligi ya Sauzi hela anayopewa man of the match ibadilishe ije kwenye hela zetu uone, nakuunga mkono mpira pesa…View attachment 2884925
Mkuu mpr pesa.

Ndo nilikua namuuliza mwanang hapo juu kua mna hela za kumlipa huyo.

Hizi simba na Yanga zenu porojo za vijiweni ndo nyng sana kuliko uhalisia mda mwngne.

Izi team zenu zote zinaendeshwa na watu na wao hawawez toa tu hela kama wehu.. Wengne ndo hao unawasikia wakiamka kagombana na mkewe anakwambia mm hii team naendesha kwa hasara lkn najitolea basi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…