2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Pia mimi sijaelewa maana beki alikuwa kwenye mstari wa goli
Kinachoaangaliwa ni mtu wa mwisho bila kujali alikuwa beki au goal keeper. Pale Beki alienda kusimama golini keeper akiwa ametoka. Mchezaji anapokuwa offside ni pale anapowazidi wachezaji wa timu pinzani isipokuwa mtu mmoja tu.
Aliyefunga goli aliwazidi wote isipokuwa mtu mmoja tu ambaye ni beki aliyekuwa golini maana keeper alitoka.
 
Cameroon hii ni uchafu kuitazama…

Yaani miaka ile uanaangalia Cameroon mpaka una-enjoy unakutana na akina Rigobert Song kitasa cha maana, akina Raymond Kalla, DjembaDjemba, Ndiefi, Etoo, Mboma na wengineooo

Leo hii akina Joel Matip wanagoma hadi kuchezea timu ya taifa, wanaokubali kuja kucheza ni mabishoo hawana uchungu na timu yao🚮🚮🚮
 
Ninachojiuliza offside inaangalia tu position ya kipa? Mbona kuna beki alikuwa nyuma ya kipa?
Unatakiwa uwe nyuma ya wachezaji angalau wawili wa timu pinzani kabla ya kufunga goli jamaa aliyefunga goli alikuwa nyuma ya mchezaji mmoja tu wa Cameroon ambaye alikuwa ni beki aliyekuwa golini wachezaji wengine wote 10 wa Cameroon ikiwemo kipa wao walikuwa nyuma ya mfungaji hiyo ni Offside
 
Cameroon hii ni uchafu kuitazama…

Yaani miaka ile uanaangalia Cameroon mpaka una-enjoy unakutana na akina Rigobert Song kitasa cha maana, akina Raymond Kalla, DjembaDjemba, Ndiefi, Etoo, Mboma na wengineooo

Leo hii akina Joel Matip wanagoma hadi kuchezea timu ya taifa, wanaokubali kuja kucheza ni mabishoo hawana uchungu na timu yao[emoji706][emoji706][emoji706]
Yan imekua team ya ovyo sana.

Hawa Giants wengi wanaanguka sana vby.
 
Cameroon hii ni uchafu kuitazama…

Yaani miaka ile uanaangalia Cameroon mpaka una-enjoy unakutana na akina Rigobert Song kitasa cha maana, akina Raymond Kalla, DjembaDjemba, Ndiefi, Etoo, Mboma na wengineooo

Leo hii akina Joel Matip wanagoma hadi kuchezea timu ya taifa, wanaokubali kuja kucheza ni mabishoo hawana uchungu na timu yao[emoji706][emoji706][emoji706]
Hii timu ni aibu kuishabikia kwakweli inacheza mpira wa ovyo mno bora wangeishia tu makundi
 
wew una mchezo kweli leo osimeh unakuja kulinganisha uchafu huo wachezaji wako wa timu ya taifa wanaocheza ligi za ulaya wameshindwa kufunga hata goli moja wameondoka na pumbu zao tu osimeh had mda huu ashafunga Goli moja unakuja kulinganisha uchafu wa mtibwa sjui kwanza msimu uliopita uliangalia ata mechi moja ya Seria A ya Napoli maana kwa maelekezo yako inaonekana hata huwaj tazama mechi yake hata moja
Relax dogo. Nimesema mtazamo wangu juu ya uchezaji wake. Heshimu mawazo ya wengine.
 
Back
Top Bottom