TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
busokeloKwani Makao Makuu ya CAF yako wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
busokeloKwani Makao Makuu ya CAF yako wapi?
Alikuwa anapiga nje.ahaaa wapi mo salah kazoea kuwafunga makipa wakubwa aje asumburiliwe na mtoto mdogo huyu
Dakika 101Wale waliolalamikia dk za nyongeza mchezo wa Simba vs Singida wana la kujifunza mechi hii
Warabu watoto wa mjini wew awa wa mozambique wanashangaa shangaa tuPenalty ya kijinga sana ile.!
Wasiojua Mpira haoWale waliolalamikia dk za nyongeza mchezo wa Simba vs Singida wana la kujifunza mechi hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waliokuwa wanamlalamikia refa kwenye mechi ya Simba na Singida kuhusu muda naona washapata majibu kupitia hii mechi
Wako mbali sana kimpira, ukilinganisha na sisi. Hata hivyo mataifa mengi sana yaliyokuwa yanachukuliwa kuwa madogo kimpira kwasasa yameamka na yanapiga mpira mkubwa sana kuliko team zenye majina.Sema Msumbiji wanapiga ball aiseeh
ata juzi kwa shati lenu manura sialipigia kama anakosa ila mwisho wa siku shati lenu likarudisha mpira wavuniAlikuwa anapiga nje.
Hawawezi kujifunza hao Uto unteachable 😂Wale waliolalamikia dk za nyongeza mchezo wa Simba vs Singida wana la kujifunza mechi hii
Hakuna Siasa za Chama kuleMsumbiji wanapiga ball hawa jamaa Good football
Ndio Nini sasa kwahiyo kwenye Table Ndio itasoma ivi auFull Time.
Mafarao 2(1)halali - 2 MOZAMBIQUE
Tangu siku ile nilisema kuwa waliokuwa wanalalamikia dakika, hawajui mpira na ni WAJINGA wa kutupwa.Waliokuwa wanamlalamikia refa kwenye mechi ya Simba na Singida kuhusu muda naona washapata majibu kupitia hii mechi
Acha basi hizoata juzi kwa shati lenu manura sialipigia kama anakosa ila mwisho wa siku shati lenu likarudisha mpira wavuni
Ila cha moto wamekionaWarabu watoto wa mjini wew awa wa mozambique wanashangaa shangaa tu