uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Tena ujinga wa kipuuzi.Wako mbali sana kimpira, ukilinganisha na sisi. Hata hivyo mataifa mengi sana yaliyokuwa yanachukuliwa kuwa madogo kimpira kwasasa yameamka na yanapiga mpira mkubwa sana kuliko team zenye majina.
Ni Tanzania tu ndio bado inaleta ujinga ujinga kweny soka.