Tena ujinga wa kipuuzi.Wako mbali sana kimpira, ukilinganisha na sisi. Hata hivyo mataifa mengi sana yaliyokuwa yanachukuliwa kuwa madogo kimpira kwasasa yameamka na yanapiga mpira mkubwa sana kuliko team zenye majina.
Ni Tanzania tu ndio bado inaleta ujinga ujinga kweny soka.
Bora angedaka Metacha, licha ya kwamba aliwahi kuwaonyeshea ishara ya kidole nataka tuamini kwamba angeidaka ile penalty.ata juzi kwa shati lenu manura sialipigia kama anakosa ila mwisho wa siku shati lenu likarudisha mpira wavuni
Hili kundi dume kidogo.Misri akicheza na Ghana hatoboi
Kwa mpira huo, hilo kundi Misri hapiti.Misri akicheza na Ghana hatoboi
Ally Salim (i don't like him) ila ni kipa mzuri.Bora angedaka Metacha, licha ya kwamba aliwahi kuwaonyeshea ishara ya kidole nataka tuamini kwamba angeidaka ile penalty.
Wanakera sana kuonekana they are so special yani!Kwa mpira huo, hilo kundi Misri hapiti.
mh ivi wew unawachukulia poa warabu 2021 walianza mechi ya kwanza tu na kichapo ila baada ya hapo kituo cha mwisho ilikua fainali EGYPTY Ndio Taifa hatari zaidi kwenye AFRICON toka imeanzishwaKwa mpira huo, hilo kundi Misri hapiti.
This time anapakatwa tu!mh ivi wew unawachukulia poa warabu 2021 walianza mechi ya kwanza tu na kichapo ila baada ya hapo kituo cha mwisho ilikua fainali EGYPTY Ndio Taifa hatari zaidi kwenye AFRICON toka imeanzishwa
Hoi bin taabanTtz nchi nyingi za africa wananchi wapo hoi kiuchumi na miundombinu duni
Naunga mkono hojaKwa mpira huo, hilo kundi Misri hapiti.
Fundi sana huyu
kwa hizi timu sjui Taifa stars, sjui ivory coast misri lazima afike mbali sanaThis time anapakatwa tu!
Naunga mkono hojaMozambique kimpira wametuacha mbali manina zao.! Game yetu na misri ilikuwa ya hivyo hatujiamini timu yetu inashindwa kupiga hata pasi tatu.! Dah mtihani mkubwa kwetu.
Wew na Timu lako la kina kibwana shomari na mzamiru mtafanyanin msumbuji mara kibao alikua anatubemenda tena apo apo taifaHii ndiyo Egypt iliyoifunga Tanzania mbili sifuri au ni nyingine?
Mbona ina struggle sana ??
Nafikiri kocha wa Tanzania ni bomu kabisa hata wachezaji aliokuwa nao hajui kuwatumia, hajui kupanga lineup , Hana mfumo unaoleweka, hajui kuchagua wachezaji.
Mozambique na Equatorial Guinea wameonyesha na ya kucheza na timu zenye majina makubwa .