2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

kombe la dunia la mwaka 2026 tukijaaliwa uzima kutakua na kazi sana ya kukesha.

just imagine mechi zitaanza saa 7 usiku, mpaka wamalize kupiga penati kama leo game inaisha saa 10 alfajiri.

baada ya hapo unaenda kuoga unavaa nguo kazini.

kikubwa uzima panapo majaaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…