2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ni kweli hajaendana nayo kabisa, katika timu yao niliona ni Shalulile tu na yule Hotto wa Orlando Pirates ndio walikuwa wanajitahidi kupambana wafunge sema wenzao ndio walikuwa wanawaangusha, kwenye hizi timu za taifa magarasa mengi sana ukifuatilia wengi ni wale wanaochezea club ndogo na league ndogo wanaochezea club kubwa na league kubwa wanahesabika
Kweli kabisa.
 
Mayele hakucheza mpira jana


Angekosa kwa kweli tungemlaumu sana,kumbuka penati za nyongeza,Misri washapata yao,,wanawangoja wacongoman.
Yaani kuna wachezaji cjui wanacheza vipi huko mbele na wamefikaje?!!
GABAKSI NI LEVO YA IHEFU AU MAJIMAJI BASI TU WANAMKUZA
 
Back
Top Bottom