2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Hahahaaa. Umenikumbusha kitu Mkuu baada ya kuitaja Mamelody ujue mie siku zote najua Shalulile ni MSouth Africa nilikuja kushangaa kumbe ni mNamibia. Lol.
Aloo kumbe tuko wengi, mwenyewe ndio nimejua juzi kwamba Peter Shalulile ni Mnamibia, hilo jina lake la mwisho limekaa Kiafrika kusini
 
Nimecheka sana Mkuu ulivyoshangaa.

Nikajua lazima we utakuwa ni team Sauzi. 🤣🤣🤣
We ngojea Morocco atacheza tu Amapiano😂😂😂
Hahahaaa. Umenikumbusha kitu Mkuu baada ya kuitaja Mamelody ujue mie siku zote najua Shalulile ni MSouth Africa nilikuja kushangaa kumbe ni mNamibia. Lol.
Ni makirikiri yeye 😃 Kwa ukanda wao wanaionea sana Namibia..
Kala nne kwa Sauzi na tatu kwa Angola
 
Hahaha mimi nililipenda kwa moyo wote, kuna shule nilisoma mwanzo waliliweka optional tukawa wanafunzi wachache, baadaye wakaliweka compulsory hadi tukalifanyia na necta kabisa
Saafi. 👏

Afadhani wewe ulilipenda mie nilisoma tu ile form one tena kidogo baada ya hapo sikutakaga hata kulisikia. 😂

Sema pia hatukuwa na walimu wa kueleweka hivyo halikuwekewa mkazo kiviile.
 
Nawatakia kila la kheri japo kiukweli kwa Timu zilizobakia sasa mpira upo Morocco na Senegal tu kwa upande wangu na Nigeria kwa mbaali.

Hawa wengine sijawahi kuwaelewa mpira wao.

Hivyo kesho Bafana bafana mujipange hasa.
Bingwa Senegal 😃
Kesho jiandae kuona Amapiano safi kabisaa

Kusini ka kaskazini wakikutana miaka hii ni kama derby yan.... Mamelod anaonea sana team za waaarabu tutaona huo ubabe utaendelea adi team ya taifa au la
 
Aloo kumbe tuko wengi, mwenyewe ndio nimejua juzi kwamba Peter Shalulile ni Mnamibia, hilo jina lake la mwisho limekaa Kiafrika kusini
Yaani ile game yao na South Africa ujue nilimshangaa hata sikuamini.

Halafu nilivyo mjinga nikaona kama hajaendana na ile timu eti. 😂😂
 
Kwa viongozi wangu wa Simba hii tutakuja kuwekewa kwenye orodha ya makombe
Japo Inonga mwenyewe ile penalti yake jana bado kidogo tu achomeshe.

Alishindwa kucheza na akili ya Kipa Gabaski mana mwenzie alikuwa analalalia kulia tu na yeye akaupeleka huko huko.
 
We ngojea Morocco atacheza tu Amapiano[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni makirikiri yeye [emoji2] Kwa ukanda wao wanaionea sana Namibia..
Kala nne kwa Sauzi na tatu kwa Angola
Mkuu hapo umenichanganya kidogo kumbe na Namibia ni makirikiri mimi nilijuaga makirikiri ni Botswana tu, kweli kwa Ukanda wao wanawaonea sana Namibia japo Angola nao wako vizuri, mwanzo nilikuwa nawachukulia poa ila nikatokea kuwakubali uchezaji wa kina Mabululu na Gelson Dala
 
Bingwa Senegal 😃
Kesho jiandae kuona Amapiano safi kabisaa

Kusini ka kaskazini wakikutana miaka hii ni kama derby yan.... Mamelod anaonea sana team za waaarabu tutaona huo ubabe utaendelea adi team ya taifa au la
Hahahaa. Sawa Mkuu.

Hiyo ni upande wa vilabu ujue Mkuu na zile ni Timu ya Taifa ambayo inakusanya wazuri wengi kina Ashraf Hakimi na Hakim Ziyech.

Sema tusubiri tuone Mkuu.
 
Saafi. [emoji122]

Afadhani wewe ulilipenda mie nilisoma tu ile form one tena kidogo baada ya hapo sikutakaga hata kulisikia. [emoji23]

Sema pia hatukuwa na walimu wa kueleweka hivyo halikuwekewa mkazo kiviile.
Sisi walijitahidi wakaleta hadi mwalimu mfaransa kabisa ili kuwavutia wanafunzi walisome
 
Mkuu hapo umenichanganya kidogo kumbe na Namibia ni makirikiri mimi nilijuaga makirikiri ni Botswana tu, kweli kwa Ukanda wao wanawaonea sana Namibia japo Angola nao wako vizuri, mwanzo nilikuwa nawachukulia poa ila nikatokea kuwakubali uchezaji wa kina Mabululu na Gelson Dala
Sijui itakuwaje Quarter Final ujue Angola anakutana na Nigeria.

Naona kama watapigika vile. Au wataweza kujipapatua.
 
Back
Top Bottom