Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ndo shida ya kuwa na wachezaji wanaojifanya masupa staa kwny timu ya Taifa..ref Mbwana Samata..kule Genk alikua anakipiga akifika Taifa stars hata shot on target moja hana...Egypt before Salah- 7 AFCON trophies.
Egypt with Salah- 0 AFCON trophies.